Kwa Mungu,binadamu wote ni sawaGentleman,
heshimu mamlaka za dunia, maana zimetoka kwa Mungu, nawe utabarikiwa,
usichoke π
Hata mu7 aliyepitia msituni kama fisi aheshimiwe? Acha utopolo wewe chawa!Gentleman,
heshimu mamlaka za dunia, maana zimetoka kwa Mungu, nawe utabarikiwa,
usichoke π
heshimu mamlaka usikufuru gentleman πMun
Kwa Mungu,binadamu wote ni sawa
na amewaumba kwa mfano wake . Unasemaje?
labda ungeandika bandiko mahususi kumuhusu gentleman,Hata mu7 aliyepitia msituni kama fisi aheshimiwe? Acha utopolo wewe chawa!
Kulikuwa Hakunaga kusimamishwa magari yalikuwa machache hivyo mnapisha tu kama inapita ambulance πHata hicho kimoja ilikuwa nadra sana kukutana nacho. Niliishi Msasani miaka hiyo sikuwahi kukutana na kingoro au kusimamishwa eti mwl Nyerere anapita
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wakati wa Nyerere king'ora kilikuwa kimoja tu Kutoka Msasani hadi Ikulu na kurudi
Siku Hizi ving'ora vinaanzia Mbweni [emoji1]
Zoweeni,dar masaa mawili mnatulizwa rais aende eapotiHapa Dodoma ndio shida kabisa,Rais yupo Chamwino,Makamu-Mayamaya,Waziri Mkuu-Mlimwa C,Naibu Waziri Mkuu-Makulu,Spika-Mlimwa C,Mkuu wa majeshi-Ilazo,bado yule DG wa TISS-Mlimwa C.
Hao wote wanatoka kwenye hayo makazi tao tofauti tofauti kwenye Ofisi zao zilizo maeneo tofauti tofauti..yani ni kero zaidi ya kero.
Siyo kufuru ni maandiko kama wewe ulivyo quote maandiko. Hata hivyo Mungu amempa mwanadamu akili ya kujua lipi la kuheshimu,kuhoji na kutosheshimu.heshimu mamlaka usikufuru gentleman π
Kila mtu ana mamlaka kwa urefu wa kamba yake.Mama lishe akiamua kuweka meza mbele ya geti lako ni shida sana kumtoaMambo haya.yalianza kwa.magufuli lakini.sasa yamezidi. Kila mwenye kingora kwenye gari anataka akiwashe.apishwe njia.zenyewe ziko kwenye ujenzi uchwara.wa.mwendokasi.
Wananchi tuna sumbuliwa.sana.na watu wanaojifanya.wanawahi na. Kuwasha vingora.
Tunaomba kauli na.hatua.zichukuliwe haraka sana. Magari ya.dfpa nayo yanataka.yapishwe. Haya.mabasi.mapya.ya.jeshi.ndio.kabisa. juzi.basi.la.JKT football club pale kunduchi polisi wamwshuka watu wakaanza kumpiga.dereva.lori kwanini hataki.kuwapisha. hii.si.sawa.
Tunahitaji reforms za.uhakika kujua nani.ana haki gani na.kwa.mamlaka.gani kisheria
Lugaro hospital iko maeneo hayoHii barabara ya kutoka mwenge mpaka bunju, wasingejenga mwendokasi,
Wangetandika mkeka njia nane, au hata kama ule wa mbezi kibaha.
Hao wa ving'ora wangekua wanabana kulia wanapita na ukali bila zengwe.
Hii njia inaenda makazi ya viongozi wengi sana, kwa sasa eneo la kuanzia mbezi shule yoote mpaka bunju ni makazi ya public figure wengi(hata rais wako anayo makazi binafsi kipande hiki)
Halafu niwaulize mainjinia wa mwendokasi, kulikua na ulazima upi kujenga vituo virefu kile kipande cha lugalo wakati eneo lile halina abiria wengi? Hamjifunzi kwenye vituo vyenu vingine? Likituo linakua kuuuuubwa watu wenyewe hakuna, unamkuta askari na katisha ticket tu.
Umetimiza wajibu au unadai haki tu?Mambo haya.yalianza kwa.magufuli lakini.sasa yamezidi. Kila mwenye kingora kwenye gari anataka akiwashe.apishwe njia.zenyewe ziko kwenye ujenzi uchwara.wa.mwendokasi.
Wananchi tuna sumbuliwa.sana.na watu wanaojifanya.wanawahi na. Kuwasha vingora.
Tunaomba kauli na.hatua.zichukuliwe haraka sana. Magari ya.dfpa nayo yanataka.yapishwe. Haya.mabasi.mapya.ya.jeshi.ndio.kabisa. juzi.basi.la.JKT football club pale kunduchi polisi wamwshuka watu wakaanza kumpiga.dereva.lori kwanini hataki.kuwapisha. hii.si.sawa.
Tunahitaji reforms za.uhakika kujua nani.ana haki gani na.kwa.mamlaka.gani kisheria
madhara ya kushupaza shingo na kutoheshimu mamlaka mara nyingi huwapata watu moja moja kibinafsi,Siyo kufuru ni maandiko kama wewe ulivyo quote maandiko. Hata hivyo Mungu amempa mwanadamu akili ya kujua lipi la kuheshimu,kuhoji na kutosheshimu.
Ni pamoja na ukoloni, utumwa na ubaguzi wa rangi (apartheid)?Gentleman,
heshimu mamlaka za dunia, maana zimetoka kwa Mungu, nawe utabarikiwa,
usichoke π
zingatia mawaidha na maelekezo mahususi na ya msingi kwenye koment yangu, itakusaiadia sana gentleman,Ni pamoja na ukoloni, utumwa na ubaguzi wa rangi (apartheid)?
Naunga mkono hoja.....Mambo haya.yalianza kwa.magufuli lakini.sasa yamezidi. Kila mwenye kingora kwenye gari anataka akiwashe.apishwe njia.zenyewe ziko kwenye ujenzi uchwara.wa.mwendokasi.
Wananchi tuna sumbuliwa.sana.na watu wanaojifanya.wanawahi na. Kuwasha vingora.
Tunaomba kauli na.hatua.zichukuliwe haraka sana. Magari ya.dfpa nayo yanataka.yapishwe. Haya.mabasi.mapya.ya.jeshi.ndio.kabisa. juzi.basi.la.JKT football club pale kunduchi polisi wamwshuka watu wakaanza kumpiga.dereva.lori kwanini hataki.kuwapisha. hii.si.sawa.
Tunahitaji reforms za.uhakika kujua nani.ana haki gani na.kwa.mamlaka.gani kisheria
Sijakataa, lakini pamoja na kuwa na hospital, ila abiria sio wengi, ya nini ujenge likituo reeeefu.Lugaro hospital iko maeneo hayo
wanakera vituo virefu km Tiptop Haina watu,Hii barabara ya kutoka mwenge mpaka bunju, wasingejenga mwendokasi,
Wangetandika mkeka njia nane, au hata kama ule wa mbezi kibaha.
Hao wa ving'ora wangekua wanabana kulia wanapita na ukali bila zengwe.
Hii njia inaenda makazi ya viongozi wengi sana, kwa sasa eneo la kuanzia mbezi shule yoote mpaka bunju ni makazi ya public figure wengi(hata rais wako anayo makazi binafsi kipande hiki)
Halafu niwaulize mainjinia wa mwendokasi, kulikua na ulazima upi kujenga vituo virefu kile kipande cha lugalo wakati eneo lile halina abiria wengi? Hamjifunzi kwenye vituo vyenu vingine? Likituo linakua kuuuuubwa watu wenyewe hakuna, unamkuta askari na katisha ticket tu.