Tunaelekea kufunga ndoa, lakini sina hisia naye tena za kimapenzi

Tunaelekea kufunga ndoa, lakini sina hisia naye tena za kimapenzi

Watu wanaoana after 10 yrs! Upendo wa ukweli haufagi labda mmoja atupiwe kijini
Hizo maybe ni rare cases, trust me uhusiano unaohusisha kitu kirefu like muda mrefu, umbali mrefu n.k huwa unatembelea rim
 
Sasa kama mtu umeshakosa hisia naye unahangaika naye wanini, wakati mwingine mnajitafutiaga matatizo nyinyi wenyewe, piga chini maisha haya stress hazifai kwanza mafupi sana
 
Sawa, je huna hisia naye tu au hata kwa wanaume wengine huna hisia? Maana inawezekana huna hisia kwa wanaume wote.

Una mchepuko kwa sasa!? Kama ndiyo, muache.. Mchepuko unaweza ukakufanya umdharau mchumba wako na kumuona hana lolote. Akili inajitwist kwake.

Je, anakuhonga na kukujali? Kama hapana, mueleze ukweli. Hisia muda mwingine huchochewa na tabia za mtu kwa mwingine.
Hapana sina mahusiamo/mchepuko.
 
Vipi ukimgusa au kupigapiga maeneo yamsisimko napo bilabila??
Yeye hisia anazo, mimi ndio sina yaani hata afanye nini sisisimki kabisa yaani silowi.
Halafu sio kwamba nakuwa na hamu ila tatizo ni ninakuwa mkavu, hapana.
Ninakuwa sina hamu kabisa.
 
Sio kweli Mkuu.

It's the exact opposite.

Sisi wanawake fight for our marriages long after you guys have given us enough reasons not to.

Why? Because by then we are mother's already and we focus more on our kids.

Sasa kero zenu ndo zinatufanyaga tuna lose attraction kwenu and some women end up denying you sex. Kiukweli kwetu sisi wanawake sex ni kitendo emotional. Huwezi nitibua afu unipande pande tu ovyo nitakuwa nimehisi umenidharau.
sasa wale wanaoliwa kimasihara inakuwaje mkuu?
 
Hakuna tatizo hapo. Kuna kipindi tu mtu mwili hautaki ngono.

Halafu katika kipindi hiki cha maamuzi ya ndoa unakuwa na mawazo mengi ni kawaida hiyo hali.

Peaneni nafasi ikiwezekana hata mwezi kila mtu akae afikiri kwa namna yake kama mpo tayari kuishi milele.
 
Peaneni nafasi, have time for yourself and explore your body, may be it has something to do with your mind, unahitaji kuwaza mambo mengine rather than the existing problem, badilisha hata mazingira ikiwezekana na aina ya mind refreshing activities mazoezi kidogo ya kufanya mwili uwe active, jipe miezi kadhaa bila kuwasiliana au kuwa nae karibu, itakusaidia kujua kama kweli unampenda or if you real need him as a husband, itakusaidia kujua pia hisia zako zipoje kwake then you can make a right choice kabla ya kuingia ndoani

Ila.mimi nahisi you are stressed au kuna jambo linakusumbua kiasi kwamba your body is not respinding, kumbuka kwamba suala la sex linaanzia kwenye mindset yako

Kama mindset yako haipo tayari basi mwili hauwezi kurespond
sasa wale tunaosoma humu wanaliwa kimasihara inakuwaje mindset zao zinakuwa vipi mkuu ?
 
Nakukumbusha siku za nyuma umewahi andika ulipokua chuo umewahi achwa na umpenda bila sababu na ulipitia wakati mgumu sana.
Sio kweli,sababu ilikuwepo kwa upande wake
Sijawahi kuachwa bila sababu
 
Pole sana jitahidi kujikita kwenye maombi huenda shetani anataka kuvuruga mipango yenu.
 
Yeye hisia anazo, mimi ndio sina yaani hata afanye nini sisisimki kabisa yaani silowi.
Halafu sio kwamba nakuwa na hamu ila tatizo ni ninakuwa mkavu, hapana.
Ninakuwa sina hamu kabisa.
Basi utakua humfeel huyo mwanaume au kuna kitu alikufanyia ukapoteza totally ule upendo wamwanzo! Vipi mwanzo ulikua unaloa?
 
Acheni ujinga mwambie uyo mumeo achepuke kidogo
 
1.Miaka mitano mlikua mna-date au mnasomea udaktari?
2.Ile stage ya "honeymoon" sasa ndo imeisha, ya mahaba motomoto, ma sparks kama yote, butterflies in the stomach. Kwishney. Ilitakiwa hiyo stage iwakute kwenye ndoa, sasa shida mme date na kupikiana na kupakuliana for five years kama mko medical school.
3.Ndoa ni zaidi ya sex, japokua bila sex hakuna ndoa.
Nimecheka eti udaktari
 
Back
Top Bottom