Ndenji five
JF-Expert Member
- Nov 1, 2021
- 1,985
- 3,109
Wacha waongee shauli zao maneno hayavunji mfupaa shaul zao...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
View attachment 2641090
Mimi na wenzangu tunaitakia USM Alger ushindi mzito wa kuanzia goli 3. Hawa Utopolo wakipigwa hata 6 tutafurahi zaidi. Wapigwe mpaka wasahau kama wamefika fainali. Kiwe ni kipigo cha aibu kuu itakayodumu miaka mitano.
Wapigwe magoli ya chenga za maudhi kama ya Chama au mishuti mama mkanye mwanao kama Kibu Denga.
Hata USM Alger wana Mungu, acheni kujimilikisha Mungu. Mungu ibariki USM Alger
mmm chungu umepigwa 2:1
Watu wote na tuseme Amen🙏🏾View attachment 2641090
Mimi na wenzangu tunaitakia USM Alger ushindi mzito wa kuanzia goli 3. Hawa Utopolo wakipigwa hata 6 tutafurahi zaidi. Wapigwe mpaka wasahau kama wamefika fainali. Kiwe ni kipigo cha aibu kuu itakayodumu miaka mitano.
Wapigwe magoli ya chenga za maudhi kama ya Chama au mishuti mama mkanye mwanao kama Kibu Denga.
Hata USM Alger wana Mungu, acheni kujimilikisha Mungu. Mungu ibariki USM Alger
Kwahiyo sisi ni waarabu weusi, 😃😃😃😃 mkuu unatukosea Sana sisi waarabu wa Zanzibar.Hawa waarabu weusi bana huwa wanajiona ni waja wa mekka na madina 😁😁😁
Hutaki dada yako apate mme?View attachment 2641373
Upo sawa,mjadala ulishaisha
wataje hao wachezaji na takwimu zaoUnaambiwa USMA waliacha wachezaji 3 hatariiii
Hiki huwa ni kitendo cha ushindi sanaView attachment 2641583
Usm Alger na young African. [emoji15][emoji50][emoji119]
Ni mara chache sana kuona maskin anamuombea heri tajiri. Ila MUNGU ni WA ajabu na wapekee sana. Wanayanga wenzangu kazi iwe ni kuomba Dua njema Kwa ajili ya mechi iliyobaki, tutayajibu badaye.View attachment 2641090
Mimi na wenzangu tunaitakia USM Alger ushindi mzito wa kuanzia goli 3. Hawa Utopolo wakipigwa hata 6 tutafurahi zaidi. Wapigwe mpaka wasahau kama wamefika fainali. Kiwe ni kipigo cha aibu kuu itakayodumu miaka mitano.
Wapigwe magoli ya chenga za maudhi kama ya Chama au mishuti mama mkanye mwanao kama Kibu Denga.
Hata USM Alger wana Mungu, acheni kujimilikisha Mungu. Mungu ibariki USM Alger
Wewe ule uzi wa hapa kwa Mkapa tunawapiga 3-1 hukuukimbia juzi baada ya akina Ibrahim Benzaza kuwaaibisheni?Huu uzi nao utaukimbia kama ule watakwimu[emoji3578][emoji3578]
Na this time around tunawatumia mvua ya mawe ya uzani wa ratili kadhaa.View attachment 2641090
Mimi na wenzangu tunaitakia USM Alger ushindi mzito wa kuanzia goli 3. Hawa Utopolo wakipigwa hata 6 tutafurahi zaidi. Wapigwe mpaka wasahau kama wamefika fainali. Kiwe ni kipigo cha aibu kuu itakayodumu miaka mitano.
Wapigwe magoli ya chenga za maudhi kama ya Chama au mishuti mama mkanye mwanao kama Kibu Denga.
Hata USM Alger wana Mungu, acheni kujimilikisha Mungu. Mungu ibariki USM Alger