Mtoto wa Jadu
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 419
- 1,020
Duh!
Watu humu mnaongea utafikiri mmeshawasiliana na muumba wake kwamba atafariki soon
Tukumbuke kuwa maisha ni fumbo, na kila mtu hajui ni siku gani atatwaliwa!!
Usishangae kuona kuwa, weww ambaye ni mzima, ukatwaliwa kabla yake yeye ambaye tunadhani atatangulia soon!
Kifo si cha kumtabiria mtu, kwa kuwa ni chetu sote!!
Nimesikitika sana!
Watu humu mnaongea utafikiri mmeshawasiliana na muumba wake kwamba atafariki soon
Tukumbuke kuwa maisha ni fumbo, na kila mtu hajui ni siku gani atatwaliwa!!
Usishangae kuona kuwa, weww ambaye ni mzima, ukatwaliwa kabla yake yeye ambaye tunadhani atatangulia soon!
Kifo si cha kumtabiria mtu, kwa kuwa ni chetu sote!!
Nimesikitika sana!