Tumuombee Legend Pele katika safari yake ya kupumzika kwa amani.Yupo "PALLIATIVE CARE "kwa sasa

Tumuombee Legend Pele katika safari yake ya kupumzika kwa amani.Yupo "PALLIATIVE CARE "kwa sasa

Legend Pele kahamishiwa Palliative care unit. Yaani huku mgonjwa hulazwa endapo curative care haiwezekani tena. Palliative anapewa dawa za kupunguza maumivu tu,huku akisubiri siku ya kurudi kwa Mungu ambayo haipo mbali sana.

Almost itakuwa before January.
Tumuombee Pele ,maumivu ya cancer si mchezo.
Acha uchuro basi bibie
 
Last week waliweka program kuhusu maisha yake na Autobiography na walioandika maisha yake
Kwa mara ya kwanza wakasema ukweli kuwa alikuwa anasumbuliwa mwaka mzima na cancer ya mifupa

Hawakutaka watu wajue mwanzo ila wamesema
Jamani na watakuwa walijuwa anytime anakufa. Mmh sipati picha alikuwa under care kiasi gani, watakuwa walifanya kila njia ikashindikana
 
Legend Pele kahamishiwa Palliative care unit. Yaani huku mgonjwa hulazwa endapo curative care haiwezekani tena. Palliative anapewa dawa za kupunguza maumivu tu,huku akisubiri siku ya kurudi kwa Mungu ambayo haipo mbali sana.

Almost itakuwa before January.
Tumuombee Pele ,maumivu ya cancer si mchezo.
Aliichezea simba au yanga? Wampeleke mlonganzila kuna madaktari wataalamu sana pale
 
Kuna myth nyingi ila hata cells za mwili zikifa zinadecompose zinakuwa sumu na ile sehemu zilipodecompose Inakuwa ndo cancer inaanzia pale.

Mfano unajua zile x-ray scanner Zina mionzi mikali ukipiga mara kwa mara kweny mwili zinaweza kuua cell ,sasa cells zikifa zinarundikana na kudecomposed basi ni uchafu na ni cancer ile sehemu na inaanza kusambaa kuua cells nyingine na hapo ndo unashangaa inasambaa .

Zipo sababu nyingi San za cancer hata baadhi ya kemikali kweny vinjwaji zinaweza kuleta cancer mwili..ubaya kuhusu cancer inasambaa sana unaweza kupata caner ya damu hii mzee fasta inakimbiza na kusambaa katika mwili..Kuna mpak ya mifupa yaani acha tu.
Sio kweli mkuu... siyo kweli!!

Ni vema kukaa kimya kuliko kupotosha jamii na kuijanza uongo..

Cancer ni abnormal growth of the cells... aidha cells kuzalisha kwa wingi au kuongezeka size kupita kiasi...!!

Sababu hatarishi za saratani ni nyingi sana kwani hata saratani zenyewe ziko za aina nyingi pia

Hata hiyo ya x-rays bado umepotosha japo sikatai kuwa mionzi ikitumika vibaya inaweza kuwa kisababishi cha saratani... ndo maana inahitaji kufanywa na wataalamu husika!

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
 
Legend Pele kahamishiwa Palliative care unit. Yaani huku mgonjwa hulazwa endapo curative care haiwezekani tena. Palliative anapewa dawa za kupunguza maumivu tu,huku akisubiri siku ya kurudi kwa Mungu ambayo haipo mbali sana.

Almost itakuwa before January.
Tumuombee Pele ,maumivu ya cancer si mchezo.
Pele adumu milele, na atadumu daima hata kama mwili utamtoka
 
Back
Top Bottom