Tunajifunza nini kutokana na kitendo cha Raila Odinga kumpokea Rais Uhuru Kenyatta mjini Kisumu katika ziara ya kiserikali?

Tusikubali kugombana kwa ajili ya itikadi za kisiasa kwani muda wowote wanasiasa wanaweza kupatana wao huku wakituacha sisi na mgawanyiko na uhasama miongoni mwetu raia wa kawaida.
 
Chama kilicho lrta uhuru kulikuwa siku nyingi Uhuru anawakilisha jubilee, muungano wa vyama
Baada ya hiko chama kufa watu waliobeba ideology ya kutokea hiko chama ndiyo wameunda Jubilee. Old wine in a new bottle.
 
Upinzani si uadui, mnaweza kuwa wapinzani lakini bado mnaweka mbele maslahi ya Nchi, kukaa meza moja, kujadiliana kustaarabu kutojenga chuki na uhasama wa hali ya juu hadi kufikia kutaka kutoana roho.
Ishu hapa kwetu chama tawala ndio kinalazimisha kufanya upinzani uwe uadui
 
Wakenya wanamuita odinga mr hand cheque, yani akili zake hazina tofauti na mwita waitala
 
Upinzani si uadui, mnaweza kuwa wapinzani lakini bado mnaweka mbele maslahi ya Nchi, kukaa meza moja, kujadiliana kustaarabu kutojenga chuki na uhasama wa hali ya juu hadi kufikia kutaka kutoana roho.
Mzee BAK mwanzo nilikuwa nakupinga sana mpaka inafikia tulikuwa tunatoleana mapovu ila kwa sasa nisamehe.Nimegundua nilipotea njia nilimuamini sana nikahisi kaja kuikomboa Tz kumbe kaja kutumaliza.Sorry my fellow jf member.
 
msela wa manzese bora hao wanajua kucheza na akili za wananchi wao huku mambo yao yanaenda kuliko sisi hawajui kuchezea hizo akili zetu..kama upinzani na wao wakiwekewa mazngira mazuri yasiyokandamizi hata sisi vitu kama hivyo vitakuwa kawaida kuviona huku kwetu
 
Kuna mtu anaijua ikulu na kuna mtu hataki kujifunza namna ya kuishi ikulu ndo mana ushamba unaongoza utendaji kazi wake wa kila cku
 
Enzi hizo nasoma nilikuwa naomba tupate rais ambaye atakuwa na misimamo mikali atoke chama tawala ama upinzani ili nchi iendelee! maana ilifikia pahala rais anatekenywa na watu anacheka cheka tu!

Japo mi mwenyewe naumia lkn nimefurahi kwa kumpata jiwe hataki upuuzi upuzi ivi najua mazuri yanakuja Mungu kajibu maombi yangu. Bila kuwa na mtu kamajiwe nchi huwa haiendi badala yake kuna watu wanakuwa na nguvu kuliko mwenye nchi hii ni aibu kabisa yaani baba mwenye nyumba unatishwa na mpangaji? how comes?

Jiwe piga kazi mpka watakapo nyooka na kujua nchi inaendaje!
 
Muafaka wa kisiasa, Uhuru na Raila sawa na Karume na Maalim. Viongozi waliokulia ikulu accommodating.
 
Kwanini usimshauri Mbowe awache kuwa kichwa maji uchaguzi ulishakwisha aondoe tofauti!
Na wewe Mkuu Kipara kipya, hebu jaribu kumshauri Mwenyekiti wako, why kila tunapojaribu kumvisha nguo yeye anazichojoa??
 
Tusikubali kugombana kwa ajili ya itikadi za kisiasa kwani muda wowote wanasiasa wanaweza kupatana wao huku wakituacha sisi na mgawanyiko na uhasama miongoni mwetu raia wa kawaida.
That's very correct by 100 percent

Lakini usitegemee hilo.litokee kwa Jiwe!
 
Hebu tuanze na hapo, hivi Mbowe ana kesi ya jinai au ya kisiasa??

Hebu niulize swali la pili, hivi yule askari aliyefyatua "kizembe," zile risasi zilizomwua yule msichana aliyekuwa kwenye daladala, Akwilina Akwiline, ni kwanini hajapanfoshwa kizimbani kujibu mashitaka yake??

Swali la tatu, hivi yule Mkurugenzi wa Kinondoni aliyesababisha yote haya, kwa kuamua tu kwa makusudi "kuvikalia" viapo vya mawakala wa Chadema, wakati tayari alishawapa wenzao wa CCM, ni kwanini hapandishwi kizimbani kujibu mashitaka ya kusababisha kifo cha Akwilina Akwiline??
 
Simpendi kabisa Magufuli. Na kila siku namuombea mabaya. Kwani bomoaboa za nyumba nami imenigusa

Unamuombea kwa Shetani ama? Maana mabaya yote hutoka kwa Mwovu ibilisi, na kama ulijenga nyumba kwenye Hifadhi ya barabara ulitaka afanyaje?
Mwisho wa siku ni Dua la kuku halimpati mwewe,
 
Kuna siku moja Simba na Yanga wataungana na kuwa timu moja japokuwa sio maadui . Just thinking tu.
ALAFU LIGI IFE, yani sizonje sijui huwa anwaza nini, au labda kwakuwa analala na mafaili kitandani, tumuombee kwa Yesu
 
Hakuna neno Mkuu nilikuwa nakusoma na nikawa nashangaa kidogo na kudhani wamekuibia password yako. Karibu kwenye upande wa kutetea maslahi ya Watanzania, haki na uhuru wa kujiamulia kile tukitakacho kwa faida ya Nchi yetu na vizazi vijavyo bila woga wala vitisho.

Mzee BAK mwanzo nilikuwa nakupinga sana mpaka inafikia tulikuwa tunatoleana mapovu ila kwa sasa nisamehe.Nimegundua nilipotea njia nilimuamini sana nikahisi kaja kuikomboa Tz kumbe kaja kutumaliza.Sorry my fellow jf member.
 
Asante sana.
 
Reactions: BAK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…