Tuna akiba ya pesa dollar bilion 5.3

Tuna akiba ya pesa dollar bilion 5.3

Huo ndo mpango so far...hata idadi ya sample zinazopimwa zinapanda,though hatujawekwa wazi....Japo na maombi si ya kubezwa pia

Maombi tumeomba kabla hata ugonjwa haujaingia ili usije, lakini bado umekuja. Sasa hatua ya maombi iachiwe viongozi wa dini wahamasishaji, rais yeye ni kutoa fedha ili vinunuliwe vipimo vya kukidhi uhitaji wa sehemu mbalimbali za nchi. Mbona kwenye ndege zilitolewa hela haraka haraka, ni kipi kinafanya serikali iwe wazito kwenye hii dharura inayokula maisha ya wananchi? Kwahiyo ndege ni muhimu kuliko uhai wa watanzania?

Kwa haya yanayoendelea bado nazidi kuamini Magufuli ni rais wetu, lakini sio rais sahihi kwa nchi yetu. Ingekuwa wapinzani wanasema wataandamana ungeona askari wakijazana mitaani ili kulinda madaraka yake, lakini watu kufa kwa ugonjwa sio tatizo maana hakuathiri madaraka yake.

Cc: Chagu wa malunde
 
Hiyo Akiba ndio muda wake huu kutumika, au hujui kuwa hiyo akiba ni ya kutumika kwa mazingira haya? Je kama hazitatumika sasa, hizo fedha ni akiba kwa ajili ya hali gani?
Huyo ndio JIWE. Always meticulous! Hatoi maamuzi kwa mihemuko!
 
Kwahiyo unataka hela yote ya hazina itumike kutibu korona?
fedha zikiisha na korona akazidi kupamba moto kipi kitafuata?
Tujaribu kutumia akili na sio mihemko ya kisiasa hasa kwenye mambo ya Kitaifa.

Rubbish. Kutaja “taifa” katika utetezi wako hakufanyi uwe na point. Point hapa ni kuwa nchi ichukue hatua za kuokoa uchumi SASA HIVI!! Na si kwa kungoja mkopo kutoka kwa mabeberu!! Tutumie pesa za ndani sasa!!
 
Za kuweza kuendesha serikali kwa miezi 6 bila kukusanya kodi hata nchi ikiwa na janga au vita

Mkuu alinukuliwa zaidi ya mala 5 akisisitiza.

Yeye yupo anachangiwa na wakina Rostam,*
Anachangiwa na wachina, anachangiwa na walahoi wa bongo, anaomba mkopo IMF wa 190+US dollar million.

Kumbe Mungu uwa achelewi kuumbua mtu muongo

Tunazidiwa na nchi kama Rwanda, Kenya, South, Misri, Ghana na nigeria wote wametoa pesa hazina kiasi kuokoa uchumi.

Je serikali haina taarifa kwamba kuna kiwango cha mitaji kimeshaanguka? Je bado hawana taarifa kuna watu washapoteza ajira? Wamefanya nini kuokoa sector ya utali Tanzania?

Je wanafanya nini kwa watu waliokuwa wamekopa uku wakiwa wanatoa ajira kibao kuweza kuwaondolea malejesho angalau kwa miezi 3 ili kulinda ajira za walalahoi?
Alikuwa amelewa mataputapu siku hiyo akajkuta anabwatuka kauli za uongo
 
Kwa hiyo sababu ya chuki na mkuu wa nchi ndio ukaamua kuunganisha ujumbe wako na kichwa cha habari! Alafu mpaka sasa kuna mapungufu yoyote katika kuhudumia hawa waliougua kwa bahati mbaya mpaka anyofoe toka akiba iliyopo?

Chuki ipi, ukweli ni kuwa rais ndio mwenye uwezo wa kutoa pesa hazina bila kusubiri ruhusa kwa mtu au taasisi yoyote, na ameshafanya hivyo zaidi ya mara moja. Ndio maana kuna kilio kuwa rais anajali vitu kuliko watu. Kwenye huu ugonjwa uzito wake kwenye maamuzi unazidi kudhibitika.
 
Hiyo Akiba ndio muda wake huu kutumika, au hujui kuwa hiyo akiba ni ya kutumika kwa mazingira haya? Je kama hazitatumika sasa, hizo fedha ni akiba kwa ajili ya hali gani?
Zitatumika kuhonga wakati wa uchaguzi mkuu
 
Huyo ndio JIWE. Always meticulous! Hatoi maamuzi kwa mihemuko!

Sema kuwa hatoi pesa kwenye mahitaji ya watu, ila ingekuwa ni kwenye vitu angefanya hivyo. Hapa sio suala la mihemko, rais badala ya kutoa pesa vinunuliwe vifaa tiba kwa ajili ya ugonjwa unaoshika kasi, yeye anataka watu wasali ili ugonjwa uishe! Una akiba ya $5.3b kama 12t tshs, kisha una kipimo kimoja cha ugonjwa nchi nzima, unaokula maisha ya wananchi wako kisha useme hafanyi maamuzi ya mihemko! Huu sio utetezi bali ni wendawazimu.
 
Maombi tumeomba kabla hata ugonjwa haujaingia ili usije, lakini bado umekuja. Sasa hatua ya maombi iachiwe viongozi wa dini wahamasishaji, rais yeye ni kutoa fedha ili vinunuliwe vipimo vya kukidhi uhitaji wa sehemu mbalimbali za nchi. Mbona kwenye ndege zilitolewa hela haraka haraka, ni kipi kinafanya serikali iwe wazito kwenye hii dharura inayokula maisha ya wananchi? Kwahiyo ndege ni muhimu kuliko uhai wa watanzania?

Kwa haya yanayoendelea bado nazidi kuamini Magufuli ni rais wetu, lakini sio rais sahihi kwa nchi yetu. Ingekuwa wapinzani wanasema wataandamana ungeona askari wakijazana mitaani ili kulinda madaraka yake, lakini watu kufa kwa ugonjwa sio tatizo maana hakuathiri madaraka yake.

Cc: Chagu wa malunde
Ngoja tuone mwisho wake
 
Chuki ipi, ukweli ni kuwa rais ndio mwenye uwezo wa kutoa pesa hazina bila kusubiri ruhusa kwa mtu au taasisi yoyote, na ameshafanya hivyo zaidi ya mara moja. Ndio maana kuna kilio kuwa rais anajali vitu kuliko watu. Kwenye huu ugonjwa uzito wake kwenye maamuzi unazidi kudhibitika.
Kwani hujaona amehamisha pesa za sherehe za Muungano wa Tanzania zikatumike Zanzibar kupambana na hili janga. Au ulitaka atoe maamuzi gani? Au zile kwa ajiri ya sherehe za Mwenge hujaona kama ni hatua amechukua?
 
Za kuweza kuendesha serikali kwa miezi 6 bila kukusanya kodi hata nchi ikiwa na janga au vita

Mkuu alinukuliwa zaidi ya mala 5 akisisitiza.

Yeye yupo anachangiwa na wakina Rostam,*
Anachangiwa na wachina, anachangiwa na walahoi wa bongo, anaomba mkopo IMF wa 190+US dollar million.

Kumbe Mungu uwa achelewi kuumbua mtu muongo

Tunazidiwa na nchi kama Rwanda, Kenya, South, Misri, Ghana na nigeria wote wametoa pesa hazina kiasi kuokoa uchumi.

Je serikali haina taarifa kwamba kuna kiwango cha mitaji kimeshaanguka? Je bado hawana taarifa kuna watu washapoteza ajira? Wamefanya nini kuokoa sector ya utali Tanzania?

Je wanafanya nini kwa watu waliokuwa wamekopa uku wakiwa wanatoa ajira kibao kuweza kuwaondolea malejesho angalau kwa miezi 3 ili kulinda ajira za walalahoi?
Chuki zako zinavuka mipaka rafiki. Had I unatia kinyaa...!! Endelea kuabudu wakoloni
 
Sawa hujijui kama id yako inavyokutambulisha. Ila kimsingi raisi alisema atahakikisha mafisadi na wanyonyaji wengine ambao huishi kama malaika kwa jasho la walalahoi anawashughulikia mpaka waishi kama mashetani.

Sasa wewe unapaswa kuweka ushahidi unaoonesha kuwa alisema hivyo kwa watu wote. Ukishindwa kuleta ushaidi utathibitisha kuwa siyo tu hujijui bali pia hujielewi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Weka kwanza ushahidi unaoenesha kuwa alisema atawashighulikia nafisadi na wanyonyaji wanakula jasho la walahoi kisha uniambie katika kipindi chache cha miaka mitano nani kashughulikiwa Kati ya fisadi na mlalahoi?
 
Za kuweza kuendesha serikali kwa miezi 6 bila kukusanya kodi hata nchi ikiwa na janga au vita

Mkuu alinukuliwa zaidi ya mala 5 akisisitiza.

Yeye yupo anachangiwa na wakina Rostam,*
Anachangiwa na wachina, anachangiwa na walahoi wa bongo, anaomba mkopo IMF wa 190+US dollar million.

Kumbe Mungu uwa achelewi kuumbua mtu muongo

Tunazidiwa na nchi kama Rwanda, Kenya, South, Misri, Ghana na nigeria wote wametoa pesa hazina kiasi kuokoa uchumi.

Je serikali haina taarifa kwamba kuna kiwango cha mitaji kimeshaanguka? Je bado hawana taarifa kuna watu washapoteza ajira? Wamefanya nini kuokoa sector ya utali Tanzania?

Je wanafanya nini kwa watu waliokuwa wamekopa uku wakiwa wanatoa ajira kibao kuweza kuwaondolea malejesho angalau kwa miezi 3 ili kulinda ajira za walalahoi?
Chuki zako zinavuka mipaka rafiki. Had I unatia kinyaa...!! Endelea kuabudu wakoloni
 
Za kuweza kuendesha serikali kwa miezi 6 bila kukusanya kodi hata nchi ikiwa na janga au vita

Mkuu alinukuliwa zaidi ya mala 5 akisisitiza.

Yeye yupo anachangiwa na wakina Rostam,*
Anachangiwa na wachina, anachangiwa na walahoi wa bongo, anaomba mkopo IMF wa 190+US dollar million.

Kumbe Mungu uwa achelewi kuumbua mtu muongo

Tunazidiwa na nchi kama Rwanda, Kenya, South, Misri, Ghana na nigeria wote wametoa pesa hazina kiasi kuokoa uchumi.

Je serikali haina taarifa kwamba kuna kiwango cha mitaji kimeshaanguka? Je bado hawana taarifa kuna watu washapoteza ajira? Wamefanya nini kuokoa sector ya utali Tanzania?

Je wanafanya nini kwa watu waliokuwa wamekopa uku wakiwa wanatoa ajira kibao kuweza kuwaondolea malejesho angalau kwa miezi 3 ili kulinda ajira za walalahoi?
Chuki zako zinavuka mipaka rafiki. Had I unatia kinyaa...!! Endelea kuabudu wakoloni
 
Kwani hujaona amehamisha pesa za sherehe za Muungano wa Tanzania zikatumike Zanzibar kupambana na hili janga. Au ulitaka atoe maamuzi gani? Au zile kwa ajiri ya sherehe za Mwenge hujaona kama ni hatua amechukua?

Kuna kipimo kimoja mpaka sasa nchi nzima cha huo ugonjwa. Je huko Zanzibar nako kuna kipimo cha huo ugonjwa baada ya hiyo pesa ya muungano kupelekwa? Ni kweli kuna hatua amechukua, lakini hatupimi hatua tu, bali tunapima hatua stahiki.
 
Kuna kipimo kimoja mpaka sasa nchi nzima cha huo ugonjwa. Je huko Zanzibar nako kuna kipimo cha huo ugonjwa baada ya hiyo pesa ya muungano kupelekwa? Ni kweli kuna hatua amechukua, lakini hatupimi hatua tu, bali tunapima hatua stahiki.
Rekebisha kauli yako. Kuna maabara moja tu ambayo ni maabara ya taifa sio kipimo.Ukisharekebisha rudi.
 
Back
Top Bottom