Tunaitakia Yanga kipigo kizito toka kwa USM Alger

Tunaitakia Yanga kipigo kizito toka kwa USM Alger

View attachment 2641090

Mimi na wenzangu tunaitakia USM Alger ushindi mzito wa kuanzia goli 3. Hawa Utopolo wakipigwa hata 6 tutafurahi zaidi. Wapigwe mpaka wasahau kama wamefika fainali. Kiwe ni kipigo cha aibu kuu itakayodumu miaka mitano.

Wapigwe magoli ya chenga za maudhi kama ya Chama au mishuti mama mkanye mwanao kama Kibu Denga.

Hata USM Alger wana Mungu, acheni kujimilikisha Mungu. Mungu ibariki USM Alger

Alafu sasa hawataki kukubali wamefungwa na watafungwa huko waendako...... eti wanasema aucho hakuwepo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa sijui uko atakuwepo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tujuane timu Algers[emoji1364]
 
.
FB_IMG_16855123723541634.jpg
 
View attachment 2641090

Mimi na wenzangu tunaitakia USM Alger ushindi mzito wa kuanzia goli 3. Hawa Utopolo wakipigwa hata 6 tutafurahi zaidi. Wapigwe mpaka wasahau kama wamefika fainali. Kiwe ni kipigo cha aibu kuu itakayodumu miaka mitano.

Wapigwe magoli ya chenga za maudhi kama ya Chama au mishuti mama mkanye mwanao kama Kibu Denga.

Hata USM Alger wana Mungu, acheni kujimilikisha Mungu. Mungu ibariki USM Alger
Watu wote na tuseme Amen🙏🏾
 
Hawa waarabu weusi bana huwa wanajiona ni waja wa mekka na madina 😁😁😁
Kwahiyo sisi ni waarabu weusi, 😃😃😃😃 mkuu unatukosea Sana sisi waarabu wa Zanzibar.
 
View attachment 2641090

Mimi na wenzangu tunaitakia USM Alger ushindi mzito wa kuanzia goli 3. Hawa Utopolo wakipigwa hata 6 tutafurahi zaidi. Wapigwe mpaka wasahau kama wamefika fainali. Kiwe ni kipigo cha aibu kuu itakayodumu miaka mitano.

Wapigwe magoli ya chenga za maudhi kama ya Chama au mishuti mama mkanye mwanao kama Kibu Denga.

Hata USM Alger wana Mungu, acheni kujimilikisha Mungu. Mungu ibariki USM Alger
Ni mara chache sana kuona maskin anamuombea heri tajiri. Ila MUNGU ni WA ajabu na wapekee sana. Wanayanga wenzangu kazi iwe ni kuomba Dua njema Kwa ajili ya mechi iliyobaki, tutayajibu badaye.
 
View attachment 2641090

Mimi na wenzangu tunaitakia USM Alger ushindi mzito wa kuanzia goli 3. Hawa Utopolo wakipigwa hata 6 tutafurahi zaidi. Wapigwe mpaka wasahau kama wamefika fainali. Kiwe ni kipigo cha aibu kuu itakayodumu miaka mitano.

Wapigwe magoli ya chenga za maudhi kama ya Chama au mishuti mama mkanye mwanao kama Kibu Denga.

Hata USM Alger wana Mungu, acheni kujimilikisha Mungu. Mungu ibariki USM Alger
Na this time around tunawatumia mvua ya mawe ya uzani wa ratili kadhaa.
 
Back
Top Bottom