Tumuombee sana Profesa J

Tumuombee sana Profesa J

Wakati mwingine maradhi hutokea kama mitihani tu kwa mwanadamu na ukumbusho kwa wengine kuwa sisi SI lolote si chochote mbele ya mola wetu........

Unaweza ukafuata taratibu zote za kiafya lakini ukaangukia kwenye likakutesa na kuyachukua maisha yako.......

Kutokana na hali zetu za kimaisha tulio wengi tunakula na kunywa tunavyovipata na sio tunavyovitaka........

Kitu Cha muhimu ni kuishi kwa wema na wanadamu wenzako maana hakuna ajuae siku wala saa.........
Ni kweli
 
Kuna nyimbo zaidi ya tatu nimemsikia Jay wa Mitulinga akisema "mshazusha sana kua nimeathirika",Jay Ana miwaya..pia kalapina kwenye ngoma yake beef akisema Jay kaungua..najua yote sanaa tu,mwamba atapona tunamuombea...
 
Kuna wimbo wake mmoja unaitwa 'Kipi Sijasikia' kuna mstari anasema ' . . . hata maji kwenye glasi wanasema nakunywa pombe . . .'

Nisiwe muongo nafikiria nawapataje ndugu zake niwauzie figo.
Daaaaah [emoji26]
 
Back
Top Bottom