SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Mzigo huu hapa unatoka Tripoli Libya kwenda Algiers Algeria kwa kazi maalum this week end.Na this time around tunawatumia mvua ya mawe ya uzani wa ratili kadhaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzigo huu hapa unatoka Tripoli Libya kwenda Algiers Algeria kwa kazi maalum this week end.Na this time around tunawatumia mvua ya mawe ya uzani wa ratili kadhaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] chumbani kwa mwenzio ndo unagongwa zaidiiUzuri wa chumbani mtu yoyote anagongwa tu[emoji28], Haijalishi wewe ndio mwenye chumba au Lah!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahMzigo huu hapa unatoka Tripoli Libya kwenda Algiers Algeria kwa kazi maalum this week end.View attachment 2642527
Si jambo la ajabu wachawi kuchukia mafanikio ya wenzao..!!!View attachment 2641090
Mimi na wenzangu tunaitakia USM Alger ushindi mzito wa kuanzia goli 3. Hawa Utopolo wakipigwa hata 6 tutafurahi zaidi. Wapigwe mpaka wasahau kama wamefika fainali. Kiwe ni kipigo cha aibu kuu itakayodumu miaka mitano.
Wapigwe magoli ya chenga za maudhi kama ya Chama au mishuti mama mkanye mwanao kama Kibu Denga.
Hata USM Alger wana Mungu, acheni kujimilikisha Mungu. Mungu ibariki USM Alger
Ni kweli CAF wamefuta goli la US ALGER kwa juwa ni la off side?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nachekaa km mwehuu.Ibrahim Benzaza koroga mwiko wao kule nyuma wanuke kinyesi.