mtzedi
JF-Expert Member
- Dec 13, 2011
- 5,983
- 6,171
Serikali hazijawahi kubana matumizi ndio maana bajeti za matumizi yasiyo maendeleo ni 75% wakati bajeti ya maendeleo ni 25% miaka nenda rudi.
Kubana matumizi ni kama
*Kupunguza posho za wabunge
*Kuondoa vyeo vya wakuu wa wilaya
*Watumishi wapewe probox badala ya mavieite
Kubana matumizi ni kama
*Kupunguza posho za wabunge
*Kuondoa vyeo vya wakuu wa wilaya
*Watumishi wapewe probox badala ya mavieite