Tumuombee Legend Pele katika safari yake ya kupumzika kwa amani.Yupo "PALLIATIVE CARE "kwa sasa

Tumuombee Legend Pele katika safari yake ya kupumzika kwa amani.Yupo "PALLIATIVE CARE "kwa sasa

C4801474-6DE1-43BD-95FF-E97475C41CC1.jpeg
 
Sio kweli mkuu... siyo kweli!!

Ni vema kukaa kimya kuliko kupotosha jamii na kuijanza uongo..

Cancer ni abnormal growth of the cells... aidha cells kuzalisha kwa wingi au kuongezeka size kupita kiasi...!!

Sababu hatarishi za saratani ni nyingi sana kwani hata saratani zenyewe ziko za aina nyingi pia

Hata hiyo ya x-rays bado umepotosha japo sikatai kuwa mionzi ikitumika vibaya inaweza kuwa kisababishi cha saratani... ndo maana inahitaji kufanywa na wataalamu husika!

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Ni myth mzee !! Rejea nilichoandika unaweza ukaeleza zaidi , hyo ni myth nilishawai kusikia .

Kama uko njema toa elimu.
 
Bila waingereza kutumia Hooliganism yao; na marefa waingereza kuachia pele apigwe kiatu na kila mtu mpaka kuumia na ku-retire (baada ya 1966) England isingeshinda hilo Kombe la 1966

1670130374823.png

Eusebio akimuonea huruma Pele baada ya muendelezo wa kupigwa buti
1670130519994.png

There is only one Pele..., Pele is more than Football Pele is even more than Edson Arantes DoNascimento...

Yaani hadi Brazil Bunge lilimfanya Pele ni Nyara ya Serikali ili kuondoa uwezekano wa Pele kununuliwa na kucheza vilabu vya nje....

Whilst rumours had emerged in Brazilian newspaper sources for many years about European clubs coming in for Pelé, it wasn’t until the early 1960s when things began to intensify. It was during this time that Santos began to receive tempting offers from giants of the European game such as Real Madrid, Juventus, Inter Milan and Manchester United.

In 1961, Inter signalled their intent with a million dollar bid for the Santos striker. Rumours began to emerge around the streets of Vila Belmiro, Santos’s homeland, about Pelé leaving the club. Unsurprisingly, the fans weren’t happy. Santos, however, rejected the deal, much to the relief of their supporters. Nevertheless, fears remained about how long Pelé would remain in Brazil.

It wasn’t just Santos being targeted, however, as clubs were also approaching Pelé personally. In an interview with FourFourTwo Magazine in 2005, Pelé revealed that Juventus chairman Gianni Agnelli had personally offered Pelé a share in Fiat in an attempt to lure the Brazilian to the Old Lady.

Back in his office in Brasília, Jânio Quadros had gotten wind about the European advances for Pelé. Quadros was aware by now that his public support was negligible at best. After all, a president who banned bikinis in a country rich in beaches was always going to be unpopular; it sounds trivial but it was a highly contentious issue.

Pelé’s departure to Europe had the potential to effectively end Quadros’ presidential tenure. He was more than a footballer to Brazil having contributed to their first ever World Cup, and Quadros knew he couldn’t be known as the man responsible for Pelé’s departure. Fearing for his political future, the president acted quickly, gathering together a coalition of willing partners and pushed through a bill naming Pelé as a national treasure. This was not a token act aimed at massaging the striker’s ego; it was a law that prevented Pelé from being transferred out of the country.
 
Pele with 1279 goals out of 1381 games
Pele with 77 goals out of 92 games for National team
Pele with 3 World Cup out of 4 World Cup he played and out of 5 the country ever won
Pele won World Cup at 17 years no one else …

The legend
 
Bila waingereza kutumia Hooliganism yao; na marefa waingereza kuachia pele apigwe kiatu na kila mtu mpaka kuumia na ku-retire (baada ya 1966) England isingeshinda hilo Kombe la 1966

View attachment 2434873
Eusebio akimuonea huruma Pele baada ya muendelezo wa kupigwa buti
View attachment 2434876
There is only one Pele..., Pele is more than Football Pele is even more than Edson Arantes DoNascimento...

Yaani hadi Brazil Bunge lilimfanya Pele ni Nyara ya Serikali ili kuondoa uwezekano wa Pele kununuliwa na kucheza vilabu vya nje....
Mhhhh aisee....sipati picha au alikua anaruka hewani?
 
Pele with 1279 goals out of 1381 games
Pele with 77 goals out of 92 games for National team
Pele with 3 World Cup out of 4 World Cup he played and out of 5 the country ever won

The legend
Duuuuh
 
Babu yangu yuko namtumbo ana 85 haoni vizuri anatumia alifanyiwa operation ya macho mwaka 2018 pale peramiho anatumia miwani ya macho wajukuu zake tunamuita fundi mageti ila mpaka sasa anaenda shambani analima na anadamka asubuhi sana kabla ya wajukuu zake
Ila mzee pelle na umri huo yuko hoi M/Mungu amrehemu
 
Kombe la dunia la Kwanza Brazil Kushinda (Pele akiwa na miaka 17, kijana Mweusi kipindi cha ubaguzi) ingawa alikuja kama reserve....

Mechi na Sweden Goli alilofunga mpira kauweka kifuani, akapinda na kumuacha mlinzi anashangaa, mlinzi mwingine kala kanzu..., akaachia volley moja matata sana....,
 
Back
Top Bottom