Tunachoshwa sana na kupisha vingora barabarani hapa Dar Es Salaam

Tunachoshwa sana na kupisha vingora barabarani hapa Dar Es Salaam

Unakuta njia.zetu ni nyembamba sababu ya ufisadi na pesa haitoshi halafu unakuta mtu ana landcruiser lc 200 kawasha kingora na taa zile zinauzwa lumumba car accessesories shops. Analazimishwa apishwe.

Wageni wa wa nje wanatushangaa sana kwamba mbona productivity yenyewe ni.zero lakini tuna maafisa wengi.wanakula tuu kodi za wananchi na bado barabarani wanataka wapite haraka wakaangalie tv maofisini mwao.

Watu weusi nani katuloga. Utopolo mwingine ni huu wa kujenga mwendokasi kila pembe ya.dsm.

Huku north.of.dsm kuelekea bagamoyo ni middle.class na kila.mtu.ana.gari kulikuwa hakuna haja.ya.mwendokasi maana itaua biashara.ya bodaboda pia. Tatizo la kufanya vitu bila kuzingatia tafiti. Huku tegeta bunju kulihitaji njia 6 lanes basina.kumgependeza.sana.

Hii mwendokasi likifa lori njiani la tani 20 barabara haipitiki tena. Ndio maana tunaitwa.watu weusi na.akili zetu nyeusi pia. Mwendokasi italeta wazururali.wauza mihogo. Wafingua vibanda road reserve na.vibaka. ni kama daladala.zilivuopeleka uswahili masaki.
 
Acha unafiki gentlemen ... Tuambie kwanza faida ya kujenga vituo vya mwendokasi Azania, Kwa ndevu, skanska, jkt, mbuyuni, kituo kipya,rafia,afrikana,jogoo, interchick,makonde,goig, shule, Kwa komba, bondeni, supermarket, lugalo, na mwenge..... KWA NINI MAFISADI CCM MNAJENGA LIKITUO LIKUUUUUUUUUBWA...... Halafu nyie wapuuzi mnajua ipo siku tutaparuana??? Gentlemen acheni upuuzi wezi wakubwa nyie.... Ipo siku inakuja matapeli wakubwa nyie. SHUWAINI KABISA ....
Nikadhani mimi tuu Fikra zangu kwenye hayo mavituo mrefu kumbe ni wengi...
Oyaa vile vituo walivyojenga sio kwa urefu ule.. Kuna kimoja nakiona Goig ambako kwanza ni sehemu hamna Abiria wengi ila kituo kirefu balaaa.. Kituo kina kama mita mia mbilii na usheee...
Kodi zetu zinatumiwa vibaya
 
madhara ya kushupaza shingo na kutoheshimu mamlaka mara nyingi huwapata watu moja moja kibinafsi,

nakuombea hekima na busara kwenye kutii mamlaka za wanadamu 🐒
Hata ukionewa wewe tii tu. Niombee niwe rais siku moja ili nilete usawa kwa wote
 
Hata ukionewa wewe tii tu. Niombee niwe rais siku moja ili nilete usawa kwa wote
unaonewaje gentleman kama sio kiburi, ujeuri na ukaidi tu wa kutii ilani za kiusalama na sheria bila shuruti ?

uongozi haunaga majaribio gentleman 🐒
 
Ving'ora vya kuwahi kwenye uigizaji
IMG-20250223-WA0018.jpg
 
Hapa Dodoma ndio shida kabisa,Rais yupo Chamwino,Makamu-Mayamaya,Waziri Mkuu-Mlimwa C,Naibu Waziri Mkuu-Makulu,Spika-Mlimwa C,Mkuu wa majeshi-Ilazo,bado yule DG wa TISS-Mlimwa C.
Hao wote wanatoka kwenye hayo makazi tao tofauti tofauti kwenye Ofisi zao zilizo maeneo tofauti tofauti..yani ni kero zaidi ya kero.
Barabara zenyewe ni chache. Ikifungwa barabara moja tu ni Jiji zima linasimana. Wakishapita hadi foleni iishe huchukua muda mrefu hali kurudi sawa.
 
unaonewaje gentleman kama sio kiburi, ujeuri na ukaidi tu wa kutii ilani za kiusalama na sheria bila shuruti ?

uongozi haunaga majaribio gentleman 🐒
Ilani za kiusalama na sheria zote za nchi nafuata lakini sipendi wenye mamlaka wanavyovunja sheria hasa ya usalama barabara. Wanaonea watu tena sana. eg kuna mstaafu mkuu wa jeshi alikuwa anasali hapo saint Peter's Jumapili misa ya asubuhi anatoka saa 3 barabara ya Mwaikibaki ni nyeupe lakini mnasogezwa nje ya barabara ili apite. Namshukuru Mungu nasikia kahamia sijui Kinyereze au Segerea nina amani sipishani naye tena nikienda kanisani Jumapili
 
Ilani za kiusalama na sheria zote za nchi nafuata lakini sipendi wenye mamlaka wanavyovunja sheria hasa ya usalama barabara. Wanaonea watu tena sana. eg kuna mstaafu mkuu wa jeshi alikuwa anasali hapo saint Peter's Jumapili misa ya asubuhi anatoka saa 3 barabara ya Mwaikibaki ni nyeupe lakini mnasogezwa nje ya barabara ili apite. Namshukuru Mungu nasikia kahamia sijui Kinyereze au Segerea nina amani sipishani naye tena nikienda kanisani Jumapili
Pole gentleman,
pole sana, unajua protocol saa zingine ni changamoto kwa wasiofahamu, kwasabb kuna watu wanalipwa kumlinda kiongozi huyo kwa taratibu maalumu na ndio maana inakua usumbufu kwa wengine,

hapo watu wanatekeleza majukumu yao hapo gentleman 🐒
 
Pole gentleman,
pole sana, unajua protocol saa zingine ni changamoto kwa wasiofahamu, kwasabb kuna watu wanalipwa kumlinda kiongozi huyo kwa taratibu maalumu na ndio maana inakua usumbufu kwa wengine,

hapo watu wanatekeleza majukumu yao hapo gentleman 🐒
Mbona kipindi cha Nyerere mpaka Mkapa hatukuona fujo hizi? Hii nchi amani na utulivu ni tele na usalama wa viongozi ni assured 💯
 
Mambo haya.yalianza kwa Magufuli lakini.sasa yamezidi. Kila mwenye kingora kwenye gari anataka akiwashe.apishwe njia.zenyewe ziko kwenye ujenzi uchwara.wa.mwendokasi.

Wananchi tuna sumbuliwa.sana.na watu wanaojifanya.wanawahi na. Kuwasha vingora.

Tunaomba kauli na.hatua.zichukuliwe haraka sana. Magari ya.dfpa nayo yanataka.yapishwe. Haya.mabasi.mapya.ya.jeshi.ndio.kabisa. juzi.basi.la.JKT football club pale kunduchi polisi wamwshuka watu wakaanza kumpiga.dereva.lori kwanini hataki.kuwapisha. hii.si.sawa.

Tunahitaji reforms za.uhakika kujua nani.ana haki gani na.kwa.mamlaka.gani kisheria
Wizara ya mambo ua ndani imelala.
 
Mambo haya.yalianza kwa Magufuli lakini.sasa yamezidi. Kila mwenye kingora kwenye gari anataka akiwashe.apishwe njia.zenyewe ziko kwenye ujenzi uchwara.wa.mwendokasi.

Wananchi tuna sumbuliwa.sana.na watu wanaojifanya.wanawahi na. Kuwasha vingora.

Tunaomba kauli na.hatua.zichukuliwe haraka sana. Magari ya.dfpa nayo yanataka.yapishwe. Haya.mabasi.mapya.ya.jeshi.ndio.kabisa. juzi.basi.la.JKT football club pale kunduchi polisi wamwshuka watu wakaanza kumpiga.dereva.lori kwanini hataki.kuwapisha. hii.si.sawa.

Tunahitaji reforms za.uhakika kujua nani.ana haki gani na.kwa.mamlaka.gani kisheria
Kweli ving'ora vimezidi sana nimekaa maeneo ya africana kwa siku magar ya ving'ora hata 50 yanapita mengie hamna hata folen unakuta kakiwasha, nahisi ni ushamba flan
 
Waziri wa mambo ya ndani chukua hatua ainisha ni nani anapaswa kupishwa njiani na mida gani. Wengine wanawahi beer wanawasha vingora.

Wateuliwa plus serikali.za.mitaa. ccm. Wakurugenzi wa mashirika. Siku moja nimeona.merceded braebus.nyeusi sijui ya mtoto.wa.gsm imehama barabara na.kingora.juu.

Hii ina maama hatuna.ethics and code of conduct kuna mtu anakula mshahara wa bure hafanyi kazi yake
 
Bora dsm , dodoma kila cruiser ina king'ora na inataka ipishwe
 
Back
Top Bottom