Tumuunge mkono Paul Makonda katika kubadilisha Arusha 9 Desemba

Tumuunge mkono Paul Makonda katika kubadilisha Arusha 9 Desemba

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Nipende kusema kuwa Tanzania imebarikiwa kuwa na vipaji vya watu wa kipekee wenye kuasisi mambo mengi ambayo baadaye huchukuliwa na watu wengine duniani na kuwa sehemu ya ufanisi wa matarajio ya wanadamu.

Ukiweka pembeni unafiki basi hutaacha kuona namna gani mteule wa Mhe.Rais ndugu Makonda Paul Christian anavyoendelea kuonesha jitihada na kuishi kipaji chake au karama aliyojaaliwa na Mwenyezi Mungu inayosindikizwa na busara kubwa za Viongozi wetu wenye maono ambayo iliona yupo mtu huyu ambaye anaweza kuwa ni msaada kwa Taifa.

Paul Makonda kama tulivyo binadamu wote ni mtu mwenye asilimia zake za mapungufu na asilimia zake za mema.

Tumemuona kama wanadamu katika mapungufu yake na katika mazuri yake.

Leo nichukue fursa ya kumpongeza kwenye mema yake anayojitahidi kuyafanya na nimtie moyo kusimama katika mstari wa mema hayo.

nimuase pia katika kuyatafajari mabaya yake halisi na yale yote yaliyompelekea kutuhumiwa ayafanyie kazi ,akiri ama kuomba radhi katika nyakati zinazofaa na mazingira staatabu tunayoyatambua.

Zaidi nipende kumuombea kwa Mungu aendelee kumuongoza katika hekima kubwa ya kiroho, kidini, kimila na zaidi kizalendo.

Niendelee kumuombea awe na kiasi, usikivu, tulivu na subra.

Niwasihi wasiompenda wabadili mioyo na hulka na historia ..lakini zaidi wamuombee na kumsamehe kama kweli alipitiwa na kukosea.

lakini itoshe kusema kama Taifa ipo haja ya kuendelea kumjenga vyema MWAMBA MPYA HUYU WA KASKAZINI.

Mada hii inakuja baada ya mfuatano wa matukio ya kipekee anayoyafanya sasa kama Mkuu wa Mkoa wa Arusha.

kila la kheri comrade SAUL CRISTIANO MAKONDA.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!

Pia Soma: Paul Makonda: Tutakachofanya Tarehe 9 Arusha hata wakisema ni uchawi poa tu
 
Nipende kusema kuwa Tanzania imebarikiwa kuwa na vipaji vya watu wa kipekee wenye kuasisi mambo mengi ambayo baadaye huchukuliwa na watu wengine duniani na kuwa sehemu ya ufanisi wa matarajio ya wanadamu.
Ukiweka pembeni unafiki basi hutaacha kuona namna gani mteule wa Mhe.Rais ndugu Makonda Paul Christian anavyoendelea kuonesha jitihada na kuishi kipaji chake au karama aliyojaaliwa na Mwenyezi Mungu inayosindikizwa na busara kubwa za Viongozi wetu wenye maono ambayo iliona yupo mtu huyu ambaye anaweza kuwa ni msaada kwa Taifa.

Paul Makonda kama tulivyo binadamu wote ni mtu mwenye asilimia zake za mapungufu na asilimia zake za mema.

Tumemuona kama wanadamu katika mapungufu yake na katika mazuri yake.

Leo nichukue fursa ya kumpongeza kwenye mema yake anayojitahidi kuyafanya na nimtie moyo kusimama katika mstari wa mema hayo.
nimuase pia katika kuyatafajari mabaya yake halisi na yale yote yaliyompelekea kutuhumiwa...ayafanyie kazi ,akiri ama kuomba radhi katika nyakati zinazofaa na mazingira staatabu tunayoyatambua.
zaidi nipende kumuombea kwa Mungu aendelee kumuongoza katika hekima kubwa ya kiroho ,kidini,kimila na zaidi kizalendo.
Niendelee kumuombea awe na kiasi ,usikivu ,utulivu na subra.
Niwasihi wasiompenda wabadili mioyo na hulka na historia ..lakini zaidi wamuombee na kumsamehe kama kweli alipitiwa na kukosea.

lakini itoshe kusema kama Taifa ipo haja ya kuendelea kumjenga vyema MWAMBA MPYA HUYU WA KASKAZINI.

Mada hii inakuja baada ya mfuatano wa matukio ya kipekee anayoyafanya sasa kama Mkuu wa Mkoa wa Arusha.

kila la kheri comrade SAUL CRISTIANO MAKONDA.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Akili za akina Magufuli hizi....nchi ina watu wa hovyo hii sijawahi ona!!
 
Mimi nitamuunga mkono mzee Warioba kukemea polisi kuwa tawi la CCM na kukemea utekaji na uhuni.

Nyie wahuni unganeni na wahuni wenzenu mliotengeneza katukio siku hiyo kupoteza watu kwenye masuala maovu yanayoendelea.


images (66).jpeg
 
Nipende kusema kuwa Tanzania imebarikiwa kuwa na vipaji vya watu wa kipekee wenye kuasisi mambo mengi ambayo baadaye huchukuliwa na watu wengine duniani na kuwa sehemu ya ufanisi wa matarajio ya wanadamu.

Ukiweka pembeni unafiki basi hutaacha kuona namna gani mteule wa Mhe.Rais ndugu Makonda Paul Christian anavyoendelea kuonesha jitihada na kuishi kipaji chake au karama aliyojaaliwa na Mwenyezi Mungu inayosindikizwa na busara kubwa za Viongozi wetu wenye maono ambayo iliona yupo mtu huyu ambaye anaweza kuwa ni msaada kwa Taifa.

Paul Makonda kama tulivyo binadamu wote ni mtu mwenye asilimia zake za mapungufu na asilimia zake za mema.

Tumemuona kama wanadamu katika mapungufu yake na katika mazuri yake.

Leo nichukue fursa ya kumpongeza kwenye mema yake anayojitahidi kuyafanya na nimtie moyo kusimama katika mstari wa mema hayo.

nimuase pia katika kuyatafajari mabaya yake halisi na yale yote yaliyompelekea kutuhumiwa ayafanyie kazi ,akiri ama kuomba radhi katika nyakati zinazofaa na mazingira staatabu tunayoyatambua.

Zaidi nipende kumuombea kwa Mungu aendelee kumuongoza katika hekima kubwa ya kiroho, kidini, kimila na zaidi kizalendo.

Niendelee kumuombea awe na kiasi, usikivu, tulivu na subra.

Niwasihi wasiompenda wabadili mioyo na hulka na historia ..lakini zaidi wamuombee na kumsamehe kama kweli alipitiwa na kukosea.

lakini itoshe kusema kama Taifa ipo haja ya kuendelea kumjenga vyema MWAMBA MPYA HUYU WA KASKAZINI.

Mada hii inakuja baada ya mfuatano wa matukio ya kipekee anayoyafanya sasa kama Mkuu wa Mkoa wa Arusha.

kila la kheri comrade SAUL CRISTIANO MAKONDA.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Ndugu yangu, tofautisha mapungufu na maovu ya kutisha. Wewe na mimi tuna mapungufu, lakini huyu bwana ni muovu wa kupindukia.

Mambo ambayo huyu bwana atakumbukwa mpaka mwisho wake, ni kuasisi na kusimamia vitendo vya kishetani kabisa, vya kuteka na kuua watu wanaowakosoa watawala.

Kuna makosa ya mwanadamu huweza kukiri na kuwaomba msamaha aliowakosea, kiurahisi. Lakini unatarajia kweli huyu bwana anaweza kwenda kwa wazazi wa Ben, familia ya Azory, na kwa Lisu, akawaombe msamaha?

Muuaji hata siku moja huwa hana dhamira njema na wanadamu wenzake. Anayoyafanya, kwa jicho la haraka, yanaweza kuwa mazuri, lakini kumbe ni hadaa zinzolenga umwamini, na hatimaye autekeleze uovu wake bila ya kutilwa mashaka.

Ombi letu kwa Muumba wetu, atuepushe na watekaji, wauaji na wapanga mipango na wafadhili wa uovu. Hakika kisasi ni juu ya Bwana.
 
Wanadamu wengi wana matatizo, lakini wauaji ni wachache sana. Kama kwa nafasi ndogo anakuwa muuaji, je akiwa na madaraka makubwa itakuwaje?
huna ushahidi wa tuhuma za kiwango hiki ...tujifunze tujifunze tujifunze!
 
Nipende kusema kuwa Tanzania imebarikiwa kuwa na vipaji vya watu wa kipekee wenye kuasisi mambo mengi ambayo baadaye huchukuliwa na watu wengine duniani na kuwa sehemu ya ufanisi wa matarajio ya wanadamu.

Ukiweka pembeni unafiki basi hutaacha kuona namna gani mteule wa Mhe.Rais ndugu Makonda Paul Christian anavyoendelea kuonesha jitihada na kuishi kipaji chake au karama aliyojaaliwa na Mwenyezi Mungu inayosindikizwa na busara kubwa za Viongozi wetu wenye maono ambayo iliona yupo mtu huyu ambaye anaweza kuwa ni msaada kwa Taifa.

Paul Makonda kama tulivyo binadamu wote ni mtu mwenye asilimia zake za mapungufu na asilimia zake za mema.

Tumemuona kama wanadamu katika mapungufu yake na katika mazuri yake.

Leo nichukue fursa ya kumpongeza kwenye mema yake anayojitahidi kuyafanya na nimtie moyo kusimama katika mstari wa mema hayo.

nimuase pia katika kuyatafajari mabaya yake halisi na yale yote yaliyompelekea kutuhumiwa ayafanyie kazi ,akiri ama kuomba radhi katika nyakati zinazofaa na mazingira staatabu tunayoyatambua.

Zaidi nipende kumuombea kwa Mungu aendelee kumuongoza katika hekima kubwa ya kiroho, kidini, kimila na zaidi kizalendo.

Niendelee kumuombea awe na kiasi, usikivu, tulivu na subra.

Niwasihi wasiompenda wabadili mioyo na hulka na historia ..lakini zaidi wamuombee na kumsamehe kama kweli alipitiwa na kukosea.

lakini itoshe kusema kama Taifa ipo haja ya kuendelea kumjenga vyema MWAMBA MPYA HUYU WA KASKAZINI.

Mada hii inakuja baada ya mfuatano wa matukio ya kipekee anayoyafanya sasa kama Mkuu wa Mkoa wa Arusha.

kila la kheri comrade SAUL CRISTIANO MAKONDA.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Inaibadilishaje? Arusha ni Chafu kwa sasa kama ilivyo Dar au Mwanza, anaibadilisja vioi? Ana bajeti ya sh ngapi ya kuibadilisha Arusha?

Taifa limejaa wajinga ,ngoja Makonda awashikie akili eti kaibadilisha Arusha, sijji kaibadilisha vipi, yile akili hana sasa anaonekana ana akili kwa sababu Taifa limejaa wajinga
 
Tanzania ina watu milioni 60, wazee, vijana na watoto. Tunaweza kuwaunga mikono weengi tu lakini siyo huyo Makonda. Tuliisha mkataa tangu inception, wanafahamu, lakini walilazimisha kumrudisha kumpa mkate.

Walimrudisha kama msemaji wa genge la CCM, hata CCM wenyewe wakasema hawamtaki, wakmatoa wakampa Mkoa tofauti ili kutupima kama tunamkubali au la.

Hata huko arusha hatakiwi, analazimisha tu. wakitaka kuamini, wamuache agombee nafasi yoyote ya kupigiwa kura waone, siyo hizi kura za kula na kuiba., Kura hasa za haki.

Tunao watanzania wengi wengefaa kuungwa mkono lakini siye huyu mnaye mpigia debe kila siku, kwanza aungwe mkono kwa lipi? Aungwe mkono na aliye mteuwa, sisi anatuhusu nini?

Hatuko hapa ku intertain watu, tuna taka kuona outcome za kazi zao, siyo kujisifia kila kukicha. Wanalipwa kwa kodi zetu, hawajitolei.
 
Ndugu yangu, tofautisha mapungufu na maovu ya kutisha. Wewe na mimi tuna mapungufu, lakini huyu bwana ni muovu wa kupindukia.

Mambo ambayo huyu bwana atakumbukwa mpaka mwisho wake, ni kuasisi na kusimamia vitendo vya kishetani kabisa, vya kuteka na kuua watu wanaowakosoa watawala.

Kuna makosa ya mwanadamu huweza kukiri na kuwaomba msamaha aliowakosea, kiurahisi. Lakini unatarajia kweli huyu bwana anaweza kwenda kwa wazazi wa Ben, familia ya Azory, na kwa Lisu, akawaombe msamaha?

Muuaji hata siku moja huwa hana dhamira njema na wanadamu wenzake. Anayoyafanya, kwa jicho la haraka, yanaweza kuwa mazuri, lakini kumbe ni hadaa zinzolenga umwamini, na hatimaye autekeleze uovu wake bila ya kutilwa mashaka.

Ombi letu kwa Muumba wetu, atuepushe na watekaji, wauaji na wapanga mipango na wafadhili wa uovu. Hakika kisasi ni juu ya Bwana.
Usimshuhudie uongo....hii ni amri ya Mungu !!
 
Tanzania ina watu milioni 60, wazee, vijana na watoto. Tunaweza kuwaunga mikono weengi tu lakini siyo huyo Makonda. Tuliisha mkataa tangu inception, wanafahamu, lakini walilazimisha kumrudisha kumpa mkate.

Walimrudisha kama msemaji wa genge la CCM, hata CCM wenyewe wakasema hawamtaki, wakmatoa wakampa Mkoa tofauti ili kutupima kama tunamkubali au la.

Hata huko arusha hatakiwi, analazimisha tu. wakitaka kuamini, wamuache agombee nafasi yoyote ya kupigiwa kura waone, siyo hizi kura za kula na kuiba., Kura hasa za haki.

Tunao watanzania wengi wengefaa kuungwa mkono lakini siye huyu mnaye mpigia debe kila siku, kwanza aungwe mkono kwa lipi? Aungwe mkono na aliye mteuwa, sisi anatuhusu nini?

Hatuko hapa ku intertain watu, tuna taka kuona outcome za kazi zao, siyo kujisifia kila kukicha. Wanalipwa kwa kodi zetu, hawajitolei.
maadhimisho ya Siku ya Uhuru mwaka huu kwa mkoa wa Arusha yatakuwa na alama nyingine hata kama utaficha kichwa kama mbuni ...utayasikia tu
 
maadhimisho ya Siku ya Uhuru mwaka huu kwa mkoa wa Arusha yatakuwa na alama nyingine hata kama utaficha kichwa kama mbuni ...utayasikia tu
Rais kafuta maadhimisho ya siku ya Uhuru, kasema hizo pesa zitumike kufanya shughuli za kuwaletea Wadanganyika maendeleo.

Kesha kuwa Mkuu wa mkoa sifa za nini sasa, au ndio uchawa wenyewe huo?
 
Nipende kusema kuwa Tanzania imebarikiwa kuwa na vipaji vya watu wa kipekee wenye kuasisi mambo mengi ambayo baadaye huchukuliwa na watu wengine duniani na kuwa sehemu ya ufanisi wa matarajio ya wanadamu.

Ukiweka pembeni unafiki basi hutaacha kuona namna gani mteule wa Mhe.Rais ndugu Makonda Paul Christian anavyoendelea kuonesha jitihada na kuishi kipaji chake au karama aliyojaaliwa na Mwenyezi Mungu inayosindikizwa na busara kubwa za Viongozi wetu wenye maono ambayo iliona yupo mtu huyu ambaye anaweza kuwa ni msaada kwa Taifa.

Paul Makonda kama tulivyo binadamu wote ni mtu mwenye asilimia zake za mapungufu na asilimia zake za mema.

Tumemuona kama wanadamu katika mapungufu yake na katika mazuri yake.

Leo nichukue fursa ya kumpongeza kwenye mema yake anayojitahidi kuyafanya na nimtie moyo kusimama katika mstari wa mema hayo.

nimuase pia katika kuyatafajari mabaya yake halisi na yale yote yaliyompelekea kutuhumiwa ayafanyie kazi ,akiri ama kuomba radhi katika nyakati zinazofaa na mazingira staatabu tunayoyatambua.

Zaidi nipende kumuombea kwa Mungu aendelee kumuongoza katika hekima kubwa ya kiroho, kidini, kimila na zaidi kizalendo.

Niendelee kumuombea awe na kiasi, usikivu, tulivu na subra.

Niwasihi wasiompenda wabadili mioyo na hulka na historia ..lakini zaidi wamuombee na kumsamehe kama kweli alipitiwa na kukosea.

lakini itoshe kusema kama Taifa ipo haja ya kuendelea kumjenga vyema MWAMBA MPYA HUYU WA KASKAZINI.

Mada hii inakuja baada ya mfuatano wa matukio ya kipekee anayoyafanya sasa kama Mkuu wa Mkoa wa Arusha.

kila la kheri comrade SAUL CRISTIANO MAKONDA.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!

Pia Soma: Paul Makonda: Tutakachofanya Tarehe 9 Arusha hata wakisema ni uchawi poa tu
Makonda anaupiga Mwingi
 
Nipende kusema kuwa Tanzania imebarikiwa kuwa na vipaji vya watu wa kipekee wenye kuasisi mambo mengi ambayo baadaye huchukuliwa na watu wengine duniani na kuwa sehemu ya ufanisi wa matarajio ya wanadamu.

Ukiweka pembeni unafiki basi hutaacha kuona namna gani mteule wa Mhe.Rais ndugu Makonda Paul Christian anavyoendelea kuonesha jitihada na kuishi kipaji chake au karama aliyojaaliwa na Mwenyezi Mungu inayosindikizwa na busara kubwa za Viongozi wetu wenye maono ambayo iliona yupo mtu huyu ambaye anaweza kuwa ni msaada kwa Taifa.

Paul Makonda kama tulivyo binadamu wote ni mtu mwenye asilimia zake za mapungufu na asilimia zake za mema.

Tumemuona kama wanadamu katika mapungufu yake na katika mazuri yake.

Leo nichukue fursa ya kumpongeza kwenye mema yake anayojitahidi kuyafanya na nimtie moyo kusimama katika mstari wa mema hayo.

nimuase pia katika kuyatafajari mabaya yake halisi na yale yote yaliyompelekea kutuhumiwa ayafanyie kazi ,akiri ama kuomba radhi katika nyakati zinazofaa na mazingira staatabu tunayoyatambua.

Zaidi nipende kumuombea kwa Mungu aendelee kumuongoza katika hekima kubwa ya kiroho, kidini, kimila na zaidi kizalendo.

Niendelee kumuombea awe na kiasi, usikivu, tulivu na subra.

Niwasihi wasiompenda wabadili mioyo na hulka na historia ..lakini zaidi wamuombee na kumsamehe kama kweli alipitiwa na kukosea.

lakini itoshe kusema kama Taifa ipo haja ya kuendelea kumjenga vyema MWAMBA MPYA HUYU WA KASKAZINI.

Mada hii inakuja baada ya mfuatano wa matukio ya kipekee anayoyafanya sasa kama Mkuu wa Mkoa wa Arusha.

kila la kheri comrade SAUL CRISTIANO MAKONDA.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!

Pia Soma: Paul Makonda: Tutakachofanya Tarehe 9 Arusha hata wakisema ni uchawi poa tu
Huna kazi nyingine za kufanya siku hiyo???
 
Nipende kusema kuwa Tanzania imebarikiwa kuwa na vipaji vya watu wa kipekee wenye kuasisi mambo mengi ambayo baadaye huchukuliwa na watu wengine duniani na kuwa sehemu ya ufanisi wa matarajio ya wanadamu.

Ukiweka pembeni unafiki basi hutaacha kuona namna gani mteule wa Mhe.Rais ndugu Makonda Paul Christian anavyoendelea kuonesha jitihada na kuishi kipaji chake au karama aliyojaaliwa na Mwenyezi Mungu inayosindikizwa na busara kubwa za Viongozi wetu wenye maono ambayo iliona yupo mtu huyu ambaye anaweza kuwa ni msaada kwa Taifa.

Paul Makonda kama tulivyo binadamu wote ni mtu mwenye asilimia zake za mapungufu na asilimia zake za mema.

Tumemuona kama wanadamu katika mapungufu yake na katika mazuri yake.

Leo nichukue fursa ya kumpongeza kwenye mema yake anayojitahidi kuyafanya na nimtie moyo kusimama katika mstari wa mema hayo.

nimuase pia katika kuyatafajari mabaya yake halisi na yale yote yaliyompelekea kutuhumiwa ayafanyie kazi ,akiri ama kuomba radhi katika nyakati zinazofaa na mazingira staatabu tunayoyatambua.

Zaidi nipende kumuombea kwa Mungu aendelee kumuongoza katika hekima kubwa ya kiroho, kidini, kimila na zaidi kizalendo.

Niendelee kumuombea awe na kiasi, usikivu, tulivu na subra.

Niwasihi wasiompenda wabadili mioyo na hulka na historia ..lakini zaidi wamuombee na kumsamehe kama kweli alipitiwa na kukosea.

lakini itoshe kusema kama Taifa ipo haja ya kuendelea kumjenga vyema MWAMBA MPYA HUYU WA KASKAZINI.

Mada hii inakuja baada ya mfuatano wa matukio ya kipekee anayoyafanya sasa kama Mkuu wa Mkoa wa Arusha.

kila la kheri comrade SAUL CRISTIANO MAKONDA.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!

Pia Soma: Paul Makonda: Tutakachofanya Tarehe 9 Arusha hata wakisema ni uchawi poa tu
Embu taja jambo moja tu la maana alofanya Makonda Arusha tuone kweli kwamba wewe ni jingalao.
 
Back
Top Bottom