Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sina research ya maandish ila Siasa ni kuangalia upepo wa tangu ashike madaraka hadi Leo. Nani haswa anamuelewa?Hiyo Research umeifanyia wapi?
Ati hana wakumpigania, halafu nani akae hapo?
Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
Hana 'mvuto' wa kisiasa.Unaweza gusia kidogo alipoharibu?
Umenena vyema. Na ndio maana nikasema, uchaguzi huu Samia atarudi ila hadi damu.CCM kuendelea kubaki madarakani haitegemei kupigiwa Kura na mtu yoyote yule ktk Uchaguzi wa Siasa hapa Tanzania.
Anyway, hata kama Rais SSH ataamua kuacha kugombea Urais, bado matatizo yote ya Kiutawala yaliyopo hivi Sasa hapa Tanzania yataendelea kuwepo kwa sababu kiini Cha kuwepo kwa matatizo hayo siyo Rais SSH bali yanatokana na uwepo wa Katiba mbaya ya nchi ambayo ipo pamoja na kuwa na Chama tawala kibaya na kisichofaa, the presence of bad ruling party of CCM.
Kawaulize Ccm Sasa..Sawali; Je, CCM wamshauri aachie ngazi kimya kimya ama wamupeleke tu hivyo arudi ikulu kwa kumwaga damu?
Una point. Usikilizwe.1. Hana Maono,
2.Uwezo wa kujenga HOJA na kutetea HOJA ni mdogo,
3. Usimamizi wa raslimali za umma ni mdogo,
4. Uwezo wa Kupambana na RUSHWA ni chini.
5. Uwezo na uthubutu wa kufanya maamuzi Kwa wakati uko chini .
6. Hashauriki, issue ya Ngorongoro, Bandari, Tume huru na Katiba mpya kabla ya Uchaguzi, ni baadhi tu ya mifano michache.
Tuweke vyama pembeni, 2025 ni Bora akapumzika mchakato ukafanyika apatikane mtu sahihi.
CCM kuendelea kubaki madarakani haitegemei kupigiwa Kura na mtu yoyote yule ktk Uchaguzi wa Siasa hapa Tanzania.
Anyway, hata kama Rais SSH ataamua kuacha kugombea Urais, bado matatizo yote ya Kiutawala yaliyopo hivi Sasa hapa Tanzania yataendelea kuwepo kwa sababu kiini Cha kuwepo kwa matatizo hayo siyo Rais SSH bali yanatokana na uwepo wa Katiba mbaya ya nchi ambayo ipo pamoja na kuwa na Chama tawala kibaya na kisichofaa, the presence of bad ruling party of CCM.
CCM hawategemei sanduku la Kura, Kwa katiba hii hata mwijaku na Baba levo wanashinda asubuhi saa 4
Akiingia huyo mnayemtaka mtamkubali miaka yake yote ya utawala wake? Mbona Magufuli mlimkataa?
Kuhangaika tu
Uongozi ni karama. Aliyekuwa na uwezo wa kusimamia mchakato wa mabadiliko ya katiba ,kwa mtazamo wangu ni hayati Magufuli kwasababu ya ujasiri wake aliokuwa nao. Magufuli haikuwa kipaumbele kwakeSasa hivi Rais anayehitajika ni yule atakayehakikisha yafuatayo yanafanyika:
1) kusimamia ukamilishaji wa katiba mpya yenye rejea ya tume ya Jaji mwenye hekima, akili na uzalendo mkubwa, Jaji Warioba.
2) kusimamia upatikanaji wa muundo mzuri wa Muungano kwa kuzingatia maoni ya umma kwa tume ya Warioba.
3) kusimamia uundwaji wa mifumo imara ya utawala, uchumi na kodi.
Sio kweli .Uongozi ni karama. Aliyekuwa na uwezo wa kusimamia mchakato wa mabadiliko ya katiba ,kwa mtazamo wangu ni hayati Magufuli kwasababu ya ujasiri wake aliokuwa nao. Magufuli haikuwa kipaumbele kwake
Wakenya wana katiba mpya ila tabu iko pale pale
Dunia sio paradiso. Ukilijua hilo inatoshaSio kweli .
Tabu iko pale pale kivipi?
Acheni kupotosha watu.
Asome alama za nyakati, kuna kundi kubwa ndani ya chama chake hawako naye ila hajawajuaWana JF, wasalaam.
Naenda moja kwa moja kwenye mada.
Kila nikiangalia siasa zinavyokwenda, ni hakika Samia hataweza kutoboa ila kwa njia ya kumwaga damu. Atatumia nguvu sana ili kurudi ikulu.
Kuna vielementi vingi sana ninavyo viona vitakavyo mnyima kura.
1. Hana kambi ya kumpigania kufa kupona. yuko na chawa tu ambao wao wanafuata upepo tu. Kifupi hajatengeneza timu yake kwenye Siasa.
2. Kuna jamii bado kabisa haiamini kutawaliwa na mwanamke, inatawaliwa tu by the way.
3. Bandari, narudia tena, Bandari. Hii ni issue kubwa sana linapokuja swala la kampeni.
4. Wamasai, nawahakikishia hapa napo ni kazi mno. Kanda ya kazikazini hapa wanasema mzanzibari kawafukuza watanganyika kwenye ardhi yao.
5. Kujenga hoja. Samia hana haiba ya kujenga hoja na wananchi wakamsikiliza. Itakuwa ngumu sana kupangua makombola ya wapinzani. Wakati wa uchaguzi watu wanahitaji mzuka yaani, mtu akiongea iwe kwikwi.. ni kama umuone Ester Bulaya ama Mdee wanaongea, utawasikiliza tu. Ila kumsikiliza Samia ni mpaka uwe na maslahi na speech yake..kama May Mosi vile.
6. Muungano; Huu muungano wetu unafanya mgombea kutoka zanzibar aonekane kama mvamizi, Muungano unatakiwa ufanyiwe marekebisho. Bila kuurekebisha mtu kutoka zanzibar ni ngumu sana kupata kura huku bara. Kama anamchanganyiko wa ubara na Uzanzibari anaweza akapata.
Sawali; Je, CCM wamshauri aachie ngazi kimya kimya ama wamupeleke tu hivyo arudi ikulu kwa kumwaga damu?