Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,219
- 4,608
Lema kazini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenikumbusha 1986, ni mwaka nilio hitimu elimu ya msingi.Anatusimuli maggid
Bongo Hapo Zamani… Na Sasa…
Picha ya kwanza niliipiga mwaka 1986. Ya pili ni ya leo, 2023. Kituo ni hicho hicho, Posta ya Zamani, na miti ya mikungu ingalipo. Lakini, mazingira yamebadilika.
Maggid
PS:
Hizo zilikuwa zama za usafiri wa chai-maharage. Tangu zama hizo, nikiwa mdogo sana, nilitamani sana kupiga picha na kuzihifadhi zije kuwa kumbukumbu. Napenda sana historia.
Naam, tuliopanda chai-maharage tutambuane.
View attachment 2664549View attachment 2664550
Angekuwepo Mayele wangeshindaView attachment 2664552
👉🏾Ukiacha ile Yanga ya kampa kampa tena Yanga (2016) kuna ile Yanga ya 2014 yanga ya kina Cannavaro Didi, Yondani, Ngassa, Msuva, Okwi, Chuji, kiiza, Domayo , Twite Joshua, Bahanuzi kavumbagu na wengine.
Hongera sanaUmenikumbusha 1986, ni mwaka nilio hitimu elimu ya msingi.