Kwakuwa ipo tayari ni rahisi kwetu kuitafutia kitu cha kufanya, kwani jeshi haliitaki pia? Ni kweli kakosea kwenye vipaumbele lakini sio kweli kwamba uwanja wa ndege hauhitajiki kule. Hata kwenu ungependa kujengwe airport, train na barabaraAirport ya Chato ilikuwa na faida gani kwa Taifa Kama Magufuli alikuwa akibana matumizi?
Acheni kulisifia Hilo jizi la majizi
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Unamuenzi mtu ambaye aliamini kwenye u yeye badala ya taasisi inayoongezwa na sheria?Rais Magufuli (RIP) hakupenda matumizi ya hovyo kabisa kwenye maisha yake ya uongozi. Hivyo, hata kwenye mazishi yake lazima tuzingatie matumizi ambayo yanaongeza gharama ambazo sio za lazima katika kupunsishwa kwake kwenye nyumba yake ya milele ili pesa hizo zielekezwe kwenye ujenzi wa miradi aliyoiasisi.
Rais Magufuli alichukia sana matumizi yasio na tija, na wakati mwingine aliachana na sherehe za uhuru na mwenge ili aokoe hela zikatumike kwwnye miradi mingine.
Watanzania tusijekuambiwa maziko yake yalitumia mabilioni ya fedha, atasikitika sana huko aliko.
Upigaji usijeukarudi kwa kuanzia na ugongwa na mazishi yake.
Ninamtetea, wanaCCM wenzake waliimba hiyenahiyena wakati wote hata pale SUKITA, RUBADA, EPA, Escrow, Richmond, makenikia, mashirika ya umma na viwanda, nyumba za serikali kuuzwa kwa bei ya kutupwa na mali lukuki kutafunwa. Alikosa mtu wa kumuamini ndani ya ccmUnamuenzi mtu ambaye aliamini kwenye u yeye badala ya taasisi inayoongezwa na sheria?
Ziwapi sheria za kuwatetea watu na mifumo aloweka magufuli?
Je si kweli kwamba aliendesha nchi kama familia yake iliyotegemea ukali wa baba? Baba hayupo wapumbavu wanalia kama zuzu?