Huyu nina hakika ana jini mahaba, hili dude huwa lina attack sana wanandoa na wapenzi wanaoishi under one roof bila wao kujua ndio hujikuta nyumba imesambaratika mipango ya ndoa imekufa au ndani ya ndoa panawaka moto hamna amani ni stress tu!
Early signals ndio huwa hivyo.
Kwa KE
-Ghafla hamu ya mpenzi wako kupotea.
-Hisia juu yake kufa kabisa hata kama hana tatizo.
-Ndoto za ajabu kama vile mtu unamuona umelala naye ambaye humjui.
-Ukisex nae unapata maumivu makali hivyo sex nae unakwepa kwepa always.
-Akiwa mbali unam miss ila akiingia ndani tu mjengoni unageuka mbogo, ugomvi na makelele mtindo mmoja.
Kwa Men:
-Kuhisi mke ni kero tu bila sababu.
-Kupoteza nguvu za kiume ghafla,kuna muda una hamu ila ukitaka kumuingilia wife mboo inanywea ghafla bila sababu au inasinyaa baada ya kuchomeka tu!
-Kupoteza nguvu za kiuchumi, mabalaa na mikosi kukuandama ili tu uharibikiwe maisha usiendelee kufurahia uhusiano huo.
-Kuhisi hali flani ya msisimko wa mwili kila uingiapo ndani kwako aidha sebleni au chumbani, hii huashiria mdudu mnaishi nae ndani na hapo ndipo unapopishana nae.
-Hii hali ya kusisimuka pia hujitokeza hata ukienda sehemu yoyote inayofanyika maombi makali ya kidini au hata mkisali na mkeo home! Huashiria mdudu ameshakuvaa.