Unashangaa hilo,kwani unaishi dunia gani?Hivi unahabari yupo millioner wetu amefika alipofika kwa kaaazi chafu?Zenye kummomonyoa maadili kwa viwango vya kutisha na hamna aliyestuka?Nimekutana na video moja kwenye mtandao wa Facebook, inaonesha watoto bila shaka ni watoto wa chekechea kwa hakika sidhani kama hii imekaa sawa.
View attachment 3222541
Ni jambo zuri watoto kupata muda wa kufurahi na kujifunza ila sio kucheza mitindo hii tena mbali zaidi kufanya challenge za mitandao ya Facebook na Tiktok.
Binafsi kwangu hii ni BIG NO!
South kaka familia zao kwere baba na mama wote wala machawa na mtoto ndio anaenda kuwanunulia...jamii ya hovyo kabisaDaah hapo wapo vidudu sasa wakifika chuo π’
nikuoe uache kubeti mremboBarcelona wa kushindwa kunitolea goli mbili kweli?
Hahaha ndio ivyoTata Shaka Zulu is not proud π’
ππππππππ Acha na Barcelona kwanza washa kitu Cha skanka tuburudikee na man city vs arsenal timee hii madamBarcelona wa kushindwa kunitolea goli mbili kweli?
Achanq nao hao game ya dunia ipo saa 1 :30 pale londonBarcelona wa kushindwa kunitolea goli mbili kweli?
Tunaishukuru utumishi kutuletea usaili wa waalimu na watu wa afya πBila interview ehh π
Umatetea ni south wewe msouth mbongo je kwenu yapo hayapo?Hii ni SA wakuu sio Tanzania, utamaduni wetu na wao ni tofauti kidogo
yale matokea ya walimu walioshika mkia yaninifikirisha sana kama mtu hujajianda unaenda kufanya nini mtiani, ile kitu inatia doa sana hasa yule alipata sifuriMadhara ya kuajiri walimu bila usaili π