Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KaribuSawa
karibuSawa
Je gharama za kisima Cha mashine bei gan boss?karibu
inategemea na mkoa unapotaka kuchimba..Je gharama za kisima Cha mashine bei gan boss?
Dar'salam gongo la mbotoinategemea na mkoa unapotaka kuchimba..
Majan kama bado hii shida ipo tuwasiliane kaka...nafikiri tunaweza fantastic hii sema kuna maswali mailing matatu nikuulize...0767350415Hilo shamba lipo ktk muinuko namaeneo hayo hata uchimbe kisima kiangazi kinakauka.kipindi hiki hata wenyeji wanasumbuka sana kupata maji hadi wayafuate mabondeni
Ok nakupigia chiefMajan kama bado hii shida ipo tuwasiliane kaka...nafikiri tunaweza fantastic hii sema kuna maswali mailing matatu nikuulize...0767350415
Tanzania hakuna pump za uwezo huo? Sio kwel, zipo nyingi sana hapo unatakiwa ujue flow unayoitaka na Total head yako (kutoka mtoni mpka shambani)...kuna kampuni nyingi zina hzo pampu kama Dar huduma, Equiplus, Davis, Marry water..Pumpu hizo zipo ila sisi hatuna, ila pampu zenye uwezo huo inasemekana zinatokea Zimbabwe hapa Tanzania bado hazijapata kuuzwa, na zinatumika sana kutoa maji kwenye migodi.
zinaitwa mono pump zimbabwe, website yao ni MONO PUMP ZIMBABWE
Mkuu njoo na vielelezo hizo kampuni ulizotaja kama wanazo wasaidie watanzania hapa kwa kulete invoices za hizo pump,, watu wa migodini wapo watanunua hapa..Tanzania hakuna pump za uwezo huo? Sio kwel, zipo nyingi sana hapo unatakiwa ujue flow unayoitaka na Total head yako (kutoka mtoni mpka shambani)...kuna kampuni nyingi zina hzo pampu kama Dar huduma, Equiplus, Davis, Marry water..
Kwa kutaja majina yao tu tayari nmeshasaidia kwa mtu anayehitaji anaweza watafuta! Ww invoice za kampuni yako mtu yoyote tu anaweza kuwa nazo?Mkuu njoo na vielelezo hizo kampuni ulizotaja kama wanazo wasaidie watanzania hapa kwa kulete invoices za hizo pump,, watu wa migodini wapo watanunua hapa..
Kwa sababu hizo kampuni nishazunguka kutafuta pump kwa migodini , wameshindwa kudesign pump hiyo hapo sijaenda ni hao equeplus tu ....Kwa kutaja majina yao tu tayari nmeshasaidia kwa mtu anayehitaji anaweza watafuta! Ww invoice za kampuni yako mtu yoyote tu anaweza kuwa nazo?
Invoice unaipata popote pale unapoenda kutaka huduma au bidhaa unawapa requirements zako kisha wanakupa proforma invoice.. Sasa hili ulijui?Kwa kutaja majina yao tu tayari nmeshasaidia kwa mtu anayehitaji anaweza watafuta! Ww invoice za kampuni yako mtu yoyote tu anaweza kuwa nazo?
Zipo nyingi tu mzee, niandikie Q na Head unayohitaji nkudizainie aina ya pampu na nkupa options zaid ya tano ambapo unaweza kuzipata! Distance ya mita 800 ni ndogo sanaa kwa technology ya pampu sasa ilipofkia!Kwa sababu hizo kampuni nishazunguka kutafuta pump kwa migodini , wameshindwa kudesign pump hiyo hapo sijaenda ni hao equeplus tu ....
Sasa unataka nizunguke kwa suppliers wote hao ili nipate invoice za kuja kuweka humu jf? Ndio uwezo wako wa kufikiri umeishia hapo! Nmetaja majina yao wote wana website zao tena wngne mpka apps wanazo so mwenye hitaji anaweza watafuta wakamalizana.Invoice unaipata popote pale unapoenda kutaka huduma au bidhaa unawapa requirements zako kisha wanakupa proforma invoice.. Sasa hili ulijui?
ipo hiiPump inayo tumia solar power inayo weza kuvuta maji umbali wa mita mia mbili mna uzaje?,ukubwa wa shamba ni heka nne
1.6 ni kwa maana ya mpira wake wa kuvutia maji?,hua napenda 2 au tatu.ipo hii
ipo 1.6 hp
inatoa kiasi cha maji 2300L/H
inavuta maji hadi kina cha mita 160
2,550,000/= PUMP ONLY
9,500,000/= COMPLETE SET