Tumuombee Legend Pele katika safari yake ya kupumzika kwa amani.Yupo "PALLIATIVE CARE "kwa sasa

Tumuombee Legend Pele katika safari yake ya kupumzika kwa amani.Yupo "PALLIATIVE CARE "kwa sasa

Umri ikishasogea sana na maradhi mtu anakuwa haogopi tena kifo

Unanikumbusha Babu yangu ikifika mahali analili kifo kije kumchukua. Anasema mie wanini Sasa, sioni Wala siwezi kufanya kazi yeyote, Bora nice.

Akisikia mtu amefariki anauliza inamaana hamjakiambia kifo namie nakihitaji?
 
Pele[emoji26][emoji26][emoji26]safari njema dingiii[emoji1488]dah[emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]
Pelé released a statement on his health [emoji3590]
IMG_20221204_195320_099.jpg
 
Hakuna namna! Kikubwa tu Mwenyezi Mungu amsamehe dhambi zake zote kingali anapumua ili aingie mahala pema peponi! Siku na saa anajua Mwenyezi MUNGU.
 
Jamani na watakuwa walijuwa anytime anakufa. Mmh sipati picha alikuwa under care kiasi gani, watakuwa walifanya kila njia ikashindikana
Walikuwa wameandaa kila kitu miaka mingi kabla
Wenzetu hawajui uchuro bali wanajua kifo kitakuja tu na maandalizi muhimu
Walimuangalia sana na wakati wa covid alikuwa isolated na familia yote mpaka mme wake
Ila baadae aliletewa mme wake Windsor castle

Kwa kweli maradhi ya cancer ni mabaya sana na yanauma haswa labda uwe constantly kwenye madawa ya kupunguza maumivu kwa sana
 
Walikuwa wameandaa kila kitu miaka mingi kabla
Wenzetu hawajui uchuro bali wanajua kifo kitakuja tu na maandalizi muhimu
Walimuangalia sana na wakati wa covid alikuwa isolated na familia yote mpaka mme wake
Ila baadae aliletewa mme wake Windsor castle

Kwa kweli maradhi ya cancer ni mabaya sana na yanauma haswa labda uwe constantly kwenye madawa ya kupunguza maumivu kwa sana
Ila kwa umri wake hata si mbaya, matunzo yalichangia yeye kuishi muda mrefu ,angekuwa akina sie ashakufaga muda mrefu
 
Ila kwa umri wake hata si mbaya, matunzo yalichangia yeye kuishi muda mrefu ,angekuwa akina sie ashakufaga muda mrefu
Na kama kula Bata mbona kala sana tu
Alikuwa anaitwa Million Mile Queen
Yaani kamezunguka Dunia maili zaidi ya million

Nchi 117 sio mbaya eti?
Halafu mimi nimeenda nchi 32 najiona nimezunguka saaaanaaa [emoji1]

Kama ni starehe kapata na kaupiga mwingi
Kwa umri huo ni sawa kaumaliza mda
Yaani tuombe afya sio umri kwa kweli
 
Na kama kula Bata mbona kala sana tu
Alikuwa anaitwa Million Mile Queen
Yaani kamezunguka Dunia maili zaidi ya million

Nchi 117 sio mbaya eti?
Halafu mimi nimeenda nchi 32 najiona nimezunguka saaaanaaa [emoji1]

Kama ni starehe kapata na kaupiga mwingi
Kwa umri huo ni sawa kaumaliza mda
Yaani tuombe afya sio umri kwa kweli
Haa wewe umezunguka loh nchi 32 aiseee sasa mimi nisememe nini naishigi tu East Africa 😅😅😅
 
Legend Pele kahamishiwa Palliative care unit. Yaani huku mgonjwa hulazwa endapo curative care haiwezekani tena. Palliative anapewa dawa za kupunguza maumivu tu,huku akisubiri siku ya kurudi kwa Mungu ambayo haipo mbali sana.

Almost itakuwa before January.
Tumuombee Pele ,maumivu ya cancer si mchezo.
Finally. Inasikitisha ila as far as binadamu huzaliwa,basi lazima afe. R.I.P mfalme wa soccer.
 
Back
Top Bottom