ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Kila mtu abakie na anavyoona inafaa maana wengine nyie mna negativity kubwa sana kwenye akili zenu.Ndio maana nikaamua nikujibu softly
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila mtu abakie na anavyoona inafaa maana wengine nyie mna negativity kubwa sana kwenye akili zenu.Ndio maana nikaamua nikujibu softly
Duh! Negativity Tena?! Mbona natumia lugha laini sana? Una umri Gani?? Na kwenye hizi Mambo una muda Gani?Kila mtu abakie na anavyoona inafaa maana wengine nyie mna negativity kubwa sana kwenye akili zenu.
Basi nisamehe Mimi! Leo siko kwenye mood ya kuelemisha MTU asiyetaka kuelimika! Nisamehe yaishe!Kesi ngapi ndio manake nini? DRC wanapitia mikataba yote na Wachina,Botswana wanapitia mikataba Yao na Makabulu ,kesi ngapi ndio nini Sasa umeongea?
Wewe wa iringa unahusikaje na bandari ya wazaramo wa dar nyau we kwenda zako hukoWenye kusema wamesema wapo waliolaani kupitishwa kwa mkataba huu wenye kushauri wameshauri njia nzuri za kuuvunja mkataba huu bila kuleta madhara makubwa watu wameziba masikio tutembee na msemo ule asiyesikia la mkuu huvunjika guu
Ni kweli tunahitaji wawekezaji lakini sio kwa mkataba huu unaotufanya kuwa watumwa ndani nchi yetu mkataba unasema DPW akihitaji kipande cha ardhi ndani ya nchi yetu basi watu itabidi waamishwe kwa mkataba huu DPW ni mkubwa kuliko serikali? huu ni utumwa jambo hili halikubaliki tunatakiwa kulipinga kwa nguvu zetu zote
Tumekaribisha hatari ndani ya nchi yetu ni sawa kufuga chatu ndani ya chumba unacholala muda wowote atakumeza
Miaka ijayo rais samia hatokuwa hai na huyo mtawala wa dubai hatokuwepo ila mkataba bado utakuwa hai watakuja watawala wengine hakutakuwa na connection yoyote kati ya watawala hapo mwarabu atakuwa anafanya vile anavyotaka na hamuwezi kumfanya lolote inaumiza sana kuwarudisha wakoloni
Rais samia kujiingiza kwenye mkataba huu mbovu ni kujitakia sifa mbaya ulianza vizuri kusahihisha makosa ya mtangulizi wako hayati Magufuli ila sasa unakotupeleka hatukujui msemo wa "mama anaupiga mwingi " tayari tumeshausahau
Tumesema sana tangu sakata hili limeanza la ubinafsishaji wa bandari kuwa mkataba mbovu lakini mmeamua kuziba masikio na kudharau maoni ya wananchi mmetupuuza wapambe wenu wanasema wenye nchi wameamua kuuza bandari yao
Kaeni mkijua mnaendesha nchi kipindi ambacho watu wapo active matumizi ya internet mabaya yenu hayawezi kufutika kamwe dhambi hii ya kuzulumu mali za watanganyika haiwezi kuwaacha salama sisi jambo hili tunamuachia Mungu
Wewe una umri.gani? Kwenye hizi mambo una mda gani?Duh! Negativity Tena?! Mbona natumia lugha laini sana? Una umri Gani?? Na kwenye hizi Mambo una muda Gani?
Umenena vizuri.Wewe wa iringa unahusikaje na bandari ya wazaramo wa dar nyau we kwenda zako huko
Adui namba moja wa maendeleo ya Tanzania yetu ni Mungu mwenyewe.Wenye kusema wamesema wapo waliolaani kupitishwa kwa mkataba huu wenye kushauri wameshauri njia nzuri za kuuvunja mkataba huu bila kuleta madhara makubwa watu wameziba masikio tutembee na msemo ule asiyesikia la mkuu huvunjika guu
Ni kweli tunahitaji wawekezaji lakini sio kwa mkataba huu unaotufanya kuwa watumwa ndani nchi yetu mkataba unasema DPW akihitaji kipande cha ardhi ndani ya nchi yetu basi watu itabidi waamishwe kwa mkataba huu DPW ni mkubwa kuliko serikali? huu ni utumwa jambo hili halikubaliki tunatakiwa kulipinga kwa nguvu zetu zote
Tumekaribisha hatari ndani ya nchi yetu ni sawa kufuga chatu ndani ya chumba unacholala muda wowote atakumeza
Miaka ijayo rais samia hatokuwa hai na huyo mtawala wa dubai hatokuwepo ila mkataba bado utakuwa hai watakuja watawala wengine hakutakuwa na connection yoyote kati ya watawala hapo mwarabu atakuwa anafanya vile anavyotaka na hamuwezi kumfanya lolote inaumiza sana kuwarudisha wakoloni
Rais samia kujiingiza kwenye mkataba huu mbovu ni kujitakia sifa mbaya ulianza vizuri kusahihisha makosa ya mtangulizi wako hayati Magufuli ila sasa unakotupeleka hatukujui msemo wa "mama anaupiga mwingi " tayari tumeshausahau
Tumesema sana tangu sakata hili limeanza la ubinafsishaji wa bandari kuwa mkataba mbovu lakini mmeamua kuziba masikio na kudharau maoni ya wananchi mmetupuuza wapambe wenu wanasema wenye nchi wameamua kuuza bandari yao
Kaeni mkijua mnaendesha nchi kipindi ambacho watu wapo active matumizi ya internet mabaya yenu hayawezi kufutika kamwe dhambi hii ya kuzulumu mali za watanganyika haiwezi kuwaacha salama sisi jambo hili tunamuachia Mungu
What do you mean by "final decision*?
Aisee!Nilichogundua tupige kelele hadi tupasuke watapitisha tu kwa mazingira yeyote tu bila kuangalia athari zake wacha niendelee na mishe zingine uzuri nishajua kuwa tumeveshwa Kingi ya Tatu mbovu...
hamnaHivi hii nchi ina viongozi kweli??