baba-mwajuma
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 4,178
- 7,591
Kijana > mtu wa makamo > MzeeAcha Hizo zako aliyekuambia zaidi ya miaka 45 wazee ni nani?
Au umejitungia sheria yako?
Wazee kuanzia miaka 60 na ndo maaana Serkali inajua na inawastaafisha..
Mimi nina miaka 52 na Bado ni kijana pengine kukuzidi hata wewe..
Ujana mwisho ni miaka 59
18-45 kijana, 45- 55 mtu wa makamo, 55......Mzee45 Mwisho
18-45 ni Kijana
Ukivuka hapo wewe ushakua Mzee
Je unafahamu hata huko CCM kwa miaka yako siyo Kijana? Kwa miaka yako huwezi kugombea nafasi ya uongozi jumuiya ya vijana wa CCM, lakini bado unajiita kijana.Binafsi mimi ni kijana mdogo wa miaka 38 na mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi. Huu uzi umeandikwa na kijana. Pamoja na kujitambulisha ila kama kichwa cha habari kinavyosomeka imefika sehemu kama taifa tunahitaji mjadala kuhusu upi ni umri sahihi wa mtu kuendelea kuitwa kijana tofauti na hali ilivyo kwa sasa. SABABU KUU YA KUULIZA ni kuwa karibu kila sekta utakuta kuna wazee wanaojiita vijana hali inayowanyima fursa wale vijana halisi kiumri. HII HAIKUBALIKI.
Kwa mfano huko CHADEMA utakuta kundi la Heche, Lema, Sugu, Halima Mdee, Hawa Bananga, Mnyika, na Cecilia Pareso nao wanatajwa kama vijana. Tena bila aibu hata wao hujiita viongozi vijana. Sio sawa. CCM utakuta mtu kama Kigwangala, Nchemba, Bashe, Silaa, Ridhiwani, hata Nape kwamba ni wabunge vijana.. inashangaza sana.
Ndugu wanaJF mnadhani ujana hukomea miaka mingapi?
Mwisho 35 hao wote wanaojiita vijana ilhali washavuka hapo, bi kujiognopea tu na kujaribu kujilinganisha na wazee wao ambao bado wapo kwenye mifumo thats why wanajiona vijanaBinafsi mimi ni kijana mdogo wa miaka 38 na mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi. Huu uzi umeandikwa na kijana. Pamoja na kujitambulisha ila kama kichwa cha habari kinavyosomeka imefika sehemu kama taifa tunahitaji mjadala kuhusu upi ni umri sahihi wa mtu kuendelea kuitwa kijana tofauti na hali ilivyo kwa sasa. SABABU KUU YA KUULIZA ni kuwa karibu kila sekta utakuta kuna wazee wanaojiita vijana hali inayowanyima fursa wale vijana halisi kiumri. HII HAIKUBALIKI.
Kwa mfano huko CHADEMA utakuta kundi la Heche, Lema, Sugu, Halima Mdee, Hawa Bananga, Mnyika, na Cecilia Pareso nao wanatajwa kama vijana. Tena bila aibu hata wao hujiita viongozi vijana. Sio sawa. CCM utakuta mtu kama Kigwangala, Nchemba, Bashe, Silaa, Ridhiwani, hata Nape kwamba ni wabunge vijana.. inashangaza sana.
Ndugu wanaJF mnadhani ujana hukomea miaka mingapi?
Kwa maelezo ya hiyo makala, uzee tz utaanzia kwenye 50sKuna Tafiti nyingi sana ila kwa tafiti kadhaa nitaanza na BBC kasome..
Hiyo sera haiongelei watu wenye miaka zaidi ya 36 kwani sio vijana Kwa mujibu wa hiyo sera.Enhee..Na kwa mujibu wa hiyo sera kuanzia mwenye miaka 36 tunamuitaje?
Uzee Tz nimekuonyesha mkuu kwa Mujibu wa Serikali unaanzia Miaka 60sKwa maelezo ya hiyo makala, uzee tz utaanzia kwenye 50s
View attachment 2892193
Huyo ni mgonjwa ana maradhi! Sio mzee!Wewe ukishaona hujimudu , hata kutembea Km2 au kupanda ngazi ghorofa 5 huwezi hata kama una miaka 20 wewe umeshazeeka.Ujana ni kujimudu . Mchezaji wa miaka 25 unakimbizwa na mchezaji wa 38 halafu anakuweka benchi wewe ndio mzee
Tofautisha kujimudu (FITNESS ) na ugonjwa. Mpira ni dakika 90 halafu dakika 45 timu hoi, huwezi kusema wachezaji ni wagonjwa ila FITNESS level ipo chini. Ndio unakuta mchezaji wa 38 yupo vizuri uwanjani kuliko yule anayeitwa kijana mwenye miaka 23.Huyo ni mgonjwa ana maradhi! Sio mzee!
Kama nani anayeishi kwa wazazi?Chadema vijana wengi ni watu wazima lakini bado wanaishi kwa wazazi 🐒
utasababisha vita ya mitusi na kuharibu mjadala.Kama nani anayeishi kwa wazazi?
KweliJe unafahamu hata huko CCM kwa miaka yako siyo Kijana? Kwa miaka yako huwezi kugombea nafasi ya uongozi jumuiya ya vijana wa CCM, lakini bado unajiita kijana.
Miaka kuanzia 36 ni mzee? You can't be serious mkuu.Dunia nzima kijana mwisho 35
Binafsi mimi ni kijana mdogo wa miaka 38 na mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi. Huu uzi umeandikwa na kijana. Pamoja na kujitambulisha ila kama kichwa cha habari kinavyosomeka imefika sehemu kama taifa tunahitaji mjadala kuhusu upi ni umri sahihi wa mtu kuendelea kuitwa kijana tofauti na hali ilivyo kwa sasa. SABABU KUU YA KUULIZA ni kuwa karibu kila sekta utakuta kuna wazee wanaojiita vijana hali inayowanyima fursa wale vijana halisi kiumri. HII HAIKUBALIKI.
Kwa mfano huko CHADEMA utakuta kundi la Heche, Lema, Sugu, Halima Mdee, Hawa Bananga, Mnyika, na Cecilia Pareso nao wanatajwa kama vijana. Tena bila aibu hata wao hujiita viongozi vijana. Sio sawa. CCM utakuta mtu kama Kigwangala, Nchemba, Bashe, Silaa, Ridhiwani, hata Nape kwamba ni wabunge vijana.. inashangaza sana.
Ndugu wanaJF mnadhani ujana hukomea miaka mingapi?
Kawaida,miaka 0-17 ni mtoto.
18-45 ni kijana.
46-60 ni mzee wa makamo.
60-80 ni mzee.
81+ ni kokongwe.
Kwa upande wa wanaume lakini.
Kuhusu wanawake subiri hangover iniishe Kwanza,maana nipo Baa hapa kwenye ulabu.