Tunajua Mengi tunanyamaza, Lissu kudharau Mamlaka ya Ikulu kumefanya kufifisha juhudi zilizopangwa na Rais Samia kuleta maridhiano

Tunajua Mengi tunanyamaza, Lissu kudharau Mamlaka ya Ikulu kumefanya kufifisha juhudi zilizopangwa na Rais Samia kuleta maridhiano

Ilikuwa Tarehe 13/4/2021 Lissu alikutana na Joseph na kuomba Connection ya Kuongea na Katibu mkuu apate kuwasiliana na Rais kwakuwa kulikuwa na nia ya Samia kuongea na Vyama vya Upinzani, na bado niwe wazi Leo ntafunguka bila kuegemea upande, Samia naye aliona si vema kukutana na vyama vya Upinzani vya Akina Cheyo bali aliilenga Chadema kwakuwa alitambua kabisa uchaguzi wa mwaka 2020 kulifanyika maigizo ya hali ya hatari sana kuyatangaza matokeo,

Pamoja na kwamba Chadema walikuwa wamesha surrender kwa Magufuli ambaye katangulia mbele ya haki sasa , ndani ya Serikali na CCM Kuna watu bado wana mawazo chanya waliona itakuwa si vema kuongoza nchi bila maridhiano,

Mzee Warioba, akiwa na wenzake wanne walikutana na wazee wa CCM na kuomba kwamba hawafurahii kuona watanzania wenzao wako nje ya nchi Kama wakimbizi hivyo Kesi zote zifutwe za uhaini na uchochezi warejee nchini mara moja! Maana orodha inaonesha wanaopaswa kufungwa ni 22 na waliwekewa mitego Mpakani na viwanja vyote vya ndege!!

Samia alisikiliza ushauri wa wazee na kukubali juu ya Suala la kukutana na Upinzani, bwana LISSU alivyo jua hayo kutoka Kwa Rwehumbiza Acting reprentative akawa ame omba sasa kuongea na Samia Kwanza yeye Kama yeye, Samia akakubali kabisa, kilichofuata Lissu akatumiwa mwakilishi kukutana naye akamkwepa (Rutabanzibwa) .

Akapigiwa Simu na Rais mwenyewe akasema anipigie Kwa kufuata Utaratibu Mungeniandaa Mapema juu ya kuongea naye sikurupuki kuongea naye! Wakamuuliza lini akasema, akapigiwa tena hakupokea Simu.

Huku akiendelea na Mazungumzo na wenzake kuwa Samia Hana Uwezo wa Kuongoza nchi, She is not in capacity of being a President of Tz na Wanaojadiliana naye wanavujisha Siri na Sauti Pia,

Ndipo Sasa hawa Kina SIRRO, na Mchengerwa wakamwambia Samia kuwa hawa wanakuchezea kwakuwa wewe ni mwanamke! Kwa Magufuli wasingefanya haya!! Hivyo basi acha kesi ziendelee kawaida kama ambavyo zimeshakuwa drafted awali, waende wenyewe Kujitetea wakikutwa na hatia wawajibike, wakikutwa hawana hatia basi waendelee na shughuli zao!!

Ndo yakaendelea ya Mbowe kuwekwa ndani,

Kwanza Samia angeongea nao ingeleta picha Tofauti sana!!

Wito wangu , Tunatakiwa Kupata Taasisi zilizo imara ambazo hazitegemei Rais anaamua nini bali sheria na KATIBA inasema nini, Kwakuwa scenario nzima inaonesha kuwa Kesi zimekuwa drafted kwa tamko la Magufuli Kwa sababu kadhaa bila ushahidi, alafu wanaotaka zifutwe bado wanaweka matumaini zifutwe na Samia bila kufuata Sheria inasema nini!!!!

KATIBA MPYA NDO DAWA!!

Britanicca
Kisingizio kisicho na mshiko, vyama vya upinzani siyo Lissu na watanzania siyo Lissu. Zuio la mikutano ya vyama vya upinzani na kuwalazimisha watanzania kuisikiliza CCM pekee kunawanyima watanzania haki ya demokrasia, bahati mbaya viongozi wa CCM wanadhani demokrasia ni vyama vya upinzani tu!
 
Mama Samia anawahitaji wapinzani hasa CDM kuliko tunavyodhani, huwezi kutawala kwa raha huku makundi mengine yanasonokena, inakuuma mno mno kama Mkuu wa nchi. Hivi unafikiri maza anafurahia kuwaona wana CDM wanakimbizwa kila kukicha na mapolice na wengine magelezani kwa kesi za kisiasa? Naye ana roho na ana imani yake.

Yeye afanye tu utaratibu wa kisheria akutane nao awasikilize - yanawezakana yatatuliwe mengine wawekeane timeframe. Haya madaraka na haya maisha huwa yanapita tu ndugu zangu, kwani yeye Maza alidhani atakuwa Rais wa Tanzania miezi 7 iliyopita? mmeona eee - haya tupendane kwani sisi wote ni waja wake yeye mmoja tu aliye juu - yaani Mola wetu.

CCM hebu wekeni wepesi bac maana nasikia nyie ndiyo wasilibaji wakuu ili Maza asiongee na wapinzani...ndiyo !!
Ulizaliwa lini? Ni kipindi gani tangu mageuzi ya kisiasa yaruhusu mfumo wa vyama vingi 1992 aliwahi kutokea mwana-CCM aliyewahitaji wapinzani?
 
Mama Samia Raisi wetu mpendwa mm nakuomba Uvae tu VIATU vya Marehemu hata kama vitakupwaya hawa watu ni PUNDA hawendi mpaka kwa bakora ,waswahili chakula cha simba tu ,huna wema wowote utaofanya wasikuseme kwa ubaya watie adabu sana ili wanyoeke.
Ni wazi kuwa utawala bora uliishawashinda na mnauogopa.
Udhalimu huu huo mnaoutegemea kukubakisheni madarakani ndio msingi mkuu wa kuharibu amani na imani ya nchi hii na ndio utakaokuja ipeleka nchi hii pabaya
 
CCM ni wanyama ila kuna wakati hata upinzani kuna mambo unashangaa imekuaje anasema huyu ....Lissu anaongea mno mno na kibaya zaidi anajua kila kitu.
Mkiambiwa Lissu ni ziro brain mnabisha
 
Nyie ni watu hovyo kabisa. Watu wanaoumizwa ndio mnawalaumu?

Mnaua biashara za watu ili wawapigie magoti?

Akili ya hovyo kabisa hii.
Mbona wewe hujaumizwa ???

Mimi mtu akiumizwa kama Akwilini au Azory Gwanda nitamtetea.

Lakini wewe kama Rais anasema jambo fulani halitakiwi halafu wewe ukasema hapana, atake asitake utafanya maana yake uko tayari kwa vita na mapambano.

Sasa ukiingia vitani tena kupigania tumbo lako, ukapigwa unategemea mimi nianze kuhuzunikia mtu mpumbavu.
 
Ulizaliwa lini? Ni kipindi gani tangu mageuzi ya kisiasa yaruhusu mfumo wa vyama vingi 1992 aliwahi kutokea mwana-CCM aliyewahitaji wapinzani?

Ingekuwa hawauhitaji upinzani wangetumia nguvu za ziada namna ile kulazimisha wakina Halima Mdee waingie Bungeni kama wapinzani?

Hauwezi kujiita Demokrasi halafu katika Bunge lako chama kilichokupa ushindani mkubwa katika kampeni wakawa na mbunge mmoja tu. Hakuna atakayekuelewa.

Amandla...
 
Mbona wewe hujaumizwa ???

Mimi mtu akiumizwa kama Akwilini au Azory Gwanda nitamtetea.

Lakini wewe kama Rais anasema jambo fulani halitakiwi halafu wewe ukasema hapana, atake asitake utafanya maana yake uko tayari kwa vita na mapambano.

Sasa ukiingia vitani tena kupigania tumbo lako, ukapigwa unategemea mimi nianze kuhuzunikia mtu mpumbavu.
Rais akisema uwe shoga utakuwa? Be specific wakati mnatoa hoja zenu. Watanzania sio wajinga
 
CCM ni wanyama ila kuna wakati hata upinzani kuna mambo unashangaa imekuaje anasema huyu ....Lissu anaongea mno mno na kibaya zaidi anajua kila kitu.
Nimesoma alichoandika,nimegundua vitu viwili:
1.Walimuweka Mbowe ndani kupisha vuguvugu la katiba
2.Wanaamini sasa Mbowe akitoka atatulia sasa

Wana propaganda wao wataandika sana sasa hivi kuonyesha tatizo sio Mama Samia bali alikuwa Magufuli,kwamba ndo aliandaa kushikwa kwa Mbowe
Na cha kusikitisha watatumika na watu wa ndani ya Chadema kuonyesha kwamba Samia hana tatizo,tatizo kalikuta
 
..na uhuni waliofanyiwa NCCR nao chanzo chake ni Tundu Lissu kutokupokea simu toka kwa Maza!!

..na uchaguzi wa marudio jimbo la Konde umefanyika mara mbili. Tatizo ni CCM waliiba kura ktk marudio ya kwanza. Je, hilo nalo tumlaumu Lissu aliyeko maelfu ya kilomita toka hapa nchini?
 
Mtoa mada huu ni ujinga. Tundu Lissu alilielezea kwa uzuri Sana kule space. Wewe unapotosha.
Lissu alisema siku alivyopigiwa Simu ilikuwa ghafla, akawaambia watafute siku nyingine wazungumze. Wewe unasema akamkwepa ,,,, akamkwepa. Uongo mtupu. Chadema Ndio walioandika barua ya kuonana na Samia . Wewe unatamka blabla hapa.

Kama Samia ameamua kumbakiziza Mbowe Kesi kisa Lissu amekataa kuzungumza nae basi hiyo ni ishara ya incompetence. Hafai kuwa rais.
 
Ilikuwa Tarehe 13/4/2021 Lissu alikutana na Joseph na kuomba Connection ya Kuongea na Katibu mkuu apate kuwasiliana na Rais kwakuwa kulikuwa na nia ya Samia kuongea na Vyama vya Upinzani, na bado niwe wazi Leo ntafunguka bila kuegemea upande, Samia naye aliona si vema kukutana na vyama vya Upinzani vya Akina Cheyo bali aliilenga Chadema kwakuwa alitambua kabisa uchaguzi wa mwaka 2020 kulifanyika maigizo ya hali ya hatari sana kuyatangaza matokeo,

Pamoja na kwamba Chadema walikuwa wamesha surrender kwa Magufuli ambaye katangulia mbele ya haki sasa , ndani ya Serikali na CCM Kuna watu bado wana mawazo chanya waliona itakuwa si vema kuongoza nchi bila maridhiano,

Mzee Warioba, akiwa na wenzake wanne walikutana na wazee wa CCM na kuomba kwamba hawafurahii kuona watanzania wenzao wako nje ya nchi Kama wakimbizi hivyo Kesi zote zifutwe za uhaini na uchochezi warejee nchini mara moja! Maana orodha inaonesha wanaopaswa kufungwa ni 22 na waliwekewa mitego Mpakani na viwanja vyote vya ndege!!

Samia alisikiliza ushauri wa wazee na kukubali juu ya Suala la kukutana na Upinzani, bwana LISSU alivyo jua hayo kutoka Kwa Rwehumbiza Acting reprentative akawa ame omba sasa kuongea na Samia Kwanza yeye Kama yeye, Samia akakubali kabisa, kilichofuata Lissu akatumiwa mwakilishi kukutana naye akamkwepa (Rutabanzibwa) .

Akapigiwa Simu na Rais mwenyewe akasema anipigie Kwa kufuata Utaratibu Mungeniandaa Mapema juu ya kuongea naye sikurupuki kuongea naye! Wakamuuliza lini akasema, akapigiwa tena hakupokea Simu.

Huku akiendelea na Mazungumzo na wenzake kuwa Samia Hana Uwezo wa Kuongoza nchi, She is not in capacity of being a President of Tz na Wanaojadiliana naye wanavujisha Siri na Sauti Pia,

Ndipo Sasa hawa Kina SIRRO, na Mchengerwa wakamwambia Samia kuwa hawa wanakuchezea kwakuwa wewe ni mwanamke! Kwa Magufuli wasingefanya haya!! Hivyo basi acha kesi ziendelee kawaida kama ambavyo zimeshakuwa drafted awali, waende wenyewe Kujitetea wakikutwa na hatia wawajibike, wakikutwa hawana hatia basi waendelee na shughuli zao!!

Ndo yakaendelea ya Mbowe kuwekwa ndani,

Kwanza Samia angeongea nao ingeleta picha Tofauti sana!!

Wito wangu , Tunatakiwa Kupata Taasisi zilizo imara ambazo hazitegemei Rais anaamua nini bali sheria na KATIBA inasema nini, Kwakuwa scenario nzima inaonesha kuwa Kesi zimekuwa drafted kwa tamko la Magufuli Kwa sababu kadhaa bila ushahidi, alafu wanaotaka zifutwe bado wanaweka matumaini zifutwe na Samia bila kufuata Sheria inasema nini!!!!

KATIBA MPYA NDO DAWA!!

Britanicca
Umeandika nini hiki wewe...?

Nimesoma "between the lines" yote uliyoandika, naweza kusema bila shaka yoyote kuwa, THIS IS TRULY A FICTION STORY 100% because it hasn't any tangible proof at all...

Umetumia "hearsay" kutengeneza story hii. Kwa sababu kwa nature na mtu wa calibration ya Tundu Lissu, hawezi kumkwepa huyu mwanamke kuzungumza naye....!

Ambacho amekisema mara zote na kwa uwazi kabisa ni;

1. Yeye kupitia kwa yule bwana katibu binafsi wa Rais Bwana Mkomya (kama sijakosea) kupokea simu ya TL kuomba amuunganishe na Rais ili azungumze naye na kupewa ahadi kuwa angepigiwa...

2. TL kushauriana na kukubaliana na M/Kiti Mh. Freeman Mbowe kuwa aandike barua rasmi kwenda kwa Rais ili wakutane nae kuzungumza maswala ya nchi. Ilifanyika, barua ikapokelewa na Rais kukubali na kuliweka kwa uwazi hili ktk hotuba take siku anahutubia bunge Dodoma kama Rais, kuwa atakutana na vyama vya upinzani kuzungumza nao..

3. Surprisingly, from no where kukawa na bonge la U - TURN kwa Rais juu ya jambo hili. Na siku chache baadae wakapigia TL simu lakini kwa maelezo yake mwenyewe alikuwa kwenye mkutano muhimu, aliyepiga simu akaelewa na makubaliano yakawa atapigiwa wakati mwingine...

4. Haya mengine uyasemayo wewe unaweza kuya - justify kwa namna gani...? Mwenzako TL anasema haya wazi kwa sauti kubwa kila mtu akisikia wakiwemo wahusika (Ikulu). Kama anaongopa si watoke wakanushe na waweke ukweli wao..? Mbona unawasemea wao? Wewe ni Kungai? IGP Simon Sirro? Au Gerson Msigwa msemaji wa serikali?
 
Zungumza agenda wewe mende. Achana na stori za wala mirungi.
Niko kwenye ajenda yako uliyosema rais akisema basi inatakiwa kufanywa. Ndio nikakuuliza akikuambia ufanye yale ambayo ni kinyume na msimamo wako utafanya kwa sababu rais kasema? Hii sio nchi ya kifalme kaka yangu.
 
Who is Tundu Lissu to say our president is incapable?!!

Who is he by the way?!!!

Deluded chap?

Psychopath?!!!

How would one treat this guy nicely while he got bad tough.....

It is havoc......

SIEMPRE URT!
Mke Mwenza wa Michenzani ningeshangaa nisingekuona hapa ..
 
Back
Top Bottom