Tunaelekea kufunga ndoa, lakini sina hisia naye tena za kimapenzi

Tunaelekea kufunga ndoa, lakini sina hisia naye tena za kimapenzi

You are logically right, on the other hand, she has an emotional buggage and somebody has to unpack, infact they should both workout to fix, it should be taken as her problem only....
If I had a burden to unload then I wouldn't impose it on my partner.

It would be too hefty on him. Unless he caused it.
 
Adjustments.jpg
 
If I had a burden to unload then I wouldn't impose it on my partner.

It would be too hefty on him. Unless he caused it.
So much as they are partners, chances are, he will be a victim of circumstances even if he never caused, I mean he will be affected...

Why not stepping into the shoes of his partner trying to workout things? this is for great cause, because their relationship is at stake here...

It is either they are both victims or victorious...
 
Mapenzi HUISHA.
Yani ni vile tu tunaamini kwa kuwa tupo muda mrefu basi we must marry.

Mapenzi HUISHA, na HUISHA hasa.

Mtendee hugo kaka haki, usiendelee na hiyo hatua anayofikiri mko wote sawa.

Shida ni kuwa HATUJAKUZWA NA KUFUNDISHWA KUPOKEA REJECTIONS KWENYE MAJUSIANO..

Hapo itakuwa beef, kulia ,kutukanwa, kusemwa umalaya, vurugu, nyumbani nako wasikuelewe kwanini unakataa ndoa.
Basi mradi tafrani.

Mungu awatetee wote wawili.
 
Habari.

Mimi na mpenzi wangu tumekuwa kwenye mahusiano kwa muda wa miaka mitano kama boyfriend na girlfriend (sio uchumba).

Nikiri kwamba tumekuwa na kutokuelewana kama ilivyo kawaida ya mahusiano lakini tupo vizuri kuhakikisha tatizo lolote linatatuliwa kwa wakati na kuhakikisha mawasiliano hayapotei. Pia tumekuwa na nyakati za furaha.

Tatizo lililopo ni kwamba nimepoteza kabisa hisia za kimapenzi kwa huyu mpenzi wangu ambaye tunategemea kupiga hatua mpya ya mahusiano yetu kuelekea kwenye ndoa.

Nikiwa nae sihisi chochote kabisa, ni kama nipo na mtu ambaye ni jinsia yangu, akinigusa sihisi chochote tena hata kwenye suala zima la sex imefika wakati hadi tutumie lubricants au wakati mwingine tuangalie video za wakubwa to get wet (hii aliipendekeza yeye nilikuwa siangalii kabla ya tatizo). Hili tatizo halikuwa mwanzoni, limetokea miezi kadhaa sasa.

Napata wakati mgumu sana ukizingatia tunaelekea kuwa mwili mmoja. Nimejaribu njia mbalimbali za kutatua hili tatizo ikiwa ni pamoja na kushirikisha wataalamu lakini tatizo bado lipo.

Pia nimemshirikisha yeye ila yeye anahisi nitakuwa na tatizo la uke kuwa mkavu, kitu ambacho nina uhakika sina.

Wanajukwaa naombeni ushauri wenu juu ya kutatua tatizo hili.
Swala la kawaida bro,ndoa ni zaidi ya hisia za mapenzi,kwenye ndoa baada ya Muda mrefu kukaa pamoja,Hari ya kuonana wa kawaida na hisia kupungua huwa ya kawaida,la msingi ni kwamba na la kujiuliza huyo bi dada,unaweza kuishi nae?mapungufu yake unaweza kuyavumilia?maana hauoi maraika!
 
Watu wengi sana hua wanadhani wanaume ndio tunaanza kuwakinai wapenzi wetu. Ukweli ni kwamba, wanawake hua wanaanza kukinai mapema sana!

Mwanamke mpe maximum miaka miwili baada ya hapo ni business as usual lazima mtaanza ku struggle. Na mara nyingi kama mwanamke umeshamuoa au unaishi nae, hapo ndio visingizio vya kichwa kuuma, mgongo, stress, periods ku extend kwa wiki mbili nk.

Kwa kifupi mleta mada ameshamchoka jamaa. Mi nashauri kama ana mchepuko amuache huyo mchumba ahamie kwa mchepuko ndio uwe main road.
Hii hali ni mbaya sana yani, kuna connection ya kumchoka mpenzi na jini mahaba lakini! Ilibidi nikatafute ufumbuzi wa hili tatizo kwa njia za kiroho. Ilisaidia kwa namna flani maana hali ilikuwa tete
 
Mapenzi HUISHA.
Yani ni vile tu tunaamini kwa kuwa tupo muda mrefu basi we must marry.

Mapenzi HUISHA, na HUISHA hasa.

Mtendee hugo kaka haki, usiendelee na hiyo hatua anayofikiri mko wote sawa.

Shida ni kuwa HATUJAKUZWA NA KUFUNDISHWA KUPOKEA REJECTIONS KWENYE MAJUSIANO..

Hapo itakuwa beef, kulia ,kutukanwa, kusemwa umalaya, vurugu, nyumbani nako wasikuelewe kwanini unakataa ndoa.
Basi mradi tafrani.

Mungu awatetee wote wawili.
When reality kicks in ndio balaa huanzia hapo
 
There will be such times when you look at your partner and wonder, wawapi huyu?

Then you remember what a loving person they used to be. How they loved you with all of their hearts and it was at such a moment that you decided they would be your partner for life.

The idea of getting married and dedicating your life to one partner can give you cold feet Sheila. It can freak you out and the effects can be physical or psychological or both.

You therefore have to look beyond today, beyond next year and beyond the next five years. Does he have the qualities that will make him a great Dad? You have to put yourself aside and think of the little family that you will create.

Good men are hard to come by. When you find one cling to them with all that you have.

Mengine utasolve tu kwa kubadilisha diet, kuongeza kungumanga kwenye diet etc. Huenda upo affected na mipango ya harusi ndo maana hata kulainika ni issue, huenda ni hormones, huenda Baby wako alikukera sasa badala uongee unabaki nalo moyoni na kumuona hafai.

Do not let go of that man young lady.
Its true ila dah wanawake hawanaga hili na hapo ndio roho wa kuchepuka huanzia
 
mkuu kuna muda mambo haya hutokea with no reason, utakuta mwenza anafanya kila kitu ajili yako bt hata hisia nae unakua huna...

kuna wakati wife nilikuaga namuona kama kibwengo bt baada ya kuanza kumshirikisha mungu changamoto hii ilitoweka kabisa
Nakubali mkuu hii kitu maranyingi husababishwa na negative energies. Ni shetani anawapitisha katika mtego wake mkinasa tu mmevunja familia! Ni muhimu sana kumshirikisha mungu katika hii changamoto!

Nilitumia dawa za kisuni na maombi hali ikapungua kama si kuisha ila niligundua wife alikuwa na mdudu!
 
Damn!!!! five fuc...in years + full time sex n stuff!! Hapo ni kama tayari mlikuwa unofficial mume na mke...

Kama una nia ya kuoa au kuolewa na mtu, muda wa mahusiano usizidi miaka 2, ikizidi sana tena sana iwe miaka 3...
Watu wanaoana after 10 yrs! Upendo wa ukweli haufagi labda mmoja atupiwe kijini
 
Sio kweli Mkuu.

It's the exact opposite.

Sisi wanawake fight for our marriages long after you guys have given us enough reasons not to.

Why? Because by then we are mother's already and we focus more on our kids.

Sasa kero zenu ndo zinatufanyaga tuna lose attraction kwenu and some women end up denying you sex. Kiukweli kwetu sisi wanawake sex ni kitendo emotional. Huwezi nitibua afu unipande pande tu ovyo nitakuwa nimehisi umenidharau.
Kero zipi jamani? Mwanamke tabia ya kumu ignore mume kwenye ndoa ni common na ndio anaanzaga ila mume akirespond kwa kumu ignore pia ndio huonekana mbaya
 
Lazima hili litakua tatizo la kiroho, tazama kwa jicho hilo.

Pia kuna Janga hili.
Mawigi/nywele bandia.
Mafuta au lotion Za kisasa..
Ni chanzo kikubwa shetani hutumia kuharbu ndoa za watu kwa kuwafanya wanawake kupoteza joto na hali asili ya uke.

Mafuta paka Coconut Oil tu.
Naunga mkono hoja! Hii kama huyu mtoa hana mchepuko basi hili huwa ndio sababu
 
Mapenzi HUISHA.
Yani ni vile tu tunaamini kwa kuwa tupo muda mrefu basi we must marry.

Mapenzi HUISHA, na HUISHA hasa.

Mtendee hugo kaka haki, usiendelee na hiyo hatua anayofikiri mko wote sawa.

Shida ni kuwa HATUJAKUZWA NA KUFUNDISHWA KUPOKEA REJECTIONS KWENYE MAJUSIANO..

Hapo itakuwa beef, kulia ,kutukanwa, kusemwa umalaya, vurugu, nyumbani nako wasikuelewe kwanini unakataa ndoa.
Basi mradi tafrani.

Mungu awatetee wote wawili.
Huyu nina hakika ana jini mahaba, hili dude huwa lina attack sana wanandoa na wapenzi wanaoishi under one roof bila wao kujua ndio hujikuta nyumba imesambaratika mipango ya ndoa imekufa au ndani ya ndoa panawaka moto hamna amani ni stress tu!

Early signals ndio huwa hivyo.
Kwa KE
-Ghafla hamu ya mpenzi wako kupotea.
-Hisia juu yake kufa kabisa hata kama hana tatizo.
-Ndoto za ajabu kama vile mtu unamuona umelala naye ambaye humjui.
-Ukisex nae unapata maumivu makali hivyo sex nae unakwepa kwepa always.
-Akiwa mbali unam miss ila akiingia ndani tu mjengoni unageuka mbogo, ugomvi na makelele mtindo mmoja.

Kwa Men:
-Kuhisi mke ni kero tu bila sababu.
-Kupoteza nguvu za kiume ghafla,kuna muda una hamu ila ukitaka kumuingilia wife mboo inanywea ghafla bila sababu au inasinyaa baada ya kuchomeka tu!
-Kupoteza nguvu za kiuchumi, mabalaa na mikosi kukuandama ili tu uharibikiwe maisha usiendelee kufurahia uhusiano huo.
-Kuhisi hali flani ya msisimko wa mwili kila uingiapo ndani kwako aidha sebleni au chumbani, hii huashiria mdudu mnaishi nae ndani na hapo ndipo unapopishana nae.
-Hii hali ya kusisimuka pia hujitokeza hata ukienda sehemu yoyote inayofanyika maombi makali ya kidini au hata mkisali na mkeo home! Huashiria mdudu ameshakuvaa.
 
Habari.

Mimi na mpenzi wangu tumekuwa kwenye mahusiano kwa muda wa miaka mitano kama boyfriend na girlfriend (sio uchumba).

Nikiri kwamba tumekuwa na kutokuelewana kama ilivyo kawaida ya mahusiano lakini tupo vizuri kuhakikisha tatizo lolote linatatuliwa kwa wakati na kuhakikisha mawasiliano hayapotei. Pia tumekuwa na nyakati za furaha.

Tatizo lililopo ni kwamba nimepoteza kabisa hisia za kimapenzi kwa huyu mpenzi wangu ambaye tunategemea kupiga hatua mpya ya mahusiano yetu kuelekea kwenye ndoa.

Nikiwa nae sihisi chochote kabisa, ni kama nipo na mtu ambaye ni jinsia yangu, akinigusa sihisi chochote tena hata kwenye suala zima la sex imefika wakati hadi tutumie lubricants au wakati mwingine tuangalie video za wakubwa to get wet (hii aliipendekeza yeye nilikuwa siangalii kabla ya tatizo). Hili tatizo halikuwa mwanzoni, limetokea miezi kadhaa sasa.

Napata wakati mgumu sana ukizingatia tunaelekea kuwa mwili mmoja. Nimejaribu njia mbalimbali za kutatua hili tatizo ikiwa ni pamoja na kushirikisha wataalamu lakini tatizo bado lipo.

Pia nimemshirikisha yeye ila yeye anahisi nitakuwa na tatizo la uke kuwa mkavu, kitu ambacho nina uhakika sina.

Wanajukwaa naombeni ushauri wenu juu ya kutatua tatizo hili.
Kama ni hivyo, ndoa imevunjika hata kabla ya kufungwa mwanangu. Ni bora kuwa mkweli kuliko mnafiki na muongo.
 
Kwa mda mliokaa kwenye mahusiano hill ni suala la kawaida kabsa

Kiufupi hata ungekuwa na hisia nae kabla ya ndoa na baada ya ndoa na kuishi zingepungu tu ....vibes haziwi kama zile za uchumbani

Ndoa ina husisha mambo mengi sio mapenzi tu

Na hilo la kupungua hisia ni kawaida baada ya mazoea na ukienda kwa mwingine zitakuja kupungua after sometimes

Ndo maana ukienda kwa mchepuko una perform sanaa kuliko ndanii ilaa baada ya kumzoea inakuwa kawaida

Fanya kufunga ndoa na jamaa ili muishi mfanye maisha ...hisia zitakata hata utakako kwendaa
 
Do what is the best for the situation... Otherwise utaumia for the rest of ur remaining life....
Just imagine, kuwa unajilazimisha hivyo kila siku
Au imagine, familia ambayo watu ili mkwichi hadi muwashe brazzers...
Chukua hatua
Wanachohitaji hapa ni muda. kukaa mbali kwa muda. ili kuamsha ile tension.
 
Back
Top Bottom