Tanzania huwa tunajua sana kujidanganya, ni Diplomasia gani hiyo tuliokuwa nayo ambayo iliuliwa ? Tanzania nje ya Watanzania hatujulikani popote pale acheni kujidanganya, umenikumbusha hadithi wakati tunakuwa tuliambiwa Tanzania ni ya 3 kwa upelelezi Duniani baada ya USA, Urusi ni sisi na tuliamini, …