Upatikanaji wa maji upo mita tofauti tofauti kulingana na sehemu mfano baashi ya sehemu unaweza kupata maji mita 50 na sehemu nyingine mpaka mita 150 ndani ya dar hii, sasa ili kujua maji yalipo ndo unashauriwa kufanya kwanza survey ambayo itatoa report yalipo maji, kuhusu maji chumvi au baridi ni matokeo tu muda mwingine ni bahati, report inaweza kusema maji mazuri lakini ukapata ya chumvi
Solar depends na hp ya pump utakayofungiwa ila kwa experiance pump ya 1 hp inaweza kukugharimu 6 million kwa solar tu na 2hp inaenda hadi 10 million,
Bei za kuchimba kisima ni 60 elfu kwa mita hii inahusisha kila kitu hadi pump na bei ya survey ni laki 2.