Tumuenzi Rais Magufuli kwa kubana matumizi yasiyo ya lazima

Kwani ambao hawakujenga barabara na wamekula hizo hela zenu za kodi mmewafanya nini? Na yeye kama asingejenga bwawa la umeme mngemfanya nini? Wacha ujinga na chuki. Mzee nyerere rip alitumia kodi zetu kukombolea bara la Afrika mmemfanya nini? Wakati wa mzee JK kulikuwa na Richmond, Escrow mlimfanya nini?
 
Kauli zake za kubana matumizi nazikubali sana, Pesa nyingi ya Serekali hua inapotezwa kwa matumzi ya ovyo kabisa yasiyo na tija. Yani vitafunio katika hafla ya bunge tu zaweza tumika mamilioni, ni upuuzi na kutothmini pesa zetu ambazo zingetumika kwa masuala mengi ya kutusaidia mambo muhimu kama taifa.
Tatizo kiupande wake ni kuwa alikua akibana huku na kuzitumia kwengine, mambo ya kununua wapinzani na kuitisha uchaguzi mpya kila baada ya kununua wapinzani ziliondoa credibility yake yote katika hilo jambo.
 
Mkuu huo mkopo daiwa wa mil.109 anao daiwa alisoma degree nje ya nchi au? Na ni degree gn hyo ya kufikisha kudaiwa mil hzo?
Huyo ni Mwalimu. Hapo ni penalty plus interests.
( Value retention fees )
 
Elimu bure/bila malipo
SGR
Bwawa la umeme
Barabara
Bandari upanuzi
Viwanja vya ndege
Ununuzi wa ndege cash cash
Ujenzi wa vituo vya afya/hospitali
Ununuzi wa rada na meli
Mikopo vyuoni
Hostel za wanafunzi
Nk
Hata ufanye mambo.mazuri kiasigani.
Lakin kitendo cha.kufikilia na kusubutu kuhalibu.kutoa roho ya binadam mwenzio kwasababu ya.kumziba mdomo bado huwezi kunishawishi kumuona mtu huyo ni.shujaa au ni mzuri.
Wanaomsifia ote kwasababu hili halijawatokea kwenye familia zao.
Sikuzote shujaa wa kweli hawezi kuogopa kusemwa.
Bahati mbaya au nzuri hakimu mkuu kabisa kaamua na hakuna wa kumpa rushwa ya aina yoyote ile.
Naamin furaha ya kweli iliyopotea kwa watanzania wasiokua wanafiki itarudi.
Na watanzania hawataogopa kusema.
 
Nakwambia hivi...!!
Watanzania ni wapole sana.

Kwa bahatinzuri mwenyezi mungu hajawahi kuwaacha watanzania hawa wapole wasiokua na hatia ya kunyanyaswa hadi kufikia kila wanapokanyaga wanatetemeka kwa hofu ya mtu m1 na kundi lake la watu wachache wanaothubutu kufanya wanavyotaka bila ya hofu ya mungu wakati huo wanamtaja kila wakati kwa unafiki.
Kiukweli mwenyez mungu wa watanzania acha awapumnzishe kwa amani na kwa kasi.
Anayo majina yao mkononi na anazidi kuyakata.

Hakuna kitu.kilichoniuma kama tetemeko linapiga kule watu wanajitolea kutoa misaada ,misaada imetolewa zaid ya bilioni20.
Matokeo yake walengwa hawajapewa wameambulia masimango na kuambiwa wanajali sana katelelo na ndio maana tetemeko nalo limetetemeka.na wao watetemeke wajenge wenye.

Mambo kama haya labda kama hakuna mungu.

Mungu hadhihakiwi.
Lazima akutangulize pamoja ote tunaenda.
 
Watu wamejenga barabara toka Mwanza hadi Dar, kilometa zaidi ya 1000, mwingine kaja kujenga daraja pale Ubungo wanasema ooh! kafanya kazi kubwa kuliko yeyote! Mataga wana shida.
 
Mtu anawafanya watu wazima wenzie mazezeta, kila sentensi wanamtaja majina yake manne.
 
Ule msururu wa Magari ya kifahari ukiutizama kwa haraka haraka ukiambiwa nchii hii Kuna watu Bado wanakufa kwa kukosa dawa hautaamini asilani
 
Huu ni mradi watu wanapiga pesa sn kwa sasa
 
Tuna katiba mbovu sn yaani tunaamini maendeleo ni hisani ya mtu
 
Ila kwa miradi ya hovyo ya Chato kama airport kubwa ya kisasa mahali pasipokuwa na watu wengi yalikuwa ni matumizi sahihi
 
Mtu anawafanya watu wazima wenzie mazezeta, kila sentensi wanamtaja majina yake manne.
Hahahahahahahahahahahaha.........
Wanaogopa, na uoga umewajenga kua wanafiki.

Hatar sana.
 
Msafara wa Magufuli ulikua na magari 60, ni matumizi gani aliyoyabana? Tunamuenzi jinsi alivyoishi kasoro tu hakuna wa kugawa pesa barabarani sasa hivi.
 
Msafara wa Magufuli ulikua na Zmagsri 60, ni matumizi gani aliyoyabana? Tunamuenzi jinsi alivyoishi kasoro tu hakuna wa kugawa pesa barabarani sasa hivi.
Na helkopta kwa juu.

Anahamia miezi kufanyia kazi nyumbani kwao. Wakuu na mabosi wote wanamfuata huko. Wanapishana hotelini tu.
 
Wewe mbona upo hujapotea? Waliopotea walifanya nini?

Kaka yangu hata Marekani na Ulaya watu wanapotea sana na kufungwa jela mpaka basi. Kila kitu kina mipaka yake.

Lakini lazima ujue kuwa vibaraka wa mabeberu wako wengi sana wanaoifanya Afrika yote isiwe na maendeleo kwa wakati mmoja. Watu hawa ni ngumu sana kuwafahamu kwakuwa wengi wamejificha kwenye mashirika ya kidini, taasisi za masaada na hisani .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…