Tunachimba visima vya maji popote Tanzania

Tunachimba visima vya maji popote Tanzania

Habari Jf.

Nikiwa kama mdau wa maswala ya maji, nimepata wazo na kuona jamii inapaswa kulifikilia pia kwa kuzingatia haya mabadiliko ya kimazingira na kiuchumi.

Leo tunashuhudia kuongezeka kwa bei za mafuta ya petrol na diesel, tunashuhudia kuongezeka kwa ukame kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa, n.k.

Sasa nafikilia kwa wale wanaoendesha uchumi wao kwa kutumia vyanzo vya maji ni muda wa kwenda kutumia mfumo endelevu wa solar water pump. Badara ya kupata changamoto za umeme kukatika kila wakati na kwa wale wanaotumia pampu za maji zinazotumia nishati ya diesel au petroli ambazo nimekuwa na mfumuko wa bei kila wakati. Muda sasa unaongea inapaswa kuhamia kwenye nishati ya jua.

Huko vijijini wakulima wengi wanatumia pampu za diesel na wengine wanakodisha pampu hizi,kwa sasa gharama za kuendesha pumpu hizi zitaongezeka na kuathiri kilimo kwa ujumla.

Kuna kila sababu sasa kwa wakulima na watumiaji wengine wa pampu za maji kufikilia kuingia kwenye mifumo ya nishati ya jua.

Kutokana na uzoefu wangu kwenye maswala ya pampu za maji, Changamoto niliyoona kwenye solar water pump ni gharama katika kununua na kufunga, ila ni mfumo ambao ukifanikiwa kufunga umemaliza kila kitu, sasa kutokana na changamoto hizi, nazihita taasisi ambazo zinauwezo wa kukopesha hawa wakulima na watumiaji wengine wa mifumo ya maji waweze kuona fursa ya kuwawezesha kundi hili la wajasiliamali kumudu gharama za kununua na kufunga mfumo mpya wa solar water pump.

Ombi langu kama kuna member wa jamiiforum anayemiliki microfinance , aangalie namna ya kuwasaidia kundi hili, wahitaji ni wengi sana , wapo wakulima, wajasiliamali wenye viwanda vidogo vidogo,viwanda vikubwa, wafugaji, taasisi za elimu,afya, malazi, n.k.

Kwa wastani kwa sasa gharama za kununua na kufunga mfumo wa solar water pump ambao utaleta tija kwa mkulima, mfugaji, au mjasiliamali na kuanzia 3,700,000/= (milioni tatu na laki saba ya kitanzania).

Karibuni kwa maoni.

+255699 494650
Evigt Instagram
QR Code Evigt Twitter
qrcode_twitter.com (1).png

solar-pumping-handbook-1.jpg
 
Wazo zuri bahati mbaya hivyo vitu vinavyofunhwa shambani ni rahisi kuibwa/kubebwa na wezi...
 
Wazo zuri bahati mbaya hivyo vitu vinavyofunhwa shambani ni rahisi kuibwa/kubebwa na wezi...
Hii inaweza kuwa changamoto kwa wakulima wadogo wadogo, ila nimeona asilimia kubwa watu wenye mashamba makubwa wanawalinzi wa mali za shambani pia,,
 
Kuna hizi mobile water pump na hizo inazo sema zote huishia kwenye pump wa horse 1.5 na pressure ndogo hivyo kushindwa kumudu mashamba makubwa. Tafiti vizuri hizo pump
 
Kuna hizi mobile water pump na hizo inazo sema zote huishia kwenye pump wa horse 1.5 na pressure ndogo hivyo kushindwa kumudu mashamba makubwa. Tafiti vizuri hizo pump
Ni kweli mkuu, ila hizi changamoto za kiufundi zinaenda zinatatuliwa na manufacturers kadri technologia inavyokuwa muda si mrefu zitakuja zenye power zaidi lakini tatizo letu kubwa pia ni kumudu gharama za hizi pump kubwa,, Najua wapo wenye uwezo wa kumudu lakin je waitaji wengine tunawaachaje... Kuna kampuni fulani inakopesha vifaa vinavyotumka solar lakini linapokuja swala la pump za maji wanaruka futi nyingi sana..
 
Sijui niko nje ya mada lakin kwakua ww ni mtaalam bas utajua namna ya kulijibu hili. Kwan hatuwez kutumia ngo'mbe wa maksai km source of energy kusukuma hz water pumps kwa maeneo yale yenye ng'ombe wengi? Sabab km ng'ombe anaweza akavuta mkokoteni hata wa kilo 700, akavuta jembe la plau kweli hakuna namna tukatumia hii nguvu yake kusukuma maji??
 
Sijui niko nje ya mada lakin kwakua ww ni mtaalam bas utajua namna ya kulijibu hili. Kwan hatuwez kutumia ngo'mbe wa maksai km source of energy kusukuma hz water pumps kwa maeneo yale yenye ng'ombe wengi? Sabab km ng'ombe anaweza akavuta mkokoteni hata wa kilo 700, akavuta jembe la plau kweli hakuna namna tukatumia hii nguvu yake kusukuma maji??
Upo sahihi mkuu pia ni mawazo yako lazima yaheshimiwe, ila nakujibu hivi zama hizi ni zama za kuangalia namna ya kuzalisha volume kubwa kwa nguvu chache, endelevu na bila kuaribu mazingira huku tukitunza ustawi wa ubinadamu.
Sasa enzi za kutumia wanyama zishapita ni vile umasikini tu bado tunaforce kutumia wanyama hao...
Labda nguvu zinye sifa tajwa hapo juu ni upepo, zipo nchi zinatumia umeme wa upepo vizuri sana..
images (6).jpeg

South korea wanavuna upepo wa baharini kuzalisha umeme..
 
Habari Jf.

Nikiwa kama mdau wa maswala ya maji, nimepata wazo na kuona jamii inapaswa kulifikilia pia kwa kuzingatia haya mabadiliko ya kimazingira na kiuchumi.

Leo tunashuhudia kuongezeka kwa bei za mafuta ya petrol na diesel, tunashuhudia kuongezeka kwa ukame kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa, n.k.

Sasa nafikilia kwa wale wanaoendesha uchumi wao kwa kutumia vyanzo vya maji ni muda wa kwenda kutumia mfumo endelevu wa solar water pump. Badara ya kupata changamoto za umeme kukatika kila wakati na kwa wale wanaotumia pampu za maji zinazotumia nishati ya diesel au petroli ambazo nimekuwa na mfumuko wa bei kila wakati. Muda sasa unaongea inapaswa kuhamia kwenye nishati ya jua.

Huko vijijini wakulima wengi wanatumia pampu za diesel na wengine wanakodisha pampu hizi,kwa sasa gharama za kuendesha pumpu hizi zitaongezeka na kuathiri kilimo kwa ujumla.

Kuna kila sababu sasa kwa wakulima na watumiaji wengine wa pampu za maji kufikilia kuingia kwenye mifumo ya nishati ya jua.

Kutokana na uzoefu wangu kwenye maswala ya pampu za maji, Changamoto niliyoona kwenye solar water pump ni gharama katika kununua na kufunga, ila ni mfumo ambao ukifanikiwa kufunga umemaliza kila kitu, sasa kutokana na changamoto hizi, nazihita taasisi ambazo zinauwezo wa kukopesha hawa wakulima na watumiaji wengine wa mifumo ya maji waweze kuona fursa ya kuwawezesha kundi hili la wajasiliamali kumudu gharama za kununua na kufunga mfumo mpya wa solar water pump.

Ombi langu kama kuna member wa jamiiforum anayemiliki microfinance , aangalie namna ya kuwasaidia kundi hili, wahitaji ni wengi sana , wapo wakulima, wajasiliamali wenye viwanda vidogo vidogo,viwanda vikubwa, wafugaji, taasisi za elimu,afya, malazi, n.k.

Kwa wastani kwa sasa gharama za kununua na kufunga mfumo wa solar water pump ambao utaleta tija kwa mkulima, mfugaji, au mjasiliamali na kuanzia 3,700,000/= (milioni tatu na laki saba ya kitanzania).

Karibuni kwa maoni.

+255699 494650
Evigt Instagram
QR Code Evigt Twitter
View attachment 2162328
View attachment 2162326
Akili Kubwa💡👏
 
kwa nionavyo mimi
Hii ya upepo(windmill) ina tija zaidi chief na si tu kwa pump bali mfumo wote wa umeme huu nauona ni mzuri na hauna gharama nyingi za muendelezo kulinganisha na solar
 
kwa nionavyo mimi
Hii ya upepo(windmill) ina tija zaidi chief na si tu kwa pump bali mfumo wote wa umeme huu nauona ni mzuri na hauna gharama nyingi za muendelezo kulinganisha na solar
Kuna jamaa walikuwa wanatengeneza hizi panga boi za kuvuna umeme wa upepo ,wapo pale ubungo external sijui wamefikia hatua gani, nitawatembelea soon...ili tujazie nyama huu uzi...
 
Wazo zuri sana hili, niko kwenye kilimo cha umwagiliaji, naelewa sana unacho zungumzia
 
Kuna jamaa walikuwa wanatengeneza hizi panga boi za kuvuna umeme wa upepo ,wapo pale ubungo external sijui wamefikia hatua gani, nitawatembelea soon...ili tujazie nyama huu uzi...
hii ukipata mtaalamu wake mzuri ni nzuri sana na kikubwa hazina mambo mengi(service)
 
Nahitaji pipe kwa ajili yakuunganishiwa maji nyumbani inchi 1.5 meter 150 mtaniuzia kwa bei gani nipo manyoni
 
Screenshot_20220405-133504_1649175660194.jpg

Kutana na pampu ya maji kutoka ujerumani, iliyoundwa kwa mazingira ya nchi zinazoendelea.

Kwanini pampu hii ni ya kipekeee?

  1. Ndio pump inayoweza kutoa maji katika chanzo chochote cha maji, yaani mabwawa, mito, maziwa, visima, n.k
  2. Ndio pump ndogo yenye uwezo wa kufanya kazi kubwa, ndani ya box inakuja na sensor yake inayoweza kujiwasha na kujizima hivyo inaweza kufanya kazi siku nzima kwa interval maalumu.
  3. Ndio pump inayotumia mwanga wa jua inayopatikana kwa bei nafuu huku ikiwa na uwezo wa kutoa hadi lita elfu 25 kwa siku.
  4. Rahisi kuifunga na kuifungua na kuhamisha kwenda sehemu moja hadi nyingine, haitaji wiring
Karibu sasa ujipatie complete set na installations kwa bei ya Tshs 3,800,000
Pia utaelekezwa namna ya kuifunga na kuifungua.

SMS/CALL/WHATSAP 0699 494650

Kariakoo DSM/ mkoani utaletewa

Screenshot_20220405-133540.png

Screenshot_20220405-192859.png
Screenshot_20220405-192940.png
 
Back
Top Bottom