Tumuunge mkono Miss Tanzania atatuwakilisha vyema Miss World

Tumuunge mkono Miss Tanzania atatuwakilisha vyema Miss World

yule dada mbona ni full mkorogo na manywele ya kubandika. kweli tz ndo tunawanawakewbaya hivyo!!! mi siamini

ungeshiriki wewe mwenye manywele ya kizungu
 
Lete ushahidi wa huu umbea wako.

Picha ya passport yake imeambatanishwa nadhani huo ni ushahidi tosha...Ila kama haitoshi na yeye mwenyewe amejibu swali la waandishi wa habari kuwa hiyo ni private issue sasa kwa watu tunaofikiri ndani na nje ya box tunajiuliza why should someone like tht represent our NATION... ILA Nimekubaliana na mawazo yako.. upo sahihi... Ana miaka 23...
 
Picha ya passport yake imeambatanishwa nadhani huo ni ushahidi tosha...Ila kama haitoshi na yeye mwenyewe amejibu swali la waandishi wa habari kuwa hiyo ni private issue sasa kwa watu tunaofikiri ndani na nje ya box tunajiuliza why should someone like tht represent our NATION... ILA Nimekubaliana na mawazo yako.. upo sahihi... Ana miaka 23...

Sitti ameleta cheti original cha kuzaliwa. Na wewe lete hiyo paspprt yake.original t
 
4.Sitti amekaa na wazungu muda mrefu so hawezi kujifeel inferior atakapokuwa nao kwenye mashindano.


Kweli wewe Laki sio pesa mwili mkubwa akili chache kweli aaaah yaaani hii Tanzania mapopompo tupo wengi sana.Inabidi JK akirudi China tuombe apitishe upimwaji wa akili za wananchi wake aaaah.
Mtu utatoaje comment ''Eti Sitti amekaa na wazungu sana so hawezi kujifeel inferior'' stupid thinking.Ndio maana jana kaulizwa tupe kituo ulichoripoti upoteaji wa Cheti cha kuzaliwa watu wakafokonyoe mafaili eti oooh tumtafute kwa muda mwingine hahaha kweli ''ONLY IN TANZANIA''
 
4.Sitti amekaa na wazungu muda mrefu so hawezi kujifeel inferior atakapokuwa nao kwenye mashindano.


Kweli wewe Laki sio pesa mwili mkubwa akili chache kweli aaaah yaaani hii Tanzania mapopompo tupo wengi sana.Inabidi JK akirudi China tuombe apitishe upimwaji wa akili za wananchi wake aaaah.
Mtu utatoaje comment ''Eti Sitti amekaa na wazungu sana so hawezi kujifeel inferior'' stupid thinking.Ndio maana jana kaulizwa tupe kituo ulichoripoti upoteaji wa Cheti cha kuzaliwa watu wakafokonyoe mafaili eti oooh tumtafute kwa muda mwingine hahaha kweli ''ONLY IN TANZANIA''

Well said....
 
4.Sitti amekaa na wazungu muda mrefu so hawezi kujifeel inferior atakapokuwa nao kwenye mashindano.


Kweli wewe Laki sio pesa mwili mkubwa akili chache kweli aaaah yaaani hii Tanzania mapopompo tupo wengi sana.Inabidi JK akirudi China tuombe apitishe upimwaji wa akili za wananchi wake aaaah.
Mtu utatoaje comment ''Eti Sitti amekaa na wazungu sana so hawezi kujifeel inferior'' stupid thinking.Ndio maana jana kaulizwa tupe kituo ulichoripoti upoteaji wa Cheti cha kuzaliwa watu wakafokonyoe mafaili eti oooh tumtafute kwa muda mwingine hahaha kweli ''ONLY IN TANZANIA''

wewe ni wakuhurumiwa tu. hujui utendalo
 
yule dada mbona ni full mkorogo na manywele ya kubandika. kweli tz ndo tunawanawakewbaya hivyo!!! mi siamini


Tena sura imechujuka na huo mkorogo utafikiri wa miaka 35 kumbe wa 29 lol!
 
Miss wetu wapiii miss wa lundenga huyooo asitubebeshe zigo la ma.v

Hawezi.kuwa miss wako kwa sababu wewe ni mkimbizi sio mtanzania. Sisi watanzania Siti ndio miss wetu wa ukweli
 
mimi ni mpenda haki

Haki??? Ipi na ya nani..??? na kama watetea haki lazima uwe neutral... Ila kama ni haki lazima ujiulize kwanini muwakilishi wako awe na documents zenye different in date of birth?? Na amelithibitisha hilo alipojibu swali la mwandishi... Anawanyima haki wanao stahili kuwania hilo taji...

1. Sasa wewe watetea haki ya nani???
2. Watanzania??
3. Ma-miss wanao stahili na wenye vigezo???
4. Au haki ya nchi yako kuwakilishwa na mtu anayestahili na mwenye weledi Sio ujanja ujanja???

Haki ipi na ya nani???
 
Hawezi.kuwa miss wako kwa sababu wewe ni mkimbizi sio mtanzania. Sisi watanzania Siti ndio miss wetu wa ukweli

Mbona kama unatusemea.. Wengi Huku ndani wanapingana na fikra zako sasa kama mtanzania naomba ujisemee mwenyewe Sio watanzania... Hivi Unajua maaana ya ukimbizi?? So sisi tulio nje ya nchi zetu ni wakimbizi???

??? Yaani hoja zako hazina mashiko kabisa... Jibu hoja, hoja ya u-nchi imeanzia wapi???
 
Haki??? Ipi na ya nani..??? na kama watetea haki lazima uwe neutral... Ila kama ni haki lazima ujiulize kwanini muwakilishi wako awe na documents zenye different in date of birth?? Na amelithibitisha hilo alipojibu swali la mwandishi... Anawanyima haki wanao stahili kuwania hilo taji...

1. Sasa wewe watetea haki ya nani???
2. Watanzania??
3. Ma-miss wanao stahili na wenye vigezo???
4. Au haki ya nchi yako kuwakilishwa na mtu anayestahili na mwenye weledi Sio ujanja ujanja???

Haki ipi na ya nani???

Sitti hakujipa ushindi mwenyewe.. Majaji walimpa ushindi baada ya kumuona amekithi vigezo vyao vyote ukilinganisha na mamiss wengine.. sasa wewe mnyalukolo unavyolalamika nakushangaa sana.. Majaji waliokuwa wanashinda na mamiss camp na kuwaangalia ndio wamempa ushind.. Sasa kosa lake liko wapi?
 
Sitti hakujipa ushindi mwenyewe.. Majaji walimpa ushindi baada ya kumuona amekithi vigezo vyao vyote ukilinganisha na mamiss wengine.. sasa wewe mnyalukolo unavyolalamika nakushangaa sana.. Majaji waliokuwa wanashinda na mamiss camp na kuwaangalia ndio wamempa ushind.. Sasa kosa lake liko wapi?

He who knows not and knows not that he/she knows not is STUPID, but He who knows not and knows that he/she knows not is a FOOL... Ni msemo wa wenye hekima... Jibu hayo maswali then tutaweza kuongea au kushindana kwa hoja..

Conclusion yangu:
Una maslahi binafsi au uelewa/elimu/ufahamu/fikra ni ndogo....

I'm out... Sorry kama nitakuudhi...
 
Back
Top Bottom