denooJ JF-Expert Member Joined Mar 31, 2020 Posts 18,509 Reaction score 68,228 Jul 26, 2022 #81 Na yule mwingine aliyetuambia hakuna Corona halafu Corona ikamuondoa tumuweke kundi gani?
P pilipili kichaa JF-Expert Member Joined Sep 3, 2013 Posts 18,406 Reaction score 14,643 Jul 26, 2022 #82 Wewe mwenyewe hapa unasema uongo, na kama ungekuwa wazi ungeweka wa viongozi wa CCM kwani wao ndio wamekubuhu kwa uongo kuliko hata yule aliyefukuzwa mbinguni!
Wewe mwenyewe hapa unasema uongo, na kama ungekuwa wazi ungeweka wa viongozi wa CCM kwani wao ndio wamekubuhu kwa uongo kuliko hata yule aliyefukuzwa mbinguni!
Wildchild JF-Expert Member Joined Aug 29, 2018 Posts 19,411 Reaction score 21,938 Jul 26, 2022 #83 Ni Bora mlamba asali anayelamba Kwa kuonja kuliko walanaolamba na kukwiba mzinga a.k.a wanachukua chako mapema ().
Ni Bora mlamba asali anayelamba Kwa kuonja kuliko walanaolamba na kukwiba mzinga a.k.a wanachukua chako mapema ().
JF Member JF-Expert Member Joined Dec 14, 2014 Posts 7,914 Reaction score 10,793 Jul 26, 2022 #84 denooJ said: Na yule mwingine aliyetuambia hakuna Corona halafu Corona ikamuondoa tumuweke kundi gani? Click to expand... Kifo Cha JPM ni fumbo zito. Nakusihi unyamaze. Mungu atalipa mwenyewe.
denooJ said: Na yule mwingine aliyetuambia hakuna Corona halafu Corona ikamuondoa tumuweke kundi gani? Click to expand... Kifo Cha JPM ni fumbo zito. Nakusihi unyamaze. Mungu atalipa mwenyewe.
Jasmoni Tegga JF-Expert Member Joined Oct 28, 2020 Posts 12,624 Reaction score 24,751 Jul 26, 2022 #85 Hivi kuna mlamba-asali zaidi ya huyu nani huyu nani huyu. Hebu nikumbusheni pls
M Matrix19 JF-Expert Member Joined Feb 24, 2020 Posts 7,731 Reaction score 13,611 Dec 24, 2024 #86 Naona tuanze na namba 2 halafu tuje 1 kwanza. 1 imeshindwa kutupa 2 na hatuwezi kuanza na 0.