Kwani ambao hawakujenga barabara na wamekula hizo hela zenu za kodi mmewafanya nini? Na yeye kama asingejenga bwawa la umeme mngemfanya nini? Wacha ujinga na chuki. Mzee nyerere rip alitumia kodi zetu kukombolea bara la Afrika mmemfanya nini? Wakati wa mzee JK kulikuwa na Richmond, Escrow mlimfanya nini?Umasikini na ufinyu wa fikra unawafanya mataga wengi waone kujengewa miundombinu na serikali ni kama fadhila kwao yani kitu ambacho hawakustahili..kwa kifupi wanasiasa huomba kura ili wayafanye hayo so niwajibu wao kutekeleza maana fedha zinatoka kwa wananchi sio mifukoni mwao..ebu ficha ujinga wako.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu huo mkopo daiwa wa mil.109 anao daiwa alisoma degree nje ya nchi au? Na ni degree gn hyo ya kufikisha kudaiwa mil hzo?Elimu yako unaonekana ngumbaru kabisa.
Huyo ni Mwalimu. Hapo ni penalty plus interests.Mkuu huo mkopo daiwa wa mil.109 anao daiwa alisoma degree nje ya nchi au? Na ni degree gn hyo ya kufikisha kudaiwa mil hzo?
Hao ni malofa aliowaaminisha ulofa ni sifa wakati ni laana....
Kama hayo ni ya kweli, wale wanaofurika, kulia na kutandika nguo zao barabarani kwenye msiba wa JPM ni akina nani kama hajafanya kitu kwao? Wanalia nini? Ni wanafiki? Wanadanganya? Ebhanae!!!
Hata ufanye mambo.mazuri kiasigani.Elimu bure/bila malipo
SGR
Bwawa la umeme
Barabara
Bandari upanuzi
Viwanja vya ndege
Ununuzi wa ndege cash cash
Ujenzi wa vituo vya afya/hospitali
Ununuzi wa rada na meli
Mikopo vyuoni
Hostel za wanafunzi
Nk
Nakwambia hivi...!!1. SGR tiamaji tiamaji. Miaka mitano SGR iko Moro. Fedha hakuna hadi kakopa.
2. Rada ni mradi wa Kikwete, imefungwa awamu ya 5 baada ya terminal 3 kukamilika.
3. Labda barabara za mitaani. Hakuna mkoa aliojenga barabara ya kufika km 200. Kama ipo itaje.
4. Kajenga uwanja wa ndege mmoja tu, kwao Chato.
5. Ndege kanunua bila mipango ya kibiashara ndio manaa hasara kila siku. Ili kuficha hilo alikataza shirika la ndege lisikaguliwe na CAG. Katika kutapa tapa kibiashara akaona aue mashirika shindani japo haijasaidia.
6. Ujenzi wa vituo vya afya/hospitali- hii ni kweli.
7. Mikopo vyuoni ilikuwepo tangu enzi, tena ndio kaharibu kuliko alivyokuta. Zaidi kawanyima mikopo watoto waliosoma private.
8. Hostel za wanafunzi- hadhi ya urais si ya kujenga hostel mbili za milioni 500 kila mmoja. Rais wa nchi anasifiwa kwa hostel mbili?
Zaidi kaeneza chuki za kisiasa, ukanda, ukabila na kujenga matabaka. Mambo ambayo yalimgharimu sana Mwl kuyamaliza. Alikuwa anatupeleka kwenye mgawanyiko kama uliopo Kenya au Uganda
Watu wamejenga barabara toka Mwanza hadi Dar, kilometa zaidi ya 1000, mwingine kaja kujenga daraja pale Ubungo wanasema ooh! kafanya kazi kubwa kuliko yeyote! Mataga wana shida.Umasikini na ufinyu wa fikra unawafanya mataga wengi waone kujengewa miundombinu na serikali ni kama fadhila kwao yani kitu ambacho hawakustahili..kwa kifupi wanasiasa huomba kura ili wayafanye hayo so niwajibu wao kutekeleza maana fedha zinatoka kwa wananchi sio mifukoni mwao..ebu ficha ujinga wako.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu anawafanya watu wazima wenzie mazezeta, kila sentensi wanamtaja majina yake manne.Hata ufanye mambo.mazuri kiasigani.
Lakin kitendo cha.kufikilia na kusubutu kuhalibu.kutoa roho ya binadam mwenzio kwasababu ya.kumziba mdomo bado huwezi kunishawishi kumuona mtu huyo ni.shujaa au ni mzuri.
Wanaomsifia ote kwasababu hili halijawatokea kwenye familia zao.
Sikuzote shujaa wa kweli hawezi kuogopa kusemwa.
Bahati mbaya au nzuri hakimu mkuu kabisa kaamua na hakuna wa kumpa rushwa ya aina yoyote ile.
Naamin furaha ya kweli iliyopotea kwa watanzania wasiokua wanafiki itarudi.
Na watanzania hawataogopa kusema.
Huu ni mradi watu wanapiga pesa sn kwa sasaRais Magufuli (RIP) hakupenda matumizi ya hovyo kabisa kwenye maisha yake ya uongozi. Hivyo, hata kwenye mazishi yake lazima tuzingatie matumizi ambayo yanaongeza gharama ambazo sio za lazima katika kupunsishwa kwake kwenye nyumba yake ya milele ili pesa hizo zielekezwe kwenye ujenzi wa miradi aliyoiasisi.
Rais Magufuli alichukia sana matumizi yasio na tija, na wakati mwingine aliachana na sherehe za uhuru na mwenge ili aokoe hela zikatumike kwwnye miradi mingine.
Watanzania tusijekuambiwa maziko yake yalitumia mabilioni ya fedha, atasikitika sana huko aliko.
Upigaji usijeukarudi kwa kuanzia na ugongwa na mazishi yake.
Tuna katiba mbovu sn yaani tunaamini maendeleo ni hisani ya mtuUmasikini na ufinyu wa fikra unawafanya mataga wengi waone kujengewa miundombinu na serikali ni kama fadhila kwao yani kitu ambacho hawakustahili..kwa kifupi wanasiasa huomba kura ili wayafanye hayo so niwajibu wao kutekeleza maana fedha zinatoka kwa wananchi sio mifukoni mwao..ebu ficha ujinga wako.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila kwa miradi ya hovyo ya Chato kama airport kubwa ya kisasa mahali pasipokuwa na watu wengi yalikuwa ni matumizi sahihiRais Magufuli (RIP) hakupenda matumizi ya hovyo kabisa kwenye maisha yake ya uongozi. Hivyo, hata kwenye mazishi yake lazima tuzingatie matumizi ambayo yanaongeza gharama ambazo sio za lazima katika kupunsishwa kwake kwenye nyumba yake ya milele ili pesa hizo zielekezwe kwenye ujenzi wa miradi aliyoiasisi.
Rais Magufuli alichukia sana matumizi yasio na tija, na wakati mwingine aliachana na sherehe za uhuru na mwenge ili aokoe hela zikatumike kwwnye miradi mingine.
Watanzania tusijekuambiwa maziko yake yalitumia mabilioni ya fedha, atasikitika sana huko aliko.
Upigaji usijeukarudi kwa kuanzia na ugongwa na mazishi yake.
Hahahahahahahahahahahaha.........Mtu anawafanya watu wazima wenzie mazezeta, kila sentensi wanamtaja majina yake manne.
Na helkopta kwa juu.Msafara wa Magufuli ulikua na Zmagsri 60, ni matumizi gani aliyoyabana? Tunamuenzi jinsi alivyoishi kasoro tu hakuna wa kugawa pesa barabarani sasa hivi.
Wewe mbona upo hujapotea? Waliopotea walifanya nini?Hata ufanye mambo.mazuri kiasigani.
Lakin kitendo cha.kufikilia na kusubutu kuhalibu.kutoa roho ya binadam mwenzio kwasababu ya.kumziba mdomo bado huwezi kunishawishi kumuona mtu huyo ni.shujaa au ni mzuri.
Wanaomsifia ote kwasababu hili halijawatokea kwenye familia zao.
Sikuzote shujaa wa kweli hawezi kuogopa kusemwa.
Bahati mbaya au nzuri hakimu mkuu kabisa kaamua na hakuna wa kumpa rushwa ya aina yoyote ile.
Naamin furaha ya kweli iliyopotea kwa watanzania wasiokua wanafiki itarudi.
Na watanzania hawataogopa kusema.