Tunaitakia Yanga kipigo kizito toka kwa USM Alger

Tunaitakia Yanga kipigo kizito toka kwa USM Alger

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001


Mimi na wenzangu tunaitakia USM Alger ushindi mzito wa kuanzia goli 3. Hawa Utopolo wakipigwa hata 6 tutafurahi zaidi. Wapigwe mpaka wasahau kama wamefika fainali. Kiwe ni kipigo cha aibu kuu itakayodumu miaka mitano.

Wapigwe magoli ya chenga za maudhi kama ya Chama au mishuti mama mkanye mwanao kama Kibu Denga.

Hata USM Alger wana Mungu, acheni kujimilikisha Mungu. Mungu ibariki USM Alger
 
Back
Top Bottom