mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Sababu ta ujinga wao,kujifanya wazunfu kumbe ni waafrikaNdo wanaongoza africa na dunia kwa ujumla
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sababu ta ujinga wao,kujifanya wazunfu kumbe ni waafrikaNdo wanaongoza africa na dunia kwa ujumla
Aisee umeongea point sana...Ulinganifu tunaojipa na south ni upi?Ni swala la muda wasouth walisha amka na kuona mwendo sio ili mambo yaende ama kuwadhibiti wavamizi wa fursa zao ama watwawala wao.Sisi tumejikita kushibisha tumbo la chawa mmoja mmoja kwa imani kuwa atawadhibiti wenye njaa na mahitaji na kusahau shida zao.Japo mimi sioni kama ndio dawa .ila dawa ni kuacha ujinga na kufanya yaliyo sahihi na kwa manufaa ya wengi na sii wachache au yale manufaa ya makundi ya twawala.
SA HIYONaamini hii sio bongo