Tetesi: Tumtegemee RC Mtaka Dar?

Tetesi: Tumtegemee RC Mtaka Dar?

mchumihalisi

Member
Joined
Oct 8, 2015
Posts
28
Reaction score
98
Ziara ya Mheshimiwa Rais John P Magufuli kwa mikoa ya kanda ya ziwa inaibua vitu ambavyo vingine tulikua hatuvijui, moja wapo ni pamoja na hili la RC wa Simiyu Mheshimiwa MTAKA kuwa ndie RC BORA kwa sasa kwenye wateule wake wote waliopewa mikoa.

Kwa wasiomfahamu RC Mtaka ndiye aliewakataza watendaji wake kuweka watu ndani 'ovyo ovyo' badala yake wawaelimishe, Kitu ambacho watu walianza kusema kuwa hio sio kauli nzuri kwa utawala huu sasa leo Rais kathibitisha kuwa Mtaka ndiye RC BORA kuliko wote kwa mujibu wa taarifa zake ambazo anapatiwa, Hii inaashiria tumtegemee kwenye jiji hili lenye changamoto mbalimbali hivi punde?? Bado najiuliza.!!! Lakini niliwahi kupewa uzi na mtu 'Nyeti' kuwa miongoni mwa watu wanaoeleweka na mzee ni huyo Mtaka..! TUJIPE MUDA TU.

Mchumi Halisi
Sept 08 2018
 
Pia haumsikii sana "akigombania" nafasi kwenye vyombo vya habari au mitandao ya kijamii. Kiukweli RC Mtaka anajitahidi sana.

Kama ataletwa Dar, natuamini mipango na utekelezaji wa miradi ya maendeleo aliyoanzisha Simiyu haita suasua au kufa kabisa.
 
Ziara ya Mheshimiwa Rais John P Magufuli kwa mikoa ya kanda ya ziwa inaibua vitu ambavyo vingine tulikua hatuvijui, moja wapo ni pamoja na hili la RC wa Simiyu Mheshimiwa MTAKA kuwa ndie RC BORA kwa sasa kwenye wateule wake wote waliopewa mikoa.

Kwa wasiomfahamu RC Mtaka ndiye aliewakataza watendaji wake kuweka watu ndani 'ovyo ovyo' badala yake wawaelimishe, Kitu ambacho watu walianza kusema kuwa hio sio kauli nzuri kwa utawala huu sasa leo Rais kathibitisha kuwa Mtaka ndiye RC BORA kuliko wote kwa mujibu wa taarifa zake ambazo anapatiwa, Hii inaashiria tumtegemee kwenye jiji hili lenye changamoto mbalimbali hivi punde?? Bado najiuliza.!!! Lakini niliwahi kupewa uzi na mtu 'Nyeti' kuwa miongoni mwa watu wanaoeleweka na mzee ni huyo Mtaka..! TUJIPE MUDA TU.

Mchumi Halisi
Sept 08 2018
Tukumbuke tu RAS wake alikuwa katibu mkuu Tamisemi kama sijakosea.Na RAS yuko vizuri mno shida ya Mtaka ni ile ile ya vijana wengi waliopewa madaraka.
 
Ziara ya Mheshimiwa Rais John P Magufuli kwa mikoa ya kanda ya ziwa inaibua vitu ambavyo vingine tulikua hatuvijui, moja wapo ni pamoja na hili la RC wa Simiyu Mheshimiwa MTAKA kuwa ndie RC BORA kwa sasa kwenye wateule wake wote waliopewa mikoa.

Kwa wasiomfahamu RC Mtaka ndiye aliewakataza watendaji wake kuweka watu ndani 'ovyo ovyo' badala yake wawaelimishe, Kitu ambacho watu walianza kusema kuwa hio sio kauli nzuri kwa utawala huu sasa leo Rais kathibitisha kuwa Mtaka ndiye RC BORA kuliko wote kwa mujibu wa taarifa zake ambazo anapatiwa, Hii inaashiria tumtegemee kwenye jiji hili lenye changamoto mbalimbali hivi punde?? Bado najiuliza.!!! Lakini niliwahi kupewa uzi na mtu 'Nyeti' kuwa miongoni mwa watu wanaoeleweka na mzee ni huyo Mtaka..! TUJIPE MUDA TU.

Mchumi Halisi
Sept 08 2018
Ukimsikiliza mtu ambae ni kichaa kichaa na ana frustration utapata tabu sana.
 
Tupe uchafu wake basi usituhum tu
Cjamtuhumu, itakuwa hukusikiliza hotuba ya mheshimiwa. Alitamka kuwa alivyotoa jina la mtaka kwenye uteuzi, vyombo vyake vya ushauri ndani ya taasisi ya state house walimshauri kuwa jamaa hafai hata kupewa u DC ila jamaa akaforce kumpa u RC. Chaajabu yule mtu aliyeonekana na vyombo vya kumshauri rais kuwa hafaa leo ndio the best DC. Hii ina maana gani? Ni kuwa source of information ya taasisi ilipeleka ushauri wa majungu ili kuweza kumuaribia jamaa.
 
Ila kwa kauli ya kusema kuwa alipewa taarifa na watendaji wake kuwa mtaka ni mtu asiyefaa hii inadhihirisha kuwa taasisi yetu inafanya kazi kwa majungu na unafiki badala ya kufanya kazi kwa tija na uweledi
Inaonyeaha nikwajinsi gani wasaidizi wake hawatampa ushauri tena, uwe wa kweli au uwongo. Kwasababu anawasema hadharani kwamba wanamdanganya, au kwa maana ingine ni kwamba hasikilizi ushauri, wanajisumbua wanaomshauri
 
Back
Top Bottom