OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Maiti mtasafirisha au mtazika hukohuko?Huu uzi nao utaukimbia kama ule watakwimu[emoji3578][emoji3578]
second round lniMaiti mtasafirisha au mtazika hukohuko?
Maiti nikombe natunakuja nalo ili makolo mpate picha yapamoja nakombe la CAFMaiti mtasafirisha au mtazika hukohuko?
Kuna goli Gani la offside lilifungwa Dar es salaam.Ni kweli CAF wamefuta goli la US ALGER kwa juwa ni la off side?
Safari hii zamu yako kukimbiaTatizo lako unazikimbiaga hizi nyuzi zako....andazi wewe
Nimeona kwenye kamtandao fulani hata mimi ndio nimeshtuka mkuu. Nikaona nipate uhakika huku[emoji16]Kuna goli Gani la offside lilifungwa Dar es salaam.
WATU WAMEFUNGA MAGOLi kama ya chama unasema offside!!
SHAME
Hivi magoli huwa yanafutwa mechi ikishapita? Kina Maradona walisukumia mpira na mkono golini.Nimeona kwenye kamtandao fulani hata mimi ndio nimeshtuka mkuu. Nikaona nipate uhakika huku[emoji16]
tunawakimbiaje wakati tumewazidi kila kitu kimafanikio msimu huu,ni shabiki mpumbavu atakaayemkimbia SHABIKI WA KOLO FCSafari hii zamu yako kukimbia
Na Mayahudi weusi hua wanajiona kama vile wanaishi katikati ya mji wa Tel aviv au Jerusalem.Hawa waarabu weusi bana huwa wanajiona ni waja wa mekka na madina πππ