Tumshauri kijana huyu cha kufanya, muda bado upo

Tumshauri kijana huyu cha kufanya, muda bado upo

Nilidhani upo specific na mtu mmoja, kumbe unaongelea collectively?

Watu wa hivyo wapo wengi, na huwezi toa ushauri au solution collectively, it won't work.
ndio hivyo Analyse,

penye nia pana njia,
I hope walio willing kumove on, wamechota mbinu, maarifa, uzoefu na encouragent za kutosha humu...
Waungwana wa JF wamefunguka madini mengi sana ya maana possitively......
Ni jukumu la alie tayari kuona lipi linamfaa kwa nafasi na mazingira aliopo na alifanyie kazi...
Ni hiari si lazima

Nina elimu nzuri tu, nina kazi na kipato cha kawaida cha kunitosheleza kiasi kwenye mahitaji yangu ya kila siku na pengine kaakiba kidogo, but leo kupitia uzi huu, aise nimechota na nimeongeza ufahamu na uelewa wa mambo mengi mno katika hii maisha......
I thank you and all sana...
 
Kazi(inayoonekana mbaya),ndo hukupa kazi nzuri. Kwa maana unakutana na watu tofauti tofauti,unakosa ule mda wa kukaa ndani na kuwa na mawazo hafifu.
Kosa walio wengi wanalolifanya, ni kuwaza tu kuajiliwa tena sehemu kubwa kubwa. Na tumitaji kidogo wanatumia kama nauli na mambo mengine.

Wapo wanaosoma chuo kwa ugumu sana,wanaamua kuanzisha vibiashara vidogo vidogo. Mwisho wa siku na wanatoka mambo ya ajira wanaachana nayo.

Kikubwa asichague kazi,
 
Kuna videmu nakutanaga navyo vinaniambia vinasoma udsm halaf kwa kuniringia kabisa visijue udsm nshasomaga hapo... Naishia tu kucheka

Mademu wakimaliza chuo wanadanga kimtindo wakipata mtaji wanafungua vibotique uchwara.
Maisha yanasonga
 
Hapo kwenye kujichua hapo ndyo papaya
Aache Mara moja kunaleta mikosi isiyoisha

Amtegemee Mungu ila pia ajichanganye na watu..kwenye mengi Kuna mengi...ajira ni ngumu sana tangu 2015...ila kukata tamaa mwiko

Hey cutie
 
Maisha Ni Vita mkuu .. nikiangalia madogo walioko chuoni nawaonea huruma sana, usipojitafuta mapema hakika utaokota makopo 😞😞
 
Miaka kadhaa imepita sasa, Mdogo wangu alinisikiliza, Alisoma Bachelor of Commerce Procurement and supply Management, aka kosa kazi miaka mitatu, aka pambana CBE evening class kusomea mitihani ya board aka fail. akakata tamaa kabisa.
Tukatafuta nafasi ya kwenda kusoma Diploma ya Ualimu Chuo kapuni. Akapata akasoma alipomaliza akapata kazi kama mwalimu sijui daraja gani. Akiwa anafundisha miaka mitatu baadaye akaomba kwenda kusoma wakamruhusu, akarudi na Masters. Wakakataa kumpandisha madaraja yao hayo, nikamwambia komaa na kazi.
Akapata bahati akahamishiwa Mwanza akasoma SAUT Degree ya Ualimu kwa shida shida akamaliza wakampandisha daraja.
lakini, kila ilipokuwa zikitokea nafasi za Ugavi akawa anaomba, baada ya Muda, alipata kazi ya Ugavi yuko sehemu naye anasumbua sasa.
Lakini alisota kwa muda, nilipompa wazo la kusomea ualimu tulibishana sana lakini huwa anakumbuka anacheka sana kwa furaha kwamba alizunguka lakini alifika alikotaka kwenda.
Yeye husema usipofahamiana na watu kupata kazi ni ngumu sana hasa kwa vijana wa kiume.
 
Team ccm wao wameandaliwa ajira mapema sio?!
Cain alipomuua nduguye Abel, alihukumiwa kwenda kutangatanga huko duniani. Hizi ni simulizi ndani ya kitabu cha biblia.

Wanasema ukiona unahangaika sana au unatangatanga tu ujue wewe ni kizazi cha Cain.

Hao CCM wanasema wao ni kizazi cha Abel, wanakula na kunywa kivulini no pressure.
 
Miaka kadhaa imepita sasa, Mdogo wangu alinisikiliza, Alisoma Bachelor of Commerce Procurement and supply Management, aka kosa kazi miaka mitatu, aka pambana CBE evening class kusomea mitihani ya board aka fail. akakata tamaa kabisa.
Tukatafuta nafasi ya kwenda kusoma Diploma ya Ualimu Chuo kapuni. Akapata akasoma alipomaliza akapata kazi kama mwalimu sijui daraja gani. Akiwa anafundisha miaka mitatu baadaye akaomba kwenda kusoma wakamruhusu, akarudi na Masters. Wakakataa kumpandisha madaraja yao hayo, nikamwambia komaa na kazi.
Akapata bahati akahamishiwa Mwanza akasoma SAUT Degree ya Ualimu kwa shida shida akamaliza wakampandisha daraja.
lakini, kila ilipokuwazikitokea nafasi za Ugavi akawa anaomba, baada ya Muda, alipata kazi ya Ugavi yuko sehemu naye anasumbua sasa.
Lakini alisota kwa muda, nilipompa wazo la kusomea ualimu tulibishana sana lakini huwa anakumbuka anacheka sana kwa furaha kwamba alizunguka lakini alifika alikotaka kwenda.
Yeye husema usipofahamiana na watu kupata kazi ni ngumu sana hasa kwa vijana wa kiume.
Huu ushauri mzuri ningeupata mapema [emoji53]
 
Cain alipomuua nduguye Abel, alihukumiwa kwenda kutangatanga huko duniani. Hizi ni simulizi ndani ya kitabu cha biblia.

Wanasema ukiona unahangaika sana au unatangatanga tu ujue wewe ni kizazi cha Cain.

Hao CCM wanasema wao ni kizazi cha Abel, wanakula na kunywa kivulini no pressure.
Watanzania wote tungekua ccm tungekua tunakula na kunywa kivulini sio?!
 
nzuri zaidi umpatie skills, tools na capacity kisha afanye mwenyewe itasaidia sana
Sawa ila asset ziwepo mkuu, hayo mambo ya kufanya wenyewe yapo tu watapambana ila uwaachie vyanzo.

Tunaoteseka ni sisi ambao wazazi wetu hawakutuwekea vyanzo. Unahitaji mtaji wa kuanza jambo lako baada ya chuo. Kunatakiwa kuwe na vyanzo vya kukupa hizo hela kama huna lazma utaadhirika tu mtaani. Fursa zipo ila zinataka hela.
 
Back
Top Bottom