Tunakwenda wapi? Gachuma awamu ya tano Mwalifu, awamu ya sita mjumbe bodi ya TANESCO

Siri ya mafanikio ni SIRI.
 
January anapanga safu ya 2030 mkuu, Gachuma ana ushawishi sn kanda ya ziwa
 
Gachuma hajawahi kukamatwa bro,angalia kumbukumbu zako vizuri

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Hata hii awamu ni hatari zaidi, muda utasema
 
Well said tuna mfumo mbovu sn wa kiutawala
 
Hivi huyu jk alizikataa mimba zenu nini?!! Mbona mnamsakama sana? Kila kitu jk, hv mnafikiri mtaweza kumshusha kihivyo? Aliyepewa kapewa tu, nyie pambabeni tu na hali zenu!!
Unatakiwa kukomaa kiakili, mitusi ni I shara ya kukosa ukomavu wa akili. Hatuzungumzii mtu hapa bali ufisadi wake kama escrow etc. Hatumchukii ila tunachukia tamaa zake za kufisadi
 
Alirudisha heshima ya CCM au alizuia vyama vingine kufanya siasa kwa ubabe kinyume na katiba!

Nyinyi watu wengine sijui huwa mnafikiri kwa kutumia nini!
 
Unatakiwa kukomaa kiakili, mitusi ni I shara ya kukosa ukomavu wa akili. Hatuzungumzii mtu hapa bali ufisadi wake kama escrow etc. Hatumchukii ila tunachukia tamaa zake za kufisadi
basi msimtwishe mtu mwingine habari zake, hangaikeni nae nje ya mgongo wa mtu mwingine. kwani huyo makamba ambaye ni 'mwizi na fisadi wa jk' hakuwa waziri kwa muda mrefu tu wakati wa utawala wa mnaemuona kama mungu wenu?!! ilikuaje hakuona wizi na ufisadi wake hadi mumwambie sasa hivi akiwa ameshaondoka? punguzeni mambo yenu hayo bhana mnaboa wakati mwingine. mbona mawaziri wa jk walikuwa wengi tu katika utawala wa mwendazake na hamkusema kuwa 'jk huyo anayepanga'?!!!!!!!! mna hila gani na huyu mama kwani?
 
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Unapata wapi nguvu ya kumtetea shetani wewe.
 
Ndi Ndio akili zenu CCM mkiambiwa tunahitaji Katiba mpya mnashupaza shingo!
Hayo no matokeo ya kumpa mtu mmoja Nguvu na Mamlaka!
 
Naona mnyukano TANESCO analogy vs TANESCO digital umepamba moto; nyuzi kila kona Makamba kaja kuwashika watu wa kitu kidogo ndo walete nguzo dadek.
 
Imenisikitisha sana kuona ile safu ya Jk inarudi tena. No hope at all na huyu Mama!
Wacha safu ya JK irudi maana yale yalikuwa maisha mazuri na ndiyo ya Watanzania. Siyo ya yule mshamba tulomzika Chato
 
Mleta uzi unatakiwa uelewe kuwa CCM ni kama wanawake hawaelewakagi hao. Wanajuana wenyewe jinsi akili zao zinavyowatuma kufanya mambo yao. Na kibaya zaidi Mungu aliwanyima aibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…