Tumuachie Mungu dhuluma hii uuzaji wa bandari zetu

Wewe wa iringa unahusikaje na bandari ya wazaramo wa dar nyau we kwenda zako huko
 
Nilichogundua tupige kelele hadi tupasuke watapitisha tu kwa mazingira yeyote tu bila kuangalia athari zake wacha niendelee na mishe zingine uzuri nishajua kuwa tumeveshwa Kingi ya Tatu mbovu...
 
Adui namba moja wa maendeleo ya Tanzania yetu ni Mungu mwenyewe.

Unasema umuachie Mungu!?

Pambania bandari hadi mwisho, ukishasema Umemuachia Mungu maana ake ni kwamba umeshindwa na umeacha tu.

Ukimuacha huyo Samia atafanya ajisikiavyo tu.
Kama hajakufurahisha pambana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…