Tunalitaka Jeshi la Polisi liueleze umma, ni kwa nini wabakaji na walawiti wanajeshi na Boss wao hawafikishwi mahakamani?

Tunalitaka Jeshi la Polisi liueleze umma, ni kwa nini wabakaji na walawiti wanajeshi na Boss wao hawafikishwi mahakamani?

Inashangaza na kusikitisha jeshi la Polisi kuacha majukumu yake ya msingi na kuhangaika na Chadema wanaofanya kazi zao za kikatiba za kufanya siasa.

Tunalitaka jeshi la Polisi hili siyo ombi wala hiyari bali ni lazima, tunataka kuona watuhumiwa wote wa ubakaji na ulawitibwaliohusika kwenye tukio la binti wa Yombo dovya wanafikishwa mahakamani haraka pamoja na Boss wao aliyewatuma kufanya unyama ule.

Nashangazwa na ukimya wa TLS na asasi nyingine za haki za binadamu, kwa hili hatutokaa kimya, tunataka haki ya binti itendeke na ionekane imetendeka.

Cc: Advocate Pascal Mayalla kwa maslahi ya Taifa.

Maxence Melo tunaomba coverage ya JF ina mdomo mpana mpaka hadi viwizi huwa wanausikia.
Kabisa katika mambo yanakera ni jambo hili, mtu kama mimi nikiri nimekuwa kwa kiasi kikubwa na support serikali lakini kwenye hili hapana. Kuna haja ya jambo hili kupigiwa kelele sana na sio kwamba hakuna matukio mengine yametokea ila hili liwe ni mfano na funzo kwa polisi kwamba haya mambo hayatakaliwa kimya. Naomba tulitumie hili tukio kama mifano ya matukio mengi nchi hii. Ujumbe uende kuwa sauti ya wengi ina nguvu, sauti ya haki ina nguvu.
 
Usidhani naandika hapa kujifurahisha, najuwa msg inakwenda wapi direct.

View guests kwenye hii thread utajifunza kitu, wao huwa hawachangii mada yoyote.
Kama hujui!

Baada ya mfumo dume kitaa Hadi kwenye Dini kuwa kikwazo kwake mtia nia,wanawake pekee ndio ilikua kimbilio lake yaani kete ya mwisho!

Wale jamaa wakaamua kuchafua image yake Kwa wanawake Ili wamkatae na wao na kweli Hadi Sasa sijui Hali ya kina mama kwenye hili ipoje!!
Kumbuka hai ni mabaka baka!ngoja tuone!
 
Jeshi lina mahakama zao na magreza yao,watalishughulikia kijeshi Kwa mujibu wa Sheria za kijeshi na taratibu zao na hawana utaratibu was kutoa mambo Yao ya kijeshi hadharani!!
Ni kwenye kesi hiyo tu? Mbona zinazohusu watu wengine hasa wanaoikosoa serikali wanazitoa hadharani na maelezo mengi tu iweje hii??
 
Inashangaza na kusikitisha jeshi la Polisi kuacha majukumu yake ya msingi na kuhangaika na Chadema wanaofanya kazi zao za kikatiba za kufanya siasa.

Tunalitaka jeshi la Polisi hili siyo ombi wala hiyari bali ni lazima, tunataka kuona watuhumiwa wote wa ubakaji na ulawitibwaliohusika kwenye tukio la binti wa Yombo dovya wanafikishwa mahakamani haraka pamoja na Boss wao aliyewatuma kufanya unyama ule.

Nashangazwa na ukimya wa TLS na asasi nyingine za haki za binadamu, kwa hili hatutokaa kimya, tunataka haki ya binti itendeke na ionekane imetendeka.

Cc: Advocate Pascal Mayalla kwa maslahi ya Taifa.

Maxence Melo tunaomba coverage ya JF ina mdomo mpana mpaka hadi viwizi huwa wanausikia.
wanasema huyo mdada "ni kama anajiuza",,,,,yaani neno KAMA nilinamaanisha ata polisi wenyewe wanaochunguza hii kesi hawana uhakika kama anajiuza au hajiuzi"...lakini nashangaa ukinunua mzigo si unaubeba??? mbona huyo dada hawakumbeba???
 
tubaki na kauli ya Mbowe kuwa ''hawa wapo kazini hata wao inawauma ila hawana jinsi"
 
UCHUNGUZI UCHUNGUZI
SIJUI FILE HALIJAFIKA KWANGU
MARA FILE WANALIPITIA
UKISHASIKIA MANENO MANENO KAMA HAYA MTU ANASEMA ,JUWA
KUNA UTAPELI, UWONGO UNATENGENEZWA....KWENYE KESI FULANI
HAPO MTU ANATENGENEZEWA MAZINGIRA
TZ NI NCHI MOJA TAASISI ZAKE
ZINAFANYAGA MAMBO YA KIPUZZZ SANA

ova
 
UCHUNGUZI UCHUNGUZI
SIJUI FILE HALIJAFIKA KWANGU
MARA FILE WANALIPITIA
UKISHASIKIA MANENO MANENO KAMA HAYA MTU ANASEMA ,JUWA
KUNA UTAPELI, UWONGO UNATENGENEZWA....KWENYE KESI FULANI
HAPO MTU ANATENGENEZEWA MAZINGIRA
TZ NI NCHI MOJA TAASISI ZAKE
ZINAFANYAGA MAMBO YA KIPUZZZ SANA

ova
Hii kesi upelezi uanze upya sina imani na upelelezi uliofanyika chini ya RPC huyu.
Screenshot 2024-08-19 at 11.18.44.png
 
Polisi, wanajeshi ni watu wazito kiasi hicho mbona kigugumizi kimezidi.

Mtoto wako akiwa muovu unamtoa tu kafara akafie mbele, unakuwaje na kitoto kifiraj* afu unakilinda? Kweli kuna watu hawana aibu.
 
Inashangaza na kusikitisha jeshi la Polisi kuacha majukumu yake ya msingi na kuhangaika na Chadema wanaofanya kazi zao za kikatiba za kufanya siasa.

Tunalitaka jeshi la Polisi hili siyo ombi wala hiyari bali ni lazima, tunataka kuona watuhumiwa wote wa ubakaji na ulawiti waliohusika kwenye tukio la binti wa Yombo dovya wanafikishwa mahakamani haraka pamoja na Boss wao aliyewatuma kufanya unyama ule.

Nashangazwa na ukimya wa TLS na asasi nyingine za haki za binadamu, kwa hili hatutokaa kimya, tunataka haki ya binti itendeke na ionekane imetendeka.

Cc: Advocate Pascal Mayalla kwa maslahi ya Taifa.

Maxence Melo tunaomba coverage ya JF ina mdomo mpana mpaka hadi viwizi huwa wanausikia.
Shangazi wa Taifa hajasikika kabisa ingependeza naye awe CCed
 
Back
Top Bottom