Tunachimba visima vya maji popote Tanzania

Tunachimba visima vya maji popote Tanzania

UPDATE YA BEI
Wakuu ngoja niwaambie changamoto ya kuandika bei bidhaa hizi, Sprinklers kwanza zipo za materials mbalimbali, zipo za plastic, brass, metal, metallic, n.k
Pia pamoja na size hizo hizo kuna zingine zinasize moja ila zinaperformance tofauti.
Mfano kuna kampuni ya Rain sprinkler size ya 1.5 inch inacover mzunguko wa 60 meter, wakati kampuni nyingine inacover 50 meter ,hapa bei haiwezi kuwa sawa, kwa mfano huu tu ni bei ya kwanza ni 180k wakati bei ya pili ni 150k.
Sasa kwa uzoefu wangu huwa najua anayetaka kufunga hizi sprinkler huwa anashauliwa na fundi wake anunue size gani na materials gani, then anakuja kupata bei akiwa specific anataka nini, lakini la sivyo kama unataka bei tu inamaana bado ujafika kwenye hatua ya uhitaji wa hii inshuu,, Nafikili nitakuwa nimeeleweka hapa.
karv aveki nyamwingi orturoo Lowkii
Kwa wastani 3/4" 25k
1" 50k
 
Gharama za upimaji kwa maeneo/mikoa mbalimbali kwa kutumia mashine ya kisasa inayoweza kutambua wingi,aina ya maji( maji chumvi au maji baridi), kina (Mita) na mikondo ya maji iliyopo ni kama ifuatavyo;
1.DSM 600,000
2.Morogoro 800,000.
3.Dodoma 1,000,000,
4.Singida 1,200,000.
5.Mikoa mingine Maelewano,
Mawasiliano 0744572145
Kwa ujanja wa bongo hapa napo unaaweza kuangishiwa kitu kizito yaani laki 6 kupima, anakuja anazunguka zunguka saiti baadae anakwambia tayari nimepima kuna maji au hakuna maji anaodoka na laki 6. Baada ya hapo wakati wa kuchimba unakuja unachimba mpaka futi elfu 10 ndo unakutana na maji. Si bora waje waanze kuchimba tubaatishe tu hivo hivo. Hii ni sawa na wakati simu zimeanza kuingia nchini miaka ya 90+ simu ikiharibika unapeleka kwa fundi anakwambia kucheki tu elfu 5 na uko kucheki ni kufungua tu kisha anafunga na raba bendi alafu unaacha elfu tano. Haahahahahaaaaa
 
Ukanda niliopo ni wa miamba inakuwaje kuhusu kupatikana kwa maji??
 
Gharama za upimaji kwa maeneo/mikoa mbalimbali kwa kutumia mashine ya kisasa inayoweza kutambua wingi,aina ya maji( maji chumvi au maji baridi), kina (Mita) na mikondo ya maji iliyopo ni kama ifuatavyo;
1.DSM 600,000
2.Morogoro 800,000.
3.Dodoma 1,000,000,
4.Singida 1,200,000.
5.Mikoa mingine Maelewano,
Mawasiliano 0744572145
Na Mafinga je?
 
UPDATE YA BEI
Wakuu ngoja niwaambie changamoto ya kuandika bei bidhaa hizi, Sprinklers kwanza zipo za materials mbalimbali, zipo za plastic, brass, metal, metallic, n.k
Pia pamoja na size hizo hizo kuna zingine zinasize moja ila zinaperformance tofauti.
Mfano kuna kampuni ya Rain sprinkler size ya 1.5 inch inacover mzunguko wa 60 meter, wakati kampuni nyingine inacover 50 meter ,hapa bei haiwezi kuwa sawa, kwa mfano huu tu ni bei ya kwanza ni 180k wakati bei ya pili ni 150k.
Sasa kwa uzoefu wangu huwa najua anayetaka kufunga hizi sprinkler huwa anashauliwa na fundi wake anunue size gani na materials gani, then anakuja kupata bei akiwa specific anataka nini, lakini la sivyo kama unataka bei tu inamaana bado ujafika kwenye hatua ya uhitaji wa hii inshuu,, Nafikili nitakuwa nimeeleweka hapa.
karv aveki nyamwingi orturoo Lowkii
Kwa wastani 3/4" 25k
1" 50k
Source yangu ni pump ya 2" . Je nitahitaji sprinkler ya kipenyo gani ? Nipe bei mkuu
 
jamaa ana maneno mengi kuliko kazi... mwisho waje waseme wewe tapeli
 
jamaa ana maneno mengi kuliko kazi... mwisho waje waseme wewe tapeli
Mkuu hivi vitu ni technical sana, na wateja wengi wanapata ushauri kutoka kwa mafundi wao au watalaamu wao wa kilimo baada ya kufika site, maana sio kila kilimo kinahitaji umwagiliaji kwa sprinkler, mazao mengine hayahitaji unyevu sana sasa haya hua yanamwagiliwa wa drip irrigation, mkuu mtu anapotoa maarifa shukuru sana, mimi sishindwi kukuzia tu kwani ukienda na isikusaidie mimi itanihusi nini, ila mimi sio mfanyabiashara wa hivyo, nashauriana na mteja wangu angalia nyuzi zangu zote hii ndia trade mark yangu.
 
Source yangu ni pump ya 2" . Je nitahitaji sprinkler ya kipenyo gani ? Nipe bei mkuu
Mkuu standard sprinkler ni inch 3/4 hadi 1,
3/4 zinaenda 25000/=
1 inch zipo za 30,000/= na za copper ni 65000/=
 
Ukanda niliopo ni wa miamba inakuwaje kuhusu kupatikana kwa maji??
Maji yapatikana mkuu hata kama kuna miamba vipi, kikubwa ni kufanya survey kujua yapo kwenye kina gani?
 
Mkuu standard sprinkler ni inch 3/4 hadi 1,
3/4 zinaenda 25000/=
1 inch zipo za 30,000/= na za copper ni 65000/=
Zinafanyeje kazi? Unaweza ukawa na pumpu ya kuvutia maji ikafaa? Msaada please.
 
Back
Top Bottom