Tunahitaji mjadala wa kitaifa kuhusu umri sahihi wa mtu kuitwa kijana

Chadema vijana wengi ni watu wazima lakini bado wanaishi kwa wazazi 🐒
 
Naonaa unapigania ujana mzee wangu.
 
Ungetoa na sababu ili ueleweke

Ujana mwisho 39, 40s ni middle years(umri wa makamo)

Binadamu anaishi miaka 70 kwa wastani kwahiyo 30 ya mwanzo ni ujana, 30 ya mwisho uzee, ile 10 ya kati(ambayo ni 40s) ni umri wa makamo

50+ ni uzee

Kuwa mzee ni vibaya? Sidhani
 
Nimetoa Mkuu Post za nyuma hapo ila ngoja nirudie..
Ukisoma sera ya Afya ya mwaka 2007 (Ndiyi inatumika mpaka sasa)

Kipengele 5.4.8.3 kipengele kidogo (a) Maelezo
Kinasema

"Serikali inatambua kuwepo kwa wananchi wasio na uwezo wa kuchangia gharama za huduma za afya, ikiwa ni pamoja na wale walio katika makundi maalum ya kijamii, mfano wazee (Wazee ni walio na umri zaidi ya miaka 60)........."


Sio maneno yangu ni maneno ya Sera ya Afya..na Serikali
 
Mabro na masister wamegoma kuwa wazee sisi sijui tugome kuwa vijana ..

Basi kuanzia sasa mm ni mtoto wa 17 years..
 
Wewe ukishaona hujimudu , hata kutembea Km2 au kupanda ngazi ghorofa 5 huwezi hata kama una miaka 20 wewe umeshazeeka.Ujana ni kujimudu . Mchezaji wa miaka 25 unakimbizwa na mchezaji wa 38 halafu anakuweka benchi wewe ndio mzee
 
Yaani kwanini uzee uanzie 60 na sio 50, 'serikali imesema' sio sababu ya kueleweka
 
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…