Tunakubaliana Profesa Kabudi aliua Diplomasia yetu, lakini hatukubali kwamba hafai kuwa Waziri wa Katiba na Sheria

Tunakubaliana Profesa Kabudi aliua Diplomasia yetu, lakini hatukubali kwamba hafai kuwa Waziri wa Katiba na Sheria

Sijasema kuingia Ikulu tu, kuingia siajabu wameshaingia karibia wote, naongelea kukutana na Raisi wa USA mbele ya media Oval Office na kurushwa Dunia nzima siyo tu nyuma ya pazia, hivyo wote wamefanya.
umehamisha goli
 
Kuna Diplomasia gani ? Kama ingekuwepo si tungekuwa tunaalikwa White House USA kuongea live mbele ya Dunia na Raisi wa USA? Raisi pekee wa Tanzania aliyefika Ikulu ya USA na kuongea na Raisi wa USA alikuwa Nyerere kipindi cha Jimmy Carter basi.

Maraisi wote wanaohitajika kidiplomasia Afrika utawaona White House au utasikia wamepigiwa simu na Raisi wa USA inaandikwa kwenye media, ni lini kwetu ilifanyika ?

Ni lini uliona Raisi wetu akialikwa na Raisi wa USA ukiondoa Nyerere na Jimmy Carter ?
Sasa weu ajivunia kwamba tusiwe na diplomasia kabisa milele au! Mbona point yako hata haieleweki
 
Tanzania huwa tunajua sana kujidanganya, ni Diplomasia gani hiyo tuliokuwa nayo ambayo iliuliwa ? Tanzania nje ya Watanzania hatujulikani popote pale acheni kujidanganya, umenikumbusha hadithi wakati tunakuwa tuliambiwa Tanzania ni ya 3 kwa upelelezi Duniani baada ya USA, Urusi ni sisi na tuliamini, …
Ahahahahha braza umenikumbusha mbali huu ujinga tuliokuwa tunalishwa na wapuuzi..

Yaani hata tano bora Afrika hatumo!
 
Back
Top Bottom