Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 10,448
- 8,705
How you dare to speak that our commander-in- chief is incapable....how how?!!!!
This is an utter non-sense.....
Kisingizio kisicho na mshiko, vyama vya upinzani siyo Lissu na watanzania siyo Lissu. Zuio la mikutano ya vyama vya upinzani na kuwalazimisha watanzania kuisikiliza CCM pekee kunawanyima watanzania haki ya demokrasia, bahati mbaya viongozi wa CCM wanadhani demokrasia ni vyama vya upinzani tu!Ilikuwa Tarehe 13/4/2021 Lissu alikutana na Joseph na kuomba Connection ya Kuongea na Katibu mkuu apate kuwasiliana na Rais kwakuwa kulikuwa na nia ya Samia kuongea na Vyama vya Upinzani, na bado niwe wazi Leo ntafunguka bila kuegemea upande, Samia naye aliona si vema kukutana na vyama vya Upinzani vya Akina Cheyo bali aliilenga Chadema kwakuwa alitambua kabisa uchaguzi wa mwaka 2020 kulifanyika maigizo ya hali ya hatari sana kuyatangaza matokeo,
Pamoja na kwamba Chadema walikuwa wamesha surrender kwa Magufuli ambaye katangulia mbele ya haki sasa , ndani ya Serikali na CCM Kuna watu bado wana mawazo chanya waliona itakuwa si vema kuongoza nchi bila maridhiano,
Mzee Warioba, akiwa na wenzake wanne walikutana na wazee wa CCM na kuomba kwamba hawafurahii kuona watanzania wenzao wako nje ya nchi Kama wakimbizi hivyo Kesi zote zifutwe za uhaini na uchochezi warejee nchini mara moja! Maana orodha inaonesha wanaopaswa kufungwa ni 22 na waliwekewa mitego Mpakani na viwanja vyote vya ndege!!
Samia alisikiliza ushauri wa wazee na kukubali juu ya Suala la kukutana na Upinzani, bwana LISSU alivyo jua hayo kutoka Kwa Rwehumbiza Acting reprentative akawa ame omba sasa kuongea na Samia Kwanza yeye Kama yeye, Samia akakubali kabisa, kilichofuata Lissu akatumiwa mwakilishi kukutana naye akamkwepa (Rutabanzibwa) .
Akapigiwa Simu na Rais mwenyewe akasema anipigie Kwa kufuata Utaratibu Mungeniandaa Mapema juu ya kuongea naye sikurupuki kuongea naye! Wakamuuliza lini akasema, akapigiwa tena hakupokea Simu.
Huku akiendelea na Mazungumzo na wenzake kuwa Samia Hana Uwezo wa Kuongoza nchi, She is not in capacity of being a President of Tz na Wanaojadiliana naye wanavujisha Siri na Sauti Pia,
Ndipo Sasa hawa Kina SIRRO, na Mchengerwa wakamwambia Samia kuwa hawa wanakuchezea kwakuwa wewe ni mwanamke! Kwa Magufuli wasingefanya haya!! Hivyo basi acha kesi ziendelee kawaida kama ambavyo zimeshakuwa drafted awali, waende wenyewe Kujitetea wakikutwa na hatia wawajibike, wakikutwa hawana hatia basi waendelee na shughuli zao!!
Ndo yakaendelea ya Mbowe kuwekwa ndani,
Kwanza Samia angeongea nao ingeleta picha Tofauti sana!!
Wito wangu , Tunatakiwa Kupata Taasisi zilizo imara ambazo hazitegemei Rais anaamua nini bali sheria na KATIBA inasema nini, Kwakuwa scenario nzima inaonesha kuwa Kesi zimekuwa drafted kwa tamko la Magufuli Kwa sababu kadhaa bila ushahidi, alafu wanaotaka zifutwe bado wanaweka matumaini zifutwe na Samia bila kufuata Sheria inasema nini!!!!
KATIBA MPYA NDO DAWA!!
Britanicca
Ulizaliwa lini? Ni kipindi gani tangu mageuzi ya kisiasa yaruhusu mfumo wa vyama vingi 1992 aliwahi kutokea mwana-CCM aliyewahitaji wapinzani?Mama Samia anawahitaji wapinzani hasa CDM kuliko tunavyodhani, huwezi kutawala kwa raha huku makundi mengine yanasonokena, inakuuma mno mno kama Mkuu wa nchi. Hivi unafikiri maza anafurahia kuwaona wana CDM wanakimbizwa kila kukicha na mapolice na wengine magelezani kwa kesi za kisiasa? Naye ana roho na ana imani yake.
Yeye afanye tu utaratibu wa kisheria akutane nao awasikilize - yanawezakana yatatuliwe mengine wawekeane timeframe. Haya madaraka na haya maisha huwa yanapita tu ndugu zangu, kwani yeye Maza alidhani atakuwa Rais wa Tanzania miezi 7 iliyopita? mmeona eee - haya tupendane kwani sisi wote ni waja wake yeye mmoja tu aliye juu - yaani Mola wetu.
CCM hebu wekeni wepesi bac maana nasikia nyie ndiyo wasilibaji wakuu ili Maza asiongee na wapinzani...ndiyo !!
Ni wazi kuwa utawala bora uliishawashinda na mnauogopa.Mama Samia Raisi wetu mpendwa mm nakuomba Uvae tu VIATU vya Marehemu hata kama vitakupwaya hawa watu ni PUNDA hawendi mpaka kwa bakora ,waswahili chakula cha simba tu ,huna wema wowote utaofanya wasikuseme kwa ubaya watie adabu sana ili wanyoeke.
Mkiambiwa Lissu ni ziro brain mnabishaCCM ni wanyama ila kuna wakati hata upinzani kuna mambo unashangaa imekuaje anasema huyu ....Lissu anaongea mno mno na kibaya zaidi anajua kila kitu.
Mbona wewe hujaumizwa ???Nyie ni watu hovyo kabisa. Watu wanaoumizwa ndio mnawalaumu?
Mnaua biashara za watu ili wawapigie magoti?
Akili ya hovyo kabisa hii.
Ulizaliwa lini? Ni kipindi gani tangu mageuzi ya kisiasa yaruhusu mfumo wa vyama vingi 1992 aliwahi kutokea mwana-CCM aliyewahitaji wapinzani?
Rais akisema uwe shoga utakuwa? Be specific wakati mnatoa hoja zenu. Watanzania sio wajingaMbona wewe hujaumizwa ???
Mimi mtu akiumizwa kama Akwilini au Azory Gwanda nitamtetea.
Lakini wewe kama Rais anasema jambo fulani halitakiwi halafu wewe ukasema hapana, atake asitake utafanya maana yake uko tayari kwa vita na mapambano.
Sasa ukiingia vitani tena kupigania tumbo lako, ukapigwa unategemea mimi nianze kuhuzunikia mtu mpumbavu.
Nimesoma alichoandika,nimegundua vitu viwili:CCM ni wanyama ila kuna wakati hata upinzani kuna mambo unashangaa imekuaje anasema huyu ....Lissu anaongea mno mno na kibaya zaidi anajua kila kitu.
Zungumza agenda wewe mende. Achana na stori za wala mirungi.Rais akisema uwe shoga utakuwa? Be specific wakati mnatoa hoja zenu. Watanzania sio wajinga
Kumbe lengo hii Mada ni kumtukana mheshimiwa, Lissu..?! Nimeelewa sasaNdugu Tundu Lissu ni "bwakubwaku".....
"Too much know" asiye na ulimi wa nidhamu wala heshima.....
Si kila MTANZANIA anaihitaji katiba mpya.....
Umeandika nini hiki wewe...?Ilikuwa Tarehe 13/4/2021 Lissu alikutana na Joseph na kuomba Connection ya Kuongea na Katibu mkuu apate kuwasiliana na Rais kwakuwa kulikuwa na nia ya Samia kuongea na Vyama vya Upinzani, na bado niwe wazi Leo ntafunguka bila kuegemea upande, Samia naye aliona si vema kukutana na vyama vya Upinzani vya Akina Cheyo bali aliilenga Chadema kwakuwa alitambua kabisa uchaguzi wa mwaka 2020 kulifanyika maigizo ya hali ya hatari sana kuyatangaza matokeo,
Pamoja na kwamba Chadema walikuwa wamesha surrender kwa Magufuli ambaye katangulia mbele ya haki sasa , ndani ya Serikali na CCM Kuna watu bado wana mawazo chanya waliona itakuwa si vema kuongoza nchi bila maridhiano,
Mzee Warioba, akiwa na wenzake wanne walikutana na wazee wa CCM na kuomba kwamba hawafurahii kuona watanzania wenzao wako nje ya nchi Kama wakimbizi hivyo Kesi zote zifutwe za uhaini na uchochezi warejee nchini mara moja! Maana orodha inaonesha wanaopaswa kufungwa ni 22 na waliwekewa mitego Mpakani na viwanja vyote vya ndege!!
Samia alisikiliza ushauri wa wazee na kukubali juu ya Suala la kukutana na Upinzani, bwana LISSU alivyo jua hayo kutoka Kwa Rwehumbiza Acting reprentative akawa ame omba sasa kuongea na Samia Kwanza yeye Kama yeye, Samia akakubali kabisa, kilichofuata Lissu akatumiwa mwakilishi kukutana naye akamkwepa (Rutabanzibwa) .
Akapigiwa Simu na Rais mwenyewe akasema anipigie Kwa kufuata Utaratibu Mungeniandaa Mapema juu ya kuongea naye sikurupuki kuongea naye! Wakamuuliza lini akasema, akapigiwa tena hakupokea Simu.
Huku akiendelea na Mazungumzo na wenzake kuwa Samia Hana Uwezo wa Kuongoza nchi, She is not in capacity of being a President of Tz na Wanaojadiliana naye wanavujisha Siri na Sauti Pia,
Ndipo Sasa hawa Kina SIRRO, na Mchengerwa wakamwambia Samia kuwa hawa wanakuchezea kwakuwa wewe ni mwanamke! Kwa Magufuli wasingefanya haya!! Hivyo basi acha kesi ziendelee kawaida kama ambavyo zimeshakuwa drafted awali, waende wenyewe Kujitetea wakikutwa na hatia wawajibike, wakikutwa hawana hatia basi waendelee na shughuli zao!!
Ndo yakaendelea ya Mbowe kuwekwa ndani,
Kwanza Samia angeongea nao ingeleta picha Tofauti sana!!
Wito wangu , Tunatakiwa Kupata Taasisi zilizo imara ambazo hazitegemei Rais anaamua nini bali sheria na KATIBA inasema nini, Kwakuwa scenario nzima inaonesha kuwa Kesi zimekuwa drafted kwa tamko la Magufuli Kwa sababu kadhaa bila ushahidi, alafu wanaotaka zifutwe bado wanaweka matumaini zifutwe na Samia bila kufuata Sheria inasema nini!!!!
KATIBA MPYA NDO DAWA!!
Britanicca
Niko kwenye ajenda yako uliyosema rais akisema basi inatakiwa kufanywa. Ndio nikakuuliza akikuambia ufanye yale ambayo ni kinyume na msimamo wako utafanya kwa sababu rais kasema? Hii sio nchi ya kifalme kaka yangu.Zungumza agenda wewe mende. Achana na stori za wala mirungi.
Mke Mwenza wa Michenzani ningeshangaa nisingekuona hapa ..Who is Tundu Lissu to say our president is incapable?!!
Who is he by the way?!!!
Deluded chap?
Psychopath?!!!
How would one treat this guy nicely while he got bad tough.....
It is havoc......
SIEMPRE URT!
Waramba ramba SHOMBO la Feri, msione kila mtu anaweza ramba ramba kama Mafisi nyie. Lissu kiboko ya MaCCM.Ndugu Tundu Lissu ni "bwakubwaku".....
"Too much know" asiye na ulimi wa nidhamu wala heshima.....
Si kila MTANZANIA anaihitaji katiba mpya.....