Tunachimba visima vya maji popote Tanzania

Tunachimba visima vya maji popote Tanzania

IMG-20220604-WA0006.jpg

EDON Generator
6KVA
Mwendo wa Singida hiyo.
Thanks for Purchasing.
 
Nataka kujua hivi unaweza weka pump gani ili kuongeza presha ya maji yanayotoka kwenye solar heater?
Na je heating elements zipi ni nzuri na zinapatikana wapi? Maana kwa hali ya hewa hii sometimes maji sio ya moto sana.
Nataka kujua hivi unaweza weka pump gani ili kuongeza presha ya maji yanayotoka kwenye solar heater?
Na je heating elements zipi ni nzuri na zinapatikana wapi? Maana kwa hali ya hewa hii sometimes maji sio ya moto sana
Kwa kawaida hizi zinakuwa na mfumo wa aina mbili wa high pressure na low pressure, sasa inawezekana wakati unafunga fundi wako ajakuuliza unahitaji mfumo upi, akakufungia tu basi, sasa hapo labda ubadilishe huo mfumo wote, uweke mfumo wa high pressure,
 
Inasemekana zipo mashine za namna hiyo ila mimi sijafanikiwa kuiona, kuna baadhi ya surveyors wanapendaga kutoa maneno ya kuridhisha ili apate kazi tu, ila uwezo wa kugundua madini kwenye maji unafanyika maabara baada ya kupata sample ya maji.. Sasa hapo jiongeze.
Pale wizara ya maji wasingeweka water laboratory test kama kungekuwa na mashine ya ubora huo.
Hongera saaan akwa majibu ya ukweli. Wachimbaji huwa wanadanganya hapo ....umesema kweli kabisa na Mungu akubariki
 
Kwa wale wanaohitaji maji kwa matumizi ya nyumbani au kwenye miradi mbalimbali. Sasa tambua matumizi yako kisha nunua pampu kulingana na uhitaji wako.

Tunauza jumla jumla kuanzia pc tano na rejareja ukiitaji chini ya idadi hiyo.
zipo pampu kwa matumizi ya visima virefu na vifupi.
zipo pampu kwa matumizi ya kutoa maji taka, hizi zitatumiwa hadi kwenye migodi midogo midogo.
zipo pampu kwa matumizi ya kuongeza pressure ya maji kutoka kwenye maji ya dawasco.

Vifaa vya kufungia pump kwa size zote utapata dukani kwetu, mfano: cable, rope, male connectors, poly pipe, T connector, elbow, seal cap, n.k. Mafundi wazoefu wa kufunga pampu na kuzifanyia repair pia wapo.

Pampu hizi zina nguvu tofauti tofauti kulingana na mahitaji na matumizi yake. Unaweza kuendesha pampu za maji kwa kutumia umeme wa jua, umeme wa kawaida au generator.

karibu upate pampu zinazodumu na kwa bei rafiki. Tupo Kariakoo-DSM , mikoani tunakutumia.

Pay after delivery ipo kwa DSM tu.

sms/call/whatsapp 0759600809 au 0699494650

View attachment 2088794View attachment 2088795
IMG_20220824_104506_4.jpg


Horse power 50, kwa ajili ya miradi ya maji.
 
Nataka pump ya surface kwa ajili ya kuongeza presure ya maji ndani kutoka kwenye tenk 5000lts kusambaza ndani ground and first floor
 
Salamu kwenu.

Wadau wa kilimo, ufugaji na mazingira , napenda kuwaletea bidhaa zitakazo saidia kuongeza tija kwenye miradi yenu.

#1 Sprinkler kwa umwagiliaji wa kisasa kwenye mashamba, bustani, n.k

Zimetengenezwa kwa shaba,
size yake ni robo tatu( 3/4).
Inamwagilia kipenyo cha mita 29.

Nunua sasa kwa
45,000/= tu kuanzia pc tatu,
55,000/= kwa pc moja.


#2 pump ya Royalty Italy
Yenye ubora, nzuri kwa umwagiliaji na usambazaji wa maji.
0.5 Horse power
Inatumia Umeme
Lita 40/dakika
Bei ni 200,000/=

#3 pump ya Honda
Inatumia petroli
6.5 horse power
Inch 2
Lita 500/dakika
Bei ni 350,000/=

Tupo Gerezani, DSM, mikoani tunatuma.
0699 494650
View attachment 2267425View attachment 2267429View attachment 2267431
View attachment 2267436
Hii Pump ya Honda 500Lt/Min inatumia Mafuta Lita ngapi nikiiwasha Masaa 12 Mkuu?

Na je inamudu kuwashwa kwa masaa mengi ama nitalazimika kuwa naipumzisha?
 
Hii Pump ya Honda 500Lt/Min inatumia Mafuta Lita ngapi nikiiwasha Masaa 12 Mkuu?

Na je inamudu kuwashwa kwa masaa mengi ama nitalazimika kuwa naipumzisha?
Inaweza kufanya kazi kwa saa 8 mfululizo na ukapumzisha nusu saa kisha ukawasha tena saa 8.
Kila lita moja inatumika kwa saa 2.
Nafikili nimekujibu vyema.
Karibu .
 
Zile pump(engine) za kichina kinazotumia diesel unazo?
 
Back
Top Bottom