Tunachimba visima vya maji popote Tanzania

Tunachimba visima vya maji popote Tanzania

Kwa wenye miradi ya kibiashara au majumbani sasa unaweza kupata pump kulingana na matumizi yako. Zipo pump kwa ajili ya visima virefu na vifupi, mabwawa,majitaka, n.k
Pump hizi zinatumia umeme wa kawaida, zipi zinazotumia umeme wa jua na zipo zinazotumia mikono au miguu(manual).
Ukihitaji kujua bei ya pump na taarifa za ziada kuhusu pump za maji usisite kuwasiliana nasi kwa kupiga au sms. Bei za pump zinatofautiana kulingana na uwezo au power ya pump na matumizi yake.
Pia tunatoa huduma ya kufunga na kutengeneza pump za maji.
call/sms 0699494650

Kariakoo-Ilala
soma pia, pump
pump price


doyin.jpg
shimge.jpg
gasoline.jpg
solar pump.jpg

DOYIN deep well water pump, SHIMGE sewage water pump, TOTAL Gasoline & Diesel water pump, solar water pump,

manual pump.jpg
surface.jpg
surafce 2.png

KICKSTART manual pump, TOTAL Surface water pump, SHIMGE surface water pump,
 
WATER DESALINATION STSTEMS

Through our experienced technicians, we can design, build and commission reverse osmosis (RO) systems treating different kinds of water sources ranging from tap water, well water, brackish water to seawater desalination and covering all types of applications including drinking water, irrigation water and process water.

This system also remove
sediments, hardness, organic matter, bacteria, silica, metal oxides or even chlorine.

Contact us now to purchase one, for domestic or commercial utilization.
come experience the meaning of good life, good health

call/sms 0699494650
Mbezi Beach, Dar es salaam
treat1.jpg
treat2.jpeg
 

MoneyMaker Max​

Hii ni pump ya kipekee inayotumia nguvu ya miguu kukanyaga kwa kupanda na kushuka kushoto na kulia mahususi kwa umwagiliaji.
- Ni rahisi kuifunga, unaweza kumwagilia hadi heka 2 kwa siku.
-kwa dakika moja inatoa hadi lita 60
-inavuta maji kutoka kina hadi cha mita 7 na inasukuma hadi mita 14
kickpump.jpg
 
Safe to Use for hospitality industries.
 
na bei bossb

MoneyMaker Max​

Hii ni pump ya kipekee inayotumia nguvu ya miguu kukanyaga kwa kupanda na kushuka kushoto na kulia mahususi kwa umwagiliaji.
- Ni rahisi kuifunga, unaweza kumwagilia hadi heka 2 kwa siku.
-kwa dakika moja inatoa hadi lita 60
-inavuta maji kutoka kina hadi cha mita 7 na inasukuma hadi mita 14
View attachment 1970809
350k pump only
complete na pipe zake 420k
 
Doyin submersible water pump

  • Pump maarufu kwa matumizi ya visima virefu, zinatengenezwa China .
  • Ni pump zinazohimili misukosuko ya tope na mchanga chini ya ardhi, lakini pia zinasifika kwa kuhimili umeme usio stable kwa kutumia control box ambayo inakuja pamoja na pump na cable yenye urefu zaidi ya mita 10.
  • Zinakuja na uwezo tofauti tofauti kuanzia horse power 0.5 na kuendelea.
  • Zinatumia umeme tu, na ikiwa unaitaji pump hii utumike kwa umeme wa jua lazima ufunge pump inverter.
doyyin.jpg
 
we accept the installment payments at your own peace.....welcome all

payment.png
 
Doyin submersible water pump

  • Pump maarufu kwa matumizi ya visima virefu, zinatengenezwa China .
  • Ni pump zinazohimili misukosuko ya tope na mchanga chini ya ardhi, lakini pia zinasifika kwa kuhimili umeme usio stable kwa kutumia control box ambayo inakuja pamoja na pump na cable yenye urefu zaidi ya mita 10.
  • Zinakuja na uwezo tofauti tofauti kuanzia horse power 0.5 na kuendelea.
  • Zinatumia umeme tu, na ikiwa unaitaji pump hii utumike kwa umeme wa jua lazima ufunge pump inverter.
View attachment 1971638
weka bei ya hii, mkuu, je itafanya kwa kisima cha mita 15 ?
 
weka bei ya hii, mkuu, je itafanya kwa kisima cha mita 15 ?
bei ina depend na uwezo wa pump mkuu, mita 15 unaweza kuweka hp 0.5 , ila kisima lazima kiwe ni borehole, maana wengine wamechimba vile visima vya ringi , sasa uwezi kutumia hii pump kwenye kisima cha ringi.
Doyin submersible pump, 0.5 hp BEI NI 260,000/=

👇hichi ndo kisima cha ringi,, kisima cha ringi inatumika surface pump sio submersible pump.

ringi.jpg
 
bei ina depend na uwezo wa pump mkuu, mita 15 unaweza kuweka hp 0.5 , ila kisima lazima kiwe ni borehole, maana wengine wamechimba vile visima vya ringi , sasa uwezi kutumia hii pump kwenye kisima cha ringi.
Doyin submersible pump, 0.5 hp BEI NI 260,000/=

👇hichi ndo kisima cha ringi,, kisima cha ringi inatumika surface pump sio submersible pump.

View attachment 1971690
maelezo murua kabisa, changu ni kisima cha ringi mkuu, nahitaji pump ya specs gani, na bei yake tafadhali
 
maelezo murua kabisa, changu ni kisima cha ringi mkuu, nahitaji pump ya specs gani, na bei yake tafadhali
itakufaa peripheral pump chagua
0.5 hp ni 160000/=
0.75 hp ni 170000/=
Jet_pump.jpg

pipe moja inaenda kisimani inavuta maji na pipe ya pili inaenda peleka maji kwenye reservoir yako .
 
Je kuna pump yakusukuma maji toka mtoni ambako ni bondeni kupandisha shambani umbali wa mita 800..?
Kuna mzee yy amejenga visima kama vituo yani anayavuta maji toka bondeni yanaingia kisima cha kwanza kikijaa anahayamisha tena kuja kisima chapili,chatatu hadi yanafika shambani,binafsi naona nigharama hata yy naona kabisa inamchosha ..je ipo pump yakupushi moja kwamoja.?
Kama ipo gharama yake ipoje
 
Je kuna pump yakusukuma maji toka mtoni ambako ni bondeni kupandisha shambani umbali wa mita 800..?
Kuna mzee yy amejenga visima kama vituo yani anayavuta maji toka bondeni yanaingia kisima cha kwanza kikijaa anahayamisha tena kuja kisima chapili,chatatu hadi yanafika shambani,binafsi naona nigharama hata yy naona kabisa inamchosha ..je ipo pump yakupushi moja kwamoja.?
Kama ipo gharama yake ipoje
Pumpu hizo zipo ila sisi hatuna, ila pampu zenye uwezo huo inasemekana zinatokea Zimbabwe hapa Tanzania bado hazijapata kuuzwa, na zinatumika sana kutoa maji kwenye migodi.
zinaitwa mono pump zimbabwe, website yao ni MONO PUMP ZIMBABWE
 
Je kuna pump yakusukuma maji toka mtoni ambako ni bondeni kupandisha shambani umbali wa mita 800..?
Kuna mzee yy amejenga visima kama vituo yani anayavuta maji toka bondeni yanaingia kisima cha kwanza kikijaa anahayamisha tena kuja kisima chapili,chatatu hadi yanafika shambani,binafsi naona nigharama hata yy naona kabisa inamchosha ..je ipo pump yakupushi moja kwamoja.?
Kama ipo gharama yake ipoje

hahah, dah!
mita 800 mbona ni parefu sana aise?

kwanini asichimbe kisima hapo hapo nyumbani?
 
hahah, dah!
mita 800 mbona ni parefu sana aise?

kwanini asichimbe kisima hapo hapo nyumbani?
Hilo shamba lipo ktk muinuko namaeneo hayo hata uchimbe kisima kiangazi kinakauka.kipindi hiki hata wenyeji wanasumbuka sana kupata maji hadi wayafuate mabondeni
 
Karibu Jf Members tupate maarifa kisha tufanye maamuzi sahihi.

Ikiwa upo kwenye ujenzi au unatarajia kujenga ni muhimu kufahamu mambo machache kuhusu mfumo wa kusambaza maji safi/salama na maji taka kwenye mjengo wako.

Mifumo hii ya kusambaza maji salama na maji taka unajulikana kwa jina la plumbing system, na mtu anayefanya kazi ya kufunga na kurekebisha hii mifumo anajulikana kwa jina la kitaalamu ni plumber.

Kihistoria mifumo hii ya kisasa ya leo ni matokea ya maendeleo ya karne nyingi ambapo mifumo imara inagunduliwa kutokana na changamoto zilizojitokeza kwa nyakati hizo. Mifumo hii ilianza kuendelezwa na warumi ambao walikuwa wanatumia pipe za material ya lead (lead pipe), sasa lead kwa kirumi wanaita plumbum na mtu aliyefanya kazi hizi akaitwa plumberius, Sasa baada ya mifumo hii kwa karne nyingi kuzidi kuenea duniani likaibupa neno la plumber, ambaye ndio proffessional anayetambulika hadi sass kwenye maswala ya kufunga na kutengeneza mifumo hii ya maji salama na maji taka na sasa dunia inatumia plastic pipe za PVC (Polyvinyl Chloride) ambazo ni salama zaidi.

Tunaposema mfumo imara ni vile ufungaji wa pipe za maji, uliofikia kiwango cha kukukinga na magonjwa na kuleta comfortable ndani ya nyumba kwa maana mifumo imara ya kusambaz maji ufanya mazingira kuwa safi wakati wote, hairuhusi backflow yaani, maji taka kuchanganyika na maji salama au maji taka kurudi ndani ya nyumba wala hairuhusu upotevu au uvujaji wa maji usioeleweka au kutambulika.

Mifumo imara ya maji ni muhimu sana kwenye majengo japo watu wengi hudharau, mifumo bora na ya kisasa inaweza kukusaidia kupata maji salama kwa matumizi ya kunywa, kuoga, kupikia na kulinda nyumba yako au biashara yako na majanga ya moto, lakini pia inaweza kukusaidia katika utunzaji wa bustani.

Mfumo imara pia unaweza kukuepusha na upotevu wa maji unaopelekea kuletewa bili kubwa ya maji.

Kama ilivyo ujenzi unahatua, pia uwekaji wa mifumo ya maji salama na maji taka unahatua tatu, na ikiwa kipato chako ni kidogo unaweza kufanya kwa hatua moja moja hadi unakamilisha mfumo mzima.

Hatua ya kwanza, hapa ni kudesign na kulocate njia ya usambazaji wa maji kuingia na kutoka ndani ya nyumba yako ,pia hatua hii fundi atakufanyia na gharama za material ya bomba.

Hatua ya pili (top-out) ni ukishanunu material za bomba fundi atakuja kutoboa channel alizodesign au alizolocate na kufanya installation za bomba zote.

Hatua ya tatu ni finishing, fundi atakufungia plumbing fixtures mfano sinki la kunawia, sink la choo, shower, koki, water heater, water purification system, n.k

Pia ili mfumo wako uendelee kufanya kazi kwa ufanisi ule ule, weka mpango wa fundi kufanya repair mara moja unapohisi kuna tatizo dogo usingoje tatizo liwe kubwa utatumia gharama kubwa kufanya matengenezo.

Mwisho nawakaribisha wote kupata huduma zetu zinazozingatia utaalumu zaidi, zinazohusiana na maswala ya maji, kuanzia mifumo ya maji safi na majitaka, kufunga plumbing fixtures mfano water heater, water purifier, sink, shower, n.k. Pia tunatoa huduma ya tafiti ya vyanzo vya maji , kuchimba kisima cha mkono na mashine.
Ujachelewa wasiliana nasi sasa sms/call 0757914770
whatsapp 0759600809
Tupo DSM na mikoani tunafika kukuhudumia.
backflow (1).jpg
leak.jpg
 
Back
Top Bottom