Tunahitaji Katiba Mpya au upinzani mpya?

Tunahitaji Katiba Mpya au upinzani mpya?

Wewe mwenyewe hapa unasema uongo, na kama ungekuwa wazi ungeweka wa viongozi wa CCM kwani wao ndio wamekubuhu kwa uongo kuliko hata yule aliyefukuzwa mbinguni!
 
Ni Bora mlamba asali anayelamba Kwa kuonja kuliko walanaolamba na kukwiba mzinga a.k.a wanachukua chako mapema ().
 
Hivi kuna mlamba-asali zaidi ya huyu nani huyu nani huyu. Hebu nikumbusheni pls
 
Naona tuanze na namba 2 halafu tuje 1 kwanza.

1 imeshindwa kutupa 2 na hatuwezi kuanza na 0.
 
Back
Top Bottom