Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo kuna doyin na chimpHizo Pump Za Picha Ya Kushoto Zinaitwaje !?
360k
Mwisho 1.5 hp zilizopoMnazo pump zinazotumia Solar tu (DC powered pump)?
2hp.
Hatuna mkuuWater pump yenye kutumia solar power, inayo weza fungwa mpira wa wa kupelekea maji wa nchi 3 mnayo na ina uzwaje?
Uwe unajibu na bei watu wajue kabisa kupunguza maswaliMwisho 1.5 hp zilizopo
Hii ni moja ya marketing strategy mkuu, nafanya engagement penetration, we lete maswali tu yatajibiwa...Uwe unajibu na bei watu wajue kabisa kupunguza maswali
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Ok Dongyin !!! Naitumia na inapiga kazi vizuri sana.Hapo kuna doyin na chimp
Dongyin ni kampuni pacha wa Doyin hazina tofauti nazo zipo..Ok Dongyin !!! Naitumia na inapiga kazi vizuri sana.
Kwa matumizi gani sasa mkuu, ? submersible ya mita 70 ndio minimum na bei yake ni 1.8 MPump ya bei ya chini inayotumia umeme wa jua ni shilling ngapi?
Mita za kusukuma ni 160 maximumMkuu ebu nipe details za kutosha kuhusu solar pump ya hp 1.5
1.umbali inaoweza kufanya kusukuma maji
2.ukubwa wa pipe zake.
3.lita ngapi per hour
4.na mwisho full set price ni shilingi ngapi nikimaanisha pump,pipe,solar na vifaa vyote. Nahitaji sana hii nipe majibu tafadhali.
Nataka kuvuta maji toka kisima chenye kina cha meta 15 kuyapeleka kwenye bwawa la samakiKwa matumizi gani sasa mkuu, ? submersible ya mita 70 ndio minimum na bei yake ni 1.8 M
Kwa bwawa ipo ndogo kwa 850k
Kwa surface pump ndogo ni 1.7M
Hizi ni complete set pump na solar zake
Kisima chako ni borehole au cha mviringo? Maana kuna inatumika kwenye kisima cha mviringo kwa kuwa ina kipenyo kikubwa haiwezi ingia kwenye boreholeNataka kuvuta maji toka kisima chenye kina cha meta 15 kuyapeleka kwenye bwawa la samaki
Hiyo pump ya 850k itafaa?
Hizo ni pampu designated kutumia direct electric current ,ambao ndo huo unazalishwa na nishati ya juaPump za solar ndio zikojje? Hizi nimpumpnza kuongeza presha ya maji yanayotoka kwenye bomba?