Tunakubaliana Profesa Kabudi aliua Diplomasia yetu, lakini hatukubali kwamba hafai kuwa Waziri wa Katiba na Sheria

Tunakubaliana Profesa Kabudi aliua Diplomasia yetu, lakini hatukubali kwamba hafai kuwa Waziri wa Katiba na Sheria

Diplomasia ipi mnaongelea ? Hii ya kutembeza bakuli kwa mnaowaita wadau wa maendeleo au?
Mhudumu niletee BIA tafadhari ... Jamani hebu niacheni
 
Nionyeshe picha ya Kikwete akiwa Oval Office USA na Raisi wa Amerika

View attachment 2041709
Kijakazi

Kuna lingine.???.

IMG_20211212_201714.jpeg
IMG_20211212_201701.jpeg
 
Mkuu upo dunia ya ngapi?? Jakaya alienda white house kipindi cha George Bush Jr na bado akaenda baada ya Obama kutinga white house!

Clinton aliwahi kuja Tanzania enzi za Mzee Ben,Bush na Obama waliwahi kuja enzi za Jakaya
Alileta nini huyo mjinga! Yaani mtu mzururaji unasema alienda Whitehouse halafu akatela nini?
 
Wapinzani walishaonya hapo awali na sasa MaCCM menzako yameshakiri kuwa Marehemu Pombe na Palamagamba kabudi waliharibu mahusiano yetu ya kidiplomasia na mataifa mengi sana kwa kuendekeza misimamo ya Bushman.
Watanzania tunakuwa kama wajinga....hapa tatizo ,ni UNAFIKI!
Kwani ni Kabudi yupo peke yake?,Viongozi wote waliufyata kwa Matendo na Sera za Magufuli!
Leo watatuambia Nini! Watajitengaje na Mabaya ya JPM,Wakajinasibisha na mazuri!!??)
Tatizo la Nchi hii ni Katiba mbovu ,inayompa Mamlaka ya Kimungu Rais,wakati huohuo Nchi imejaa wachumia Tumbo!
 
W
Kuna Diplomasia gani ? Kama ingekuwepo si tungekuwa tunaalikwa White House USA kuongea live mbele ya Dunia na Raisi wa USA? Raisi pekee wa Tanzania aliyefika Ikulu ya USA na kuongea na Raisi wa USA alikuwa Nyerere kipindi cha Jimmy Carter basi.

Maraisi wote wanaohitajika kidiplomasia Afrika utawaona White House au utasikia wamepigiwa simu na Raisi wa USA inaandikwa kwenye media, ni lini kwetu ilifanyika ?

Ni lini uliona Raisi wetu akialikwa na Raisi wa USA ukiondoa Nyerere na Jimmy Carter ?
Wewe kweli ni mjinga! Kikwete alikuwa Rais wa Kwanza Afrika kuongea na Barack Obama white house Mara tu baada ya kuwa Rais wa Marekani !
Kama una short memory acha kukimbilia vitu usivyovijua!
 
Mnarumbana bure, kuchomaje vifaranga, matokeo bidhaa zetu kuzuiwa mpakani, ukiwa Rais si vizuri kuendekeza kiburi, kwasababu watu wako ndio wanaumia, Magu hakustahili kuwa Rais!
 
Kwa Hali ilivyo ni Wazi CCM wameanza kukubaliana na watu wenye akili timamu kwamba tuliua Diplomasia ya Kimataifa. Ni Jambo la Wazi kwamba hata wale waliowakamata wapinzani waliokosoa sera ya mambo ya nje wanajiona wajinga kwamba wameshiriki kutufikisha hapa tulipo. Watu wale wale walioelekeza wapinzani wakamatwe ndio hao hao Leo hii wanasimama kwenye vyombo vya umma kueleza jamiii kwamba awamu iliyopita iliharibu Nchi.

Sasa hivi Naomba kuuliza aliyeharibu mahusiano ya Kimataifa anafaa kuendelea kuwa Waziri wa Sheria ? Msisubiri atumbuliwe ndipo mje kusema hakuwa na uwezo baada ya kuvuruga mfumo wa Sheria wa Nchi. Unafiki unalisambaratisha Taifa.
wahaya sio wajinga hivi!!!!
achana na maneno ya mtaani weka fact hapa na sababu

au kupigania madini, ikiwemo tanzanite n.k ndio kuharibu diplomasia?

kabla ya hapo uliwahi kufaidi nini na diplomasia?
 
Kwa Hali ilivyo ni Wazi CCM wameanza kukubaliana na watu wenye akili timamu kwamba tuliua Diplomasia ya Kimataifa. Ni Jambo la Wazi kwamba hata wale waliowakamata wapinzani waliokosoa sera ya mambo ya nje wanajiona wajinga kwamba wameshiriki kutufikisha hapa tulipo. Watu wale wale walioelekeza wapinzani wakamatwe ndio hao hao Leo hii wanasimama kwenye vyombo vya umma kueleza jamiii kwamba awamu iliyopita iliharibu Nchi.

Sasa hivi Naomba kuuliza aliyeharibu mahusiano ya Kimataifa anafaa kuendelea kuwa Waziri wa Sheria ? Msisubiri atumbuliwe ndipo mje kusema hakuwa na uwezo baada ya kuvuruga mfumo wa Sheria wa Nchi. Unafiki unalisambaratisha Taifa.
Huyu unato hafai kujilinganisha na kabudi.siyo hadhi yake.
 
Kwa Hali ilivyo ni wazi CCM wameanza kukubaliana na watu wenye akili timamu kwamba tuliua Diplomasia ya Kimataifa. Ni Jambo la Wazi kwamba hata wale waliowakamata wapinzani waliokosoa sera ya mambo ya nje wanajiona wajinga kwamba wameshiriki kutufikisha hapa tulipo.

Watu wale wale walioelekeza wapinzani wakamatwe ndio hao hao Leo hii wanasimama kwenye vyombo vya umma kueleza jamiii kwamba awamu iliyopita iliharibu Nchi.

Sasa hivi Naomba kuuliza aliyeharibu mahusiano ya Kimataifa anafaa kuendelea kuwa Waziri wa Sheria ?

Msisubiri atumbuliwe ndipo mje kusema hakuwa na uwezo baada ya kuvuruga mfumo wa Sheria wa Nchi. Unafiki unalisambaratisha Taifa.
Kimsingi utawala ulipita ulikuwa wa kishetani kabisa ulikuwa umejaa watu wa hovyo sn na siyo Kabudi pekee
 
Prof. Kabudi ndiye ofisa wa kwanza kabisa wa serikali mara baada ya kifo cha JPM kutangaza kwamba urais wa Samia bado ni Awamu ya 5 kabla Samia mwenyewe kutoa ufafanuzi tofauti! Siku hizi ame-mute kuhusu hilo sijui ameutambua ukweli au kaamua tu kunyamaza. Ila mjanja; anajua nguvu na mamlaka ya Rais wa JMT hataki ugomvi; wajingawajinga akina viroboto ndio bado wanashupaza shingo!

Katiba ya JMT, Ibara ya 40(4);

"Endapo Makamu wa Rais anashika kiti cha Rais kwa mujibu wa masharti ya ibara ya 37(5) kwa kipindi kinachopungua miaka mitatu ataruhusiwa kugombea nafasi ya Rais mara mbili, lakini kama akishika kiti cha Rais kwa muda wa miaka mitatu au zaidi ataruhusiwa kugombea nafasi ya Rais mara moja tu".
CCM kumejaa takataka kabisa
 
wahaya sio wajinga hivi!!!!
achana na maneno ya mtaani weka fact hapa na sababu

au kupigania madini, ikiwemo tanzanite n.k ndio kuharibu diplomasia?

kabla ya hapo uliwahi kufaidi nini na diplomasia?
Kama hujui faida ya diplomasia bora kukaa kimya
 
Kuna Diplomasia gani ? Kama ingekuwepo si tungekuwa tunaalikwa White House USA kuongea live mbele ya Dunia na Raisi wa USA? Raisi pekee wa Tanzania aliyefika Ikulu ya USA na kuongea na Raisi wa USA alikuwa Nyerere kipindi cha Jimmy Carter basi.

Maraisi wote wanaohitajika kidiplomasia Afrika utawaona White House au utasikia wamepigiwa simu na Raisi wa USA inaandikwa kwenye media, ni lini kwetu ilifanyika ?

Ni lini uliona Raisi wetu akialikwa na Raisi wa USA ukiondoa Nyerere na Jimmy Carter ?
ile wao kuja hapa vipi sio sawa na sisi kwenda kule?
 
Ujinga mtupu, tuliuwa diplomacy alafu marais kibao wakatembelea Tanzania.

Tukaingia mpaka uchumi wa kati
Hii hoja yako ni hoja ya mjinga hasa.

Eti uchumi wa kati.

Hivi unafahamu kuwa wakati wa Mkapa, per capita income ya mtanzania iliongezeka kwa $400, wakati wa Kikwete $380, lakini wakati wa utawala dhalimu wa awamu ya 5, iliongezeka kwa $80 tu?

Mlilishwa ujinga, nanyi mkaamini. Mtu alikuwa anaua uchumi, mnadanganywa kuwa tupo vizuri, mnaamini.

Pia ujue kutembelewa pekee na viongozi wa mataifa mengibe siyo uthibitisho pekee kuwa una uhusiano mzuri. Wengine wanakuja kwa nia ya kukushauri kwa sababu umepotoka. Ukiwagomea, hutawaona tena!

Hivi tangu uhuru, kuna Serikali iliyowahi kupewa maonyo mbalimbali ya taasisi za kimataifa, ambazo sisi ni wanachama wake, kama Serikali ya awamu ya 5?
 
Back
Top Bottom