Tunajua Mengi tunanyamaza, Lissu kudharau Mamlaka ya Ikulu kumefanya kufifisha juhudi zilizopangwa na Rais Samia kuleta maridhiano

Yaani baada ya kumshindwa Mh Lissu kwa risasi sasa mnajaribu kumshambulia kwa maneno. Nako mtashindwa. Unajidai kumsifia Mh Mbowe wakati upuuzi wote wa watawala unaufahamu fika.
Nani mshindi mpaka sasa kati ya anaebweka huko nje na Rais anayebweka ndani ya Ikulu?
 
Mbona hawakuzuiwa kwenda kugaragara na kujiliza ubalozi wa US? Hivi mrejesho wa vile vilio ni nini? Maana kamanda anatoboa siku ya 90 lupango muda si mrefu, na hapo kesi hata bado haijaanza
 
How you dare to speak that our commander-in- chief is incapable....how how?!!!!

This is an utter non-sense.....
Samia Suluhu mwenyewe amekiri hadharani kwamba she is incapable, wewe ni nani wa kupinga kauli ya rais ?
 
Na hicho kitendo wewe kinakufilimba hadi basi
 
Acha kuongea Maneno ya kijiweni Kwamba Lissu ndiye ana offisi ya chadema ubeligiji? Mpaka ikulu wampigie simu kule?

Myika, Mbowe hawakuwepo? Maridhiano yanafanyika kwenye simu?

Lissu angafanya maridhiano pekee wakati Kuna chama na chama kipo Tanzania yeye yupo ulaya?

Walishindwa Nini kujibu barua ya chadema kuelekea waliyoandika ikulu?

Hivi kutoa official statement kwamba barua imepokelewa na wakapanga tarehe ya maridhiano ilishindikana?

Mpaka watumie pesa za walipa Kodi kumfuata mtu ubeligiji? What if Lissu alihofia usalama wake kukutana na mtu mwenyewe?

Me nauliza maridhiano ya kitaifa Ni Kati ya Lissu na serikali au Vyama vya upinzani na serikali?

Acheni kuwa mnaongea ongea uongo we sema tu baadhi ya wanna ccm na wajinga wengine serikalini hawataki maridhiano ya kitaifa kwa kujua watashughulikiwa yakifanyika!!
 
kwahyo ruta alitumwa akamfanye Nini lisu ipelekee Lisu alale mbele!!!!!tuazie hapo Mana nimesoma bandiko lako naona limeyumbishwa pahala
 
Mbona hawakuzuiwa kwenda kugaragara na kujiliza ubalozi wa US? Hivi mrejesho wa vile vilio ni nini? Maana kamanda anatoboa siku ya 90 lupango muda si mrefu, na hapo kesi hata bado haijaanza
Yaonekana kama vile unaweweseka. Utakapotulia nitakusikiliza.
 
Ni suala la muda tu! Narudia ni suala la muda tu watapatikana wenye akili maana Simbachawene Amesema Askari wetu hawatakiwi wawe na akili. Which means automatically kuwa IGP yuko kwenye kundi hilo pia
 
Ukishindwa kupigana nae basi join nae walitakiwa upinzani wafanye hivyo lkn kiburi chao sasa kinawaonyesha ndio Fatma Karume akamwambia Lissu Huna ADABU.
Kumbe hata hujui kitu,tulia,sikiliza wanaojua.
 
Ndugu Tundu Lissu ni "bwakubwaku".....

"Too much know" asiye na ulimi wa nidhamu wala heshima.....

Si kila MTANZANIA anaihitaji katiba mpya.....
Si kila mtanzania anahitaji katiba mpya(bora) ila Tanzania inahitaji katiba bora,(mpya)
 
Mama Samia Raisi wetu mpendwa mm nakuomba Uvae tu VIATU vya Marehemu hata kama vitakupwaya hawa watu ni PUNDA hawendi mpaka kwa bakora ,waswahili chakula cha simba tu ,huna wema wowote utaofanya wasikuseme kwa ubaya watie adabu sana ili wanyoeke.
Dunia haiendi hivyo we kiongo,na akivaa viatu visivyomtosha vitamuangusha,kama yupo kwenye jamii ya punda basi hata yeye atakuwa punda tu,na ataenda kwa bakora,na adabu ataishika,japo naamini anayo ya kutosha.
 
Nyie chadema mnajifanya special sana wacha mkome,
Kila kitu mnajua na kiburi manacho saana.
 
Chuki binafsi
 
anafuata Mbatia
Never, labda mama Tanzania tu neno analolipenda. Mbatia hana reasoned arguments kama Lisu!
Britanica, tatizo letu bado mimi na wewe ni kuwaona Rais kama or above Mungu. Ukimuona Rais kama mtumishi wako, utamwambia makavu (bila kumtukana wala kumbeza). Lisu kisu anakiita kisu and not otherwise!

CCM nani anjua kujenga hoja? a reasoned hoja na si mitulinga ya watanifanya nini
 
Lissu pamoja na usomi wako, umeshindwa kutambua kuwa mkuu wa nchi katiba imempa madaraka makubwa. Chunga ulimi wako.
 
Mimi sijasema ufanye kitu anachotaia Rais.

Ninachopinga hapa ni kujili,jaliza kama mbwa koko baada ya kupigwa kwenye vita uliyojiingiza mwenyewe.

Kama huwezi battle, kaa pembeni.
Wewe ubattle na Mimi? Wewe mtoto mdogo Sana. Kwanza kichwani wewe ni zero brain. Siwezi kubishana na zero brain
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…