Anatusimuli
maggid
Bongo Hapo Zamani… Na Sasa…
Picha ya kwanza niliipiga mwaka 1986. Ya pili ni ya leo, 2023. Kituo ni hicho hicho, Posta ya Zamani, na miti ya mikungu ingalipo. Lakini, mazingira yamebadilika.
Maggid
PS:
Hizo zilikuwa zama za usafiri wa chai-maharage. Tangu zama hizo, nikiwa mdogo sana, nilitamani sana kupiga picha na kuzihifadhi zije kuwa kumbukumbu. Napenda sana historia.
Naam, tuliopanda chai-maharage tutambuane.
View attachment 2664549View attachment 2664550