Titicomb
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 12,823
- 21,210
Mkuu what matters the most is the TRUTH and not the FACT.
FACT may vary with time.
It is the FACT that now(July 2021) COVID19 vaccine does not affect our DNA negatively according to WHO/CDC reports. BUT the TRUTH is, we are not sure if in the future there will be no risky DNA interaction with these COVID19 vaccines shots which we are taking now out of punic and fear. No body knows the truth until now. It's just trials.
Historia toka kwenye gunduzi na vumbuzi za kisayansi imethibitika FACTS nyingi kuhusu vumbuzi au nadharia hizo zilikuja kubadilika.
Hata wakati wanagundua matumizi ya mabati ya asbestos au wanatumia asbestos material kama fireproof materials wenye majengo ya makazi ya binadamu hawakujua kama zitakuja kusababisha cancer baadaye. The TRUTH now zinakatazwa kwa matumizi hayo sababu ya hatari zake.
NOTE: Ukihisi unaweza kupoteza maisha kwa korona kabla ya kuujua ukweli (TRUTH) ni bora upate chanjo unaweza kuokoa maisha yako kwa sasa na ya uwapendao .
FACT may vary with time.
It is the FACT that now(July 2021) COVID19 vaccine does not affect our DNA negatively according to WHO/CDC reports. BUT the TRUTH is, we are not sure if in the future there will be no risky DNA interaction with these COVID19 vaccines shots which we are taking now out of punic and fear. No body knows the truth until now. It's just trials.
Historia toka kwenye gunduzi na vumbuzi za kisayansi imethibitika FACTS nyingi kuhusu vumbuzi au nadharia hizo zilikuja kubadilika.
Hata wakati wanagundua matumizi ya mabati ya asbestos au wanatumia asbestos material kama fireproof materials wenye majengo ya makazi ya binadamu hawakujua kama zitakuja kusababisha cancer baadaye. The TRUTH now zinakatazwa kwa matumizi hayo sababu ya hatari zake.
NOTE: Ukihisi unaweza kupoteza maisha kwa korona kabla ya kuujua ukweli (TRUTH) ni bora upate chanjo unaweza kuokoa maisha yako kwa sasa na ya uwapendao .
Acha unafiki, kama wewe hauchanjwi, waache wenye kutaka wachanjwe. Upo huko Uingereza lakini exposure haijakusaidia.
Halafu unajibu fasta sana, na haujibu hoja kwasababu unaongea kama upo kwenye kijiwe cha kahawa bila facts. Weka ushahidi kuwa chanjo inaingia kwenye DNA.